• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kigoma Ujiji Municipal Council
Kigoma Ujiji Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango,Takwimu na Usimamizi
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Kitengo cha Teknolojia Habari na Mawasiliano
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Sekta ya Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Ukimwi
      • Kamati Ya Maadili
      • Uchumi Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Kamati Za Madiwani
      • Ratiba Kuonana Na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyo Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Picha za Kuona
      • Mh.Meya
    • Tukio
    • Habari

DC KIGOMA AFANYA ZIARA MIRADI YA BOOST KIGOMA/UJIJI District Commisioner

Posted on: June 22nd, 2023



Na Mwandishi Wetu

Mkuu wa Wilaya ya Kigoma Ndugu. Salum Hamis Kali Leo June 22, 2023 amefanya ziara ya kutembelea na kukagua ujenzi wa miundombinu kwa shule za msingi kupitia mradi wa BOOST wenye thamani ya fedha zaidi ya billion moja (Tsh 1, 467, 200,000/=) inayotekelezwa Manispaa ya Kigoma/Ujiji

Kiongozi huyo amefanya ziara hiyo   akiambatana na Wajumbe wa kamati ya ulinzi na usalama Wilaya huku wakiridhishwa  na kupongeza namna ujenzi wa miundombinu ya madarasa inavyotekelezwa

Mkuu wa Wilaya ameitaka ofisi ya Mkurugenzi kuhakikisha wanasimamia thamani ya mradi na kukamilisha   kwa wakati

Ujenzi huu unahusisha ujenzi wa Shule tatu (03) mpya unaoendelea kujengwa   kwa gharama ya Tsh 922,600,000/=, Ujenzi wa Madarasa kumi na sita (16) kwa gharama ya Tsh   416,000,000/=, Ujenzi wa madarasa 2 ya elimu ya awali ya mfano kwa gharama ya Tsh 71,800,000/=, Ujenzi wa darasa 1 la elimu maalumu Tsh 26,000,000/=, na Ujenzi wa matundu kumi na nne (14) ya vyoo kwa gharama ya Tsh 30,800,00/=

Shule zinazotekeleza mradi huu ni pamoja  na Ujenzi wa Shule mpya Kiheba iliyopo Kibirizi kwa gharama ya Tsh 561,100,000/= na Ujenzi wa Shule mpya ya Kibirizi kwa gharama ya Tsh 361,500,000/=

Ujenzi wa madarasa manne (04) Shule ya Msingi Katubuka kwa gharama ya Tsh 104,000,000/=, Ujenzi wa darasa moja (01) la Wanafunzi wenye Mahitaji maalumu kwa gharama ya Tsh  26,000,000/= na ujenzi wa Matundu matatu (03) ya vyoo  kwa gharama ya Tsh 6,600,000/=

Shule ya Msingi Kabingo inatekeleza ujenzi wa madarasa manne (04) kwa gharama ya Tsh 104,000,000/=, na Ujenzi wa matundu manne (04) ya vyoo kwa gharama ya Tsh    8,800,000/=,

Aidha Shule ya Msingi Kipampa inaendelea na ujenzi wa madarasa manne (04) kwa gharama ya Tsh 104,000,000/=, na Ujenzi wa matundu matatu (03) ya Vyoo kwa gharama ya Tsh  6,600,000/=

Pia, Shule ya Msingi Butunga inatekeleza ujenzi wa  madarasa manne (04) kwa gharama ya Tsh 104,000,000/=, Ujenzi wa madarasa mawili (02) ya awali ya Mfano kwa gharama ya Tsh   71,800,000/=, na Ujenzi wa matundu manne (04) ya vyoo kwa gharama ya Tsh  8,800,000/=

Endelea kutufuatilia kupitia mitandao yetu ya kijamii na tovuti kwa kubofya www.kigomaujijimc.go.tz      




Matangazo

  • NYARAKA ZA WAKUU WA SHULE WALIMU WAKUU October 10, 2022
  • Ufatiliaji wa Kina Kusaka wasiokata Leseni za Biashara 2017 March 20, 2017
  • Fedha za Mradi wa P4R mwezi Machi 2017 April 13, 2017
  • Fedha za Mradi wa Barabara Machi 2017 April 13, 2017
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • NYUMBA YA WALIMU SHULE YA SEKONDARI MJIMWEMA IPO HATUA YA UMALIZIAJI. Building

    May 08, 2025
  • MAANDALIZI MAPOKEZI YA MWENGE WA UHURU YAENDELEA UJIJI, DC AKAGUA MIRADI. National touch

    May 07, 2025
  • SERIKALI YAENDELEA KUTOA MSAADA WA KIBINADAMU WAATHIRIKA WA MVUA KIGOMA UJIJI. Flood

    May 05, 2025
  • NMB YAKABIDHI VIFAA TIBA KIGOMA UJIJI. Health

    May 03, 2025
  • Angalia Yote

Picha za Kuona

MWENGE WA UHURU 2023
Picha za Kuona Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Ofisi ya Rais Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tume ya Ajira

Kurasa Husishi

  • Wizara ya Elimu
  • Wizara ya Afya
  • TCU
  • Mikopo Vyuo Vya Elimu Ya Juu
  • Ofisi ya RAS Kigoma
  • Jiji Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Manispaa ya Kigoma Ujiji

    Sanduku la Posta: S.L.P 44

    Simu: +255 28 2802535

    Namba ya Simu: +255765660847

    Barua pepe: municipal@kigomaujijimc.go.tz ictsecurity@kigomaujijimc.go.tz

Mawasiliano Mbalimbali

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Manispaa ya Kigoma Ujiji. Haki Zote Zimehifadhiwa