• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kigoma Ujiji Municipal Council
Kigoma Ujiji Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango,Takwimu na Usimamizi
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Kitengo cha Teknolojia Habari na Mawasiliano
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Sekta ya Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Ukimwi
      • Kamati Ya Maadili
      • Uchumi Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Kamati Za Madiwani
      • Ratiba Kuonana Na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyo Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Picha za Kuona
      • Mh.Meya
    • Tukio
    • Habari

DC KIGOMA, MBUNGE , MKURUGENZI WATOA POLE KWA WAFIWA, MWILI MWINGINE WAPATIKANA , Leaders

Posted on: February 28th, 2023

Na Mwandishi Wetu

Mkuu wa Wilaya ya Kigoma Ndugu. Salumu Kali, Mbunge wa Jimbo la Kigoma Mjini na Mkurugenzi wa Manispaa ya Kigoma/Ujiji Leo February 28, 2023 wametembelea familia za Kata ya Kagera kwa kutoa pole kutokana na kufiwa kwa Watoto waliozama katika mto Luiche kutokana na Mtumbwi kuzama

Viongozi hao wamefika katika Kata hiyo  Mapema Asubuhi wakiambatana na Kamati ya Ulinzi na Upsalama Wilaya ya Kigoma, Viongozi wa Chama cha Mapinduzi na Viongozi wa dini walioongoza Sara ya faraja kwa wafiwa  

Mkuu wa Wilaya ya Kigoma Ndugu. Salumu Kali amewapongeza Wavushaji wa Mto Ruiche, na Wanachi kwa ushirikiano ambao wameendelea kufanya tangu siku ya kwanza katika jitihada za kuokoa watoto waliozama kwa kushirikiana na Jeshi la zimamoto na ukoaji

Mkuu huyo wa Wilaya ametoa maboya kumi (10) yatakayokuwa yakitumika katika kivuko hicho kuwavusha wanafunzi wa ishirini na Moja (21) ambao bado wanasoma Shule ya Msingi Kagera huku akiwataka wazazi kuwaruhusu watoto wao kuhudhuria masomo

Amelitaka Jeshi la Zimamoto na Ukoaji kuendelea na Jitihada za kusaka mwili ambao bado haujapatikana

Mbunge wa Jimbo la Kigoma Mjini Mhe. Kilumbe Ng'enda Shabani  ameitaka Serikali kuharakisha Ujenzi wa barabara ya Wafipa-Kagera itakayojumuisha ujenzi wa daraja la mto Ruiche ili kuondokana na Changamoto za ajari pamoja na changamoto za usafirishaji mazao  

Naye Mkurugenzi wa Manispaa ya Kigoma/Ujiji Ndugu. Athumani Msabila amesema Serikali inatekeleza Ujenzi wa barabara ya Wafipa-Kagera ya km 2  itakayojumuisha ujenzi wa daraja la Mto Ruiche kupitia Mradi wa TACTICS unaofadhiliwa na Benki ya Dunia (WB)

Siku ya Ijumaa February 24, Mwaka huu  Mtubwi uliokuwa umebaba Wanafunzi sita (06) ulizama katika Mto Ruiche ambapo wawili waliokolewa wakiwa hai, Siku ya Jumamosi miili miwili ya Wanafunzi waliofatiki ilipatikana na Mwili Mmoja umepatikana leo February 28, 2023 na kufanya miili ya Watoto watatu (03) kupatikana  na kikiso cha zimamoto na ukoaji kinaendelea na jitihada za kuutafuta mwili wa mtoto mmoja ambao haujapatikana mpaka sasa.


Matangazo

  • NYARAKA ZA WAKUU WA SHULE WALIMU WAKUU October 10, 2022
  • Ufatiliaji wa Kina Kusaka wasiokata Leseni za Biashara 2017 March 20, 2017
  • Fedha za Mradi wa P4R mwezi Machi 2017 April 13, 2017
  • Fedha za Mradi wa Barabara Machi 2017 April 13, 2017
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • NYUMBA YA WALIMU SHULE YA SEKONDARI MJIMWEMA IPO HATUA YA UMALIZIAJI. Building

    May 08, 2025
  • MAANDALIZI MAPOKEZI YA MWENGE WA UHURU YAENDELEA UJIJI, DC AKAGUA MIRADI. National touch

    May 07, 2025
  • SERIKALI YAENDELEA KUTOA MSAADA WA KIBINADAMU WAATHIRIKA WA MVUA KIGOMA UJIJI. Flood

    May 05, 2025
  • NMB YAKABIDHI VIFAA TIBA KIGOMA UJIJI. Health

    May 03, 2025
  • Angalia Yote

Picha za Kuona

MWENGE WA UHURU 2023
Picha za Kuona Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Ofisi ya Rais Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tume ya Ajira

Kurasa Husishi

  • Wizara ya Elimu
  • Wizara ya Afya
  • TCU
  • Mikopo Vyuo Vya Elimu Ya Juu
  • Ofisi ya RAS Kigoma
  • Jiji Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Manispaa ya Kigoma Ujiji

    Sanduku la Posta: S.L.P 44

    Simu: +255 28 2802535

    Namba ya Simu: +255765660847

    Barua pepe: municipal@kigomaujijimc.go.tz ictsecurity@kigomaujijimc.go.tz

Mawasiliano Mbalimbali

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Manispaa ya Kigoma Ujiji. Haki Zote Zimehifadhiwa