• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kigoma Ujiji Municipal Council
Kigoma Ujiji Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango,Takwimu na Usimamizi
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Kitengo cha Teknolojia Habari na Mawasiliano
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Sekta ya Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Ukimwi
      • Kamati Ya Maadili
      • Uchumi Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Kamati Za Madiwani
      • Ratiba Kuonana Na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyo Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Picha za Kuona
      • Mh.Meya
    • Tukio
    • Habari

CCM YARIDHISHWA NA MIRADI INAYOTEKELEZWA MANISPAA YA KIGOMA/UJIJI project

Posted on: April 4th, 2023

Na Mwandishi Wetu

Kamati ya Siasa ya Chama cha Mapinduzi(CCM) Wilaya ya Kigoma Jana April 03, 2023 ilitembelea miradi iliyotekelezwa na inayotekelezwa Manispaa ya Kigoma/Ujiji kwa mwaka wa fedha 2022/2023  

Ziara hiyo ilifanyika ikiongoza na Mwenyekiti wa Chama hicho Wilaya ya Kigoma Mhe. Ahmed Mwilima kwa kutembelea na kukagua miradi tisa (09) katika Kata mbalimbali za Manispaa hiyo

Kamati hiyo ilitembelea ujenzi wa Hospitali ya Manispaa inayoendelea kujengwa Kata ya Kagera ambapo tayari Serikali imeleta fedha za awali kiasi cha Tsh 500, 000, 000/=, Ujenzi wa Zahanati tatu (03) za  Kata ya Machinjioni, Kibirizi na Kamala, na kutembelea Ujenzi ambao umeshakamilika katika Shule ya Sekondari Rubuga

Aidha miradi mingine iliyotembelewa ni pamoja na ujenzi wa Shule mpya ya Sekondari Kipampa unaoendelea ambapo Serikali inatarajia kuendelea kujenga Majengo mapya kupitia mradi wa Sequip kwa gharama ya Tsh 573,000, 000/=, Ujenzi wa Ofisi ya Kata ya Buhanda unaendelea kujengwa kupitia mapato ya ndani, na kutembelea miradi ambayo imekamilika Shule ya Sekondari Businde, Kituo cha afya cha Gungu, na Ujenzi wa shedi soko la Kamala-Bangwe  

Mwenyekiti huyo wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Kigoma  aliipongeza Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dr. Samia Suluhu Hassan kwa namna ambavyo imeendelea kutoa  fedha za miradi ya maendeleo na kuupongeza uongozi wa Manispaa kwa namna wanavyotekeleza miradi kupitia mapato ya ndani

Alipongeza Wataalamu kwa namna wanavyosimamia utekelezaji wa miradi kwa kusogeza huduma za kijamii  karibu na Wananchi katika sekta ya afya,  elimu, na kukuza uchumi wa Wananchi kwa kutoa ajira kipindi cha utekelezaji wa miradi hiyo

Zaidi endelea kutembelea Tovuti www.kigomaujijimc.go.tz 

Matangazo

  • NYARAKA ZA WAKUU WA SHULE WALIMU WAKUU October 10, 2022
  • Ufatiliaji wa Kina Kusaka wasiokata Leseni za Biashara 2017 March 20, 2017
  • Fedha za Mradi wa P4R mwezi Machi 2017 April 13, 2017
  • Fedha za Mradi wa Barabara Machi 2017 April 13, 2017
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • NYUMBA YA WALIMU SHULE YA SEKONDARI MJIMWEMA IPO HATUA YA UMALIZIAJI. Building

    May 08, 2025
  • MAANDALIZI MAPOKEZI YA MWENGE WA UHURU YAENDELEA UJIJI, DC AKAGUA MIRADI. National touch

    May 07, 2025
  • SERIKALI YAENDELEA KUTOA MSAADA WA KIBINADAMU WAATHIRIKA WA MVUA KIGOMA UJIJI. Flood

    May 05, 2025
  • NMB YAKABIDHI VIFAA TIBA KIGOMA UJIJI. Health

    May 03, 2025
  • Angalia Yote

Picha za Kuona

MWENGE WA UHURU 2023
Picha za Kuona Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Ofisi ya Rais Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tume ya Ajira

Kurasa Husishi

  • Wizara ya Elimu
  • Wizara ya Afya
  • TCU
  • Mikopo Vyuo Vya Elimu Ya Juu
  • Ofisi ya RAS Kigoma
  • Jiji Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Manispaa ya Kigoma Ujiji

    Sanduku la Posta: S.L.P 44

    Simu: +255 28 2802535

    Namba ya Simu: +255765660847

    Barua pepe: municipal@kigomaujijimc.go.tz ictsecurity@kigomaujijimc.go.tz

Mawasiliano Mbalimbali

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Manispaa ya Kigoma Ujiji. Haki Zote Zimehifadhiwa