• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kigoma Ujiji Municipal Council
Kigoma Ujiji Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango,Takwimu na Usimamizi
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Kitengo cha Teknolojia Habari na Mawasiliano
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Sekta ya Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Ukimwi
      • Kamati Ya Maadili
      • Uchumi Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Kamati Za Madiwani
      • Ratiba Kuonana Na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyo Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Picha za Kuona
      • Mh.Meya
    • Tukio
    • Habari

MEYA UJIJI AONGOZA KAMATI YA FEDHA KUTEMBELEA MIRADI.

Posted on: February 18th, 2026

Na Mwandishi Wetu

Kamati ya Fedha na Uongozi Manispaa ya Kigoma/ Ujiji Leo Februari 18, 2026 imefanya ziara ya kutembelea miradi ya Maendeleo inayoendelea kutekelezwa.


Ziara hiyo imefanyika ikiongozwa na Meya wa Manispaa hiyo  Mhe. Musa Maulidi na Kuhudhuriwa na Wajumbe wa kamati hiyo(Waheshimiwa Madiwani) pamoja na Wakuu wa Idara na Vitengo.


Viongozi hao wamefanya ziara katika Ujenzi wa Soko la Kisasa katika Mwalo wa kibirizi unaendelea kwa gharama fedha za Kitanzania   Billion Saba (Tsh 7,000,000,000/=) ukiwa katika hatua ya kujaza udongo na kuondoa maji.


Aidha Viongozi hao wametembelea na kukagua ujenzi wa ukumbi wa Kisasa unaojengwa eneo la Mwanga Community centre kwa gharama  ya fedha za Kitanzania Billion 3.3/= hadi kukamilika fedha kutoka Mapato ya ndani ukiwa katika hatua ya Kupanga mawe na kutembelea ujenzi wa Shule mpya ya Msingi yenye Mkondo mmoja  iliyopo Kata ya Kibirizi kwa gharama ya fedha za Kitanzania zaidi ya Million Mia mbili (Tsh 243,900,000/=) ukiwa umekamilika.


Zaidi bofya www.kigomaujijimc.go.tz

Matangazo

  • NYARAKA ZA WAKUU WA SHULE WALIMU WAKUU October 10, 2022
  • Ufatiliaji wa Kina Kusaka wasiokata Leseni za Biashara 2017 March 20, 2017
  • Fedha za Mradi wa P4R mwezi Machi 2017 April 13, 2017
  • Fedha za Mradi wa Barabara Machi 2017 April 13, 2017
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • MEYA UJIJI AONGOZA KAMATI YA FEDHA KUTEMBELEA MIRADI.

    February 18, 2026
  • MRADI WA SHULE BORA WAKUTANISHA WALIMU WA KIINGEREZA KIGOMA UJIJI. Elimu Project

    February 18, 2026
  • BARAZA LA MADIWANI LAPITISHA BAJETI YA BILLION 44.9 KWA MWAKA 2026/2027. Budget

    February 17, 2026
  • ZAIDI YA WANANCHI 2300 KIGOMA UJIJI WAMEENDELEA KUNUFAIKA NA UJENZI WA SOKO LA MWANGA. Market Construction

    February 17, 2026
  • Angalia Yote

Picha za Kuona

MWENGE WA UHURU 2023
Picha za Kuona Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Ofisi ya Rais Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tume ya Ajira
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2025 HAYA HAPA

Kurasa Husishi

  • Wizara ya Elimu
  • Wizara ya Afya
  • TCU
  • Mikopo Vyuo Vya Elimu Ya Juu
  • Ofisi ya RAS Kigoma
  • Jiji Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Manispaa ya Kigoma Ujiji

    Sanduku la Posta: S.L.P 44

    Simu: +255 28 2802535

    Namba ya Simu: +255765660847

    Barua pepe: municipal@kigomaujijimc.go.tz ictsecurity@kigomaujijimc.go.tz

Mawasiliano Mbalimbali

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Manispaa ya Kigoma Ujiji. Haki Zote Zimehifadhiwa