• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kigoma Ujiji Municipal Council
Kigoma Ujiji Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango,Takwimu na Usimamizi
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Kitengo cha Teknolojia Habari na Mawasiliano
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Sekta ya Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Ukimwi
      • Kamati Ya Maadili
      • Uchumi Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Kamati Za Madiwani
      • Ratiba Kuonana Na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyo Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Picha za Kuona
      • Mh.Meya
    • Tukio
    • Habari

"BILLION TANO ZIMEJENGA MIUNDOMBINU YA ELIMU WILAYA YA KIGOMA" DC KIGOMA Educationa

Posted on: January 20th, 2023

Na Mwandishi Wetu

Mkuu wa Wilaya ya Kigoma Bi. Ester Alexander Mahawe Leo January 20, 2023 amesema Wilaya  anayoiongoza ilipokea kiasi cha fedha za Kitanzania Billion 5/=  kutoka Serikali Kuu kwa Mwaka 2022  kwa lengo la Ujenzi wa miundombinu ya shule

Ameyasema hayo katika kikao cha tathimini ya utekelezaji wa shughuli za uboreshaji na usimamizi wa elimu Mkoa wa Kigoma kilichoongozwa na Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Mhe.  Thobias Adengenye

Katika kikao hicho amesema Wilaya ya Kigoma imetelekeza Ujenzi wa Shule Mpya za Sekodari tatu (03) kwa Kata ambazo awali hazikuwa na Shule za Sekondari kwa gharama ya fedha za Kitanzania Million 470/= kwa kila Shule kutokana na mradi wa Sequip na ujenzi wa vyumba vya madarasa  mia mbili na tatu (203)

Kwa Mwaka wa fedha 2022/2023 Manispaa ya Kigoma/Ujiji ilipokea kiasi cha fedha za Kitanzania Million 470/=  kutoka Serikali kuu kupitia mradi wa Sequip kwa lengo la ujenzi wa Shule mpya ya Sekondari ya Businde ambapo tayari imeanza kutumika

Aidha fedha zingine zilizopokelewa ni  kiasi cha fedha za Kitanzania Billion moja na milion mia moja arobaini na Sita (Tsh 1, 146, 000, 000/=)  kutoka Serikali  Kuu  kwa lengo la ujenzi wa vyumba vya Madarasa 57 kwa maandalizi na mapokezi ya Wanafunzi wa kidato cha kwanza kwa Mwaka 2023

Manispaa hiyo iliendelea kupokea fedha zilizotokana na makato ya miamala ya simu( Tozo) kiasi cha Tsh 37, 500, 000/= na kiasi cha fedha Tsh 100, 000, 000/= zilizotumika  katika ukamilishaji Maabara, Ukamilishaji wa maboma ya madarasa Tsh 200, 000, 000/= kwa Shule za Msingi na Sekondari  

Wilaya ya Kigoma inaundwa na Halmashauri mbili, Manispaa ya Kigoma/Ujiji na Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma


Matangazo

  • NYARAKA ZA WAKUU WA SHULE WALIMU WAKUU October 10, 2022
  • Ufatiliaji wa Kina Kusaka wasiokata Leseni za Biashara 2017 March 20, 2017
  • Fedha za Mradi wa P4R mwezi Machi 2017 April 13, 2017
  • Fedha za Mradi wa Barabara Machi 2017 April 13, 2017
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • WAJASIRIAMALI WAENDELEA KUFIKIWA NA WATAALAMU KIGOMA UJIJI. Social services

    May 30, 2025
  • UGAWAJI WA VYANDARUA BURE UNAENDELEA KWENYE VITUO KIGOMA UJIJI. Health protection

    May 29, 2025
  • WAJASIRIAMALI KIGOMA UJIJI WATEMBELEWA NA WATAALAMU.

    May 28, 2025
  • RC ANDENGENYE AZINDUA ZOEZI LA UGAWAJI VYANDARUA MKOA WA KIGOMA. Malaria protection

    May 28, 2025
  • Angalia Yote

Picha za Kuona

MWENGE WA UHURU 2023
Picha za Kuona Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Ofisi ya Rais Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tume ya Ajira

Kurasa Husishi

  • Wizara ya Elimu
  • Wizara ya Afya
  • TCU
  • Mikopo Vyuo Vya Elimu Ya Juu
  • Ofisi ya RAS Kigoma
  • Jiji Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Manispaa ya Kigoma Ujiji

    Sanduku la Posta: S.L.P 44

    Simu: +255 28 2802535

    Namba ya Simu: +255765660847

    Barua pepe: municipal@kigomaujijimc.go.tz ictsecurity@kigomaujijimc.go.tz

Mawasiliano Mbalimbali

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Manispaa ya Kigoma Ujiji. Haki Zote Zimehifadhiwa