• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kigoma Ujiji Municipal Council
Kigoma Ujiji Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango,Takwimu na Usimamizi
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Kitengo cha Teknolojia Habari na Mawasiliano
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Sekta ya Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Ukimwi
      • Kamati Ya Maadili
      • Uchumi Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Kamati Za Madiwani
      • Ratiba Kuonana Na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyo Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Picha za Kuona
      • Mh.Meya
    • Tukio
    • Habari

"CHIKICHI NI FURSA, CHIKICHI NI MAENDELEO" ASEMA WAZIRI MKUU MAJALIWA Prime Minister

Posted on: February 26th, 2023

Na Mwandishi Wetu

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa (Mb) ameagiza Viongozi wa Serikali na Kisiasa zao la Michikichi kuwa agenda yao ya Kudumu katika vikao, Mikutano na katika kuwahamasisha Wananchi

Ameyasema Leo February 26, 2023 katika kikao  cha Wadau wa zao la Michikichi kilichofanyika Ukumbi Wa NNSF uliopo Manispaa ya Kigoma/Ujiji kikihusisha Viongozi wa Serikali, Wanasiasa , taasisi,  wazalishaji wa mbegu za michichikichi, wamiliki wa viwanda vidogo vya kuchakata mazao na bidhaa za michikichi pamoja na wakulima wakubwa na wadogo wa zao hilo

Katika kikao hicho Waziri Mkuu amesema zao la Michikichi ni fursa kwa Wakulima na Wananchi waliopo Mkoani Kigoma kutokana na Serikali kuweka zao hilo kuwa miongozi mwa mazao ya Kimkakati Nchini    

Kiongozi huyo amesema Mkoa wa Kigoma unazalisha 80% ya Michikichi inayolimwa Nchini  na Kusema Serikali itaendelea kuwekeza katika kuinua zao hilo kwa lengo la kuinua maisha ya Wakulima, Wasindikizaji, Wafanyabiashara na Wamiliki wa Viwanda  

Kiongozi huyo amewataka Wakulima kulima zao hilo kwa  kupanda mbengu za Kisasa ambazo Miaka miwili tangu kupandwa huanda kuzaa matunda  

Amemuagiza Katibu Tawala wa Mkoa huo kusimamia Maafisa kilimo waliopo kupangiwa maeneo ya Kata na vijijini kwa lengo la kukaa karibu na Wakulima ili kuendelea kutoa elimu na kukagua mashamba ya wakulima

Aidha ameagiza Halmashauri kushirikiana na taasisi zingine zinazozalisha miche kwa kuzipatia fedha kwa lengo la kuzalisha na kugawiwa kwa Wakulima wa Halmashauri Husika bure

Amehitimisha kwa  kumtaka Mkuu wa Mkoa na Wakuu wa Wilaya kufuatilia  kwa karibu Miche ya michikichi wanayogawiwa Wakulima na kuweka mipango ya elimu na kufanya vikao vya mara kwa mara ya tathimini ya zao hilo  

Naibu Waziri Wa Kilimo Mhe.  Antony Mavunde amesema katika kuinua zao la Michikichi Mkoani Kigoma tayari Serikali imetenga fedha za kwa ajili ya Ujenzi wa maabara ya Utafiti,  Ofisi na nyumba za Watumishi katika kituo cha Utafiti wa zao la Michikichi Kihinga    

Amesema katika kukuza zao la Michikichi Serikali inatarajia kuweka ruzuku ili kurahisisha upatikanaji wa miche ya kisasa kirahisi na kwa wakati ili kuokoa kiasi cha fedha kinachotumika kuagiza mafuta ya kula Nje ya Nchi huku akiwashauri wakulima Kujikita katika mashamba Makubwa na ya pamoja

Nchini Tanzania kwa sasa Mahitaji ya Mafuta ya Kula ni zaidi ya Tani 650, 000 huku uzalishaji unakakadiriwa kuwa tani 290, 000 na kiasi cha tani   360, 000 sawa na 55% huagizwa kutoka Nje ya Nchi na kugharimu Serikali kiasi cha fedha za Kitanzania Billion 470 kila Mwaka  



Matangazo

  • NYARAKA ZA WAKUU WA SHULE WALIMU WAKUU October 10, 2022
  • Ufatiliaji wa Kina Kusaka wasiokata Leseni za Biashara 2017 March 20, 2017
  • Fedha za Mradi wa P4R mwezi Machi 2017 April 13, 2017
  • Fedha za Mradi wa Barabara Machi 2017 April 13, 2017
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • NYUMBA YA WALIMU SHULE YA SEKONDARI MJIMWEMA IPO HATUA YA UMALIZIAJI. Building

    May 08, 2025
  • MAANDALIZI MAPOKEZI YA MWENGE WA UHURU YAENDELEA UJIJI, DC AKAGUA MIRADI. National touch

    May 07, 2025
  • SERIKALI YAENDELEA KUTOA MSAADA WA KIBINADAMU WAATHIRIKA WA MVUA KIGOMA UJIJI. Flood

    May 05, 2025
  • NMB YAKABIDHI VIFAA TIBA KIGOMA UJIJI. Health

    May 03, 2025
  • Angalia Yote

Picha za Kuona

MWENGE WA UHURU 2023
Picha za Kuona Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Ofisi ya Rais Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tume ya Ajira

Kurasa Husishi

  • Wizara ya Elimu
  • Wizara ya Afya
  • TCU
  • Mikopo Vyuo Vya Elimu Ya Juu
  • Ofisi ya RAS Kigoma
  • Jiji Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Manispaa ya Kigoma Ujiji

    Sanduku la Posta: S.L.P 44

    Simu: +255 28 2802535

    Namba ya Simu: +255765660847

    Barua pepe: municipal@kigomaujijimc.go.tz ictsecurity@kigomaujijimc.go.tz

Mawasiliano Mbalimbali

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Manispaa ya Kigoma Ujiji. Haki Zote Zimehifadhiwa