• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kigoma Ujiji Municipal Council
Kigoma Ujiji Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango,Takwimu na Usimamizi
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Kitengo cha Teknolojia Habari na Mawasiliano
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Sekta ya Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Ukimwi
      • Kamati Ya Maadili
      • Uchumi Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Kamati Za Madiwani
      • Ratiba Kuonana Na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyo Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Picha za Kuona
      • Mh.Meya
    • Tukio
    • Habari

AWAMU YA SITA INAVYOJALI WAKULIMA NA WAFUGAJI WA KIGOMA UJIJI. Farmers celebration

Posted on: August 6th, 2025

Na Mwandishi Wetu 

Sekta ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi ni Msingi wa Usalama wa Nchi, Ujenzi wa Uchumi na Ustawi kwa Wananchi.


Serikali ya Awamu ya Sita Nchini Tanzania chini ya Rais  Dr. Samia Suluhu Hassan imeendelea kuboresha Sekta ya Kilimo Manispaa ya Kigoma/Ujiji ili kuongeza tija na kipato kwa Wakulima.


Maafisa ugani kumi na tatu (13) katika Kata za Manispaa ya Kigoma/Ujiji wamepatiwa pikipiki ili kuwafikia Wakulima kwa wakati na tayari Wakulima Mia mbili arobaini na Sita (246) wamepewa mafunzo ya kilimo hifadhi ili kukabiliana na Mabadiliko ya tabia ya Nchi.


Aidha Maafisa ugani kumi na nne (14)  wamepatiwa vifaa maalumu vya kupima  udongo ili Wakulima waweze kutambua afya ya udongo katika mashamba yao.


Karibu Maonesho ya Wakulima na Wafugaji (Nane nane) Banda la Manispaa la Manispaa ya Kigoma/Ujiji yanayoendelea Kanda ya Magharibi Manispaa ya Tabora katika Viwanja vya Fatuma Mwasa.


Kauli mbiu ya Mwaka huu 2025 ni "Chagua Viongozi Bora kwa maendeleo ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi".


Zaidi bofya www.kigomaujijimc.go.tz


Matangazo

  • NYARAKA ZA WAKUU WA SHULE WALIMU WAKUU October 10, 2022
  • Ufatiliaji wa Kina Kusaka wasiokata Leseni za Biashara 2017 March 20, 2017
  • Fedha za Mradi wa P4R mwezi Machi 2017 April 13, 2017
  • Fedha za Mradi wa Barabara Machi 2017 April 13, 2017
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • BANDA LA NANE NANE KIGOMA UJIJI KIVUTIO CHA WANANCHI WENGI KANDA YA MAGHARIBI. Farmers celebration

    August 06, 2025
  • AWAMU YA SITA INAVYOJALI WAKULIMA NA WAFUGAJI WA KIGOMA UJIJI. Farmers celebration

    August 06, 2025
  • DC KIGOMA ATAMBULISHA SARE YA MWENGE KWA WANANCHI. National Touch

    July 25, 2025
  • "JUMAMOSI YA KILA WIKI NI SIKU YA USAFI MANISPAA" DC KIGOMA. Sanitation

    July 25, 2025
  • Angalia Yote

Picha za Kuona

MWENGE WA UHURU 2023
Picha za Kuona Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Ofisi ya Rais Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tume ya Ajira
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2025 HAYA HAPA

Kurasa Husishi

  • Wizara ya Elimu
  • Wizara ya Afya
  • TCU
  • Mikopo Vyuo Vya Elimu Ya Juu
  • Ofisi ya RAS Kigoma
  • Jiji Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Manispaa ya Kigoma Ujiji

    Sanduku la Posta: S.L.P 44

    Simu: +255 28 2802535

    Namba ya Simu: +255765660847

    Barua pepe: municipal@kigomaujijimc.go.tz ictsecurity@kigomaujijimc.go.tz

Mawasiliano Mbalimbali

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Manispaa ya Kigoma Ujiji. Haki Zote Zimehifadhiwa