• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kigoma Ujiji Municipal Council
Kigoma Ujiji Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango,Takwimu na Usimamizi
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Kitengo cha Teknolojia Habari na Mawasiliano
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Sekta ya Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Ukimwi
      • Kamati Ya Maadili
      • Uchumi Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Kamati Za Madiwani
      • Ratiba Kuonana Na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyo Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Picha za Kuona
      • Mh.Meya
    • Tukio
    • Habari

DIWANI KATA YA KIGOMA ACHAGULIWA KUWA MEYA MANISPAA YA KIGOMA/UJIJI, MADIWANI WATEULE WALA KIAPO. Oath

Posted on: December 8th, 2020

Na Mwandishi Wetu

Diwani wa kata ya Kigoma Mhe. Baraka Lupoli leo Desemba 9, amechaguliwa kuwa Meya wa Manispaa ya Kigoma/Ujiji katika kura zilizopigwa na waheshimiwa Madiwani wa Manispaa hiyo mara baada ya kula kiapo cha kutumikia nafasi hizo katika ukumbi wa NSSF Kigoma

Uchaguzi huo umefanyika sambamba na kumchagua Naibu Meya ambapo Diwani wa Kata ya Kipamba Mhe. Bi Mgeni Omary Kakolwa ameibuka mshindi katika nafasi hiyo huku kamati za kudumu za Madiwani zikiundwa ili kuanza kufanya kazi

Kabla ya Uchaguzi huo Madiwani hao waliapishwa na Kamishiana wa Viapo na baadae kutoa Tamko la ahadi ya Uadilifu kwa viongozi wa Umma kwa mjibu wa sheria kutoka kwa viongozi wa Tume ya Maadili

Akihutubia Mstahiki Meya mara tu baada ya kuapishwa amewataka Madiwani kuvunja makundi ya kisiasa kutokana na uchaguzi huo kuisha na kuanza  kuwa watumishi wa Wananchi kwa kuhakikisha maendeleo yanapatikana katika kata kumi na tisa za Manispaa huku wataalamu Kutoka Ofisi ya Mkurugenzi wa Manispaa hiyo wakitoa ushirikiano katika kutatua kero na changamoto za Wananchi

Mstahiki Meya huyo ameahidi kufanya ziara za kushitukiza mara kwa mara katika Kata na Mitaa ya Manispaa hiyo kwa  kukagua utekelezaji wa Ilani ya Awamu ya Tano na kuhakikisha watendaji wanakuwepo mda wote katika maeneo ya kazi na  kushughulikia maendeleo ya wananchi

Jumla ya Madiwani waliokula kiapo  ni Ishirini na Tano (25), kumi na tisa (19) waliochaguliwa na wananchi kutoka katika Kata za Manispaa na Madiwani sita (06) wakiwa ni Madiwani Miti Maalumu na Sherehe hizo za Uapishwaji wa madiwani zimehudhuriwa na viongozi mbalimbali wa Kisiasa, Serikali na dini akiwemo Mkuu wa Wilaya ya Kigoma , Mbuge wa Jimbo la Kigoma Mjini, Mameya Wastaafu, viongozi wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama, Wawakilishi kutoka katika Mabenki, Wananchi na Waandishi wa Habari

Video na picha ya tukio hili tembelea Maktaba ya picha katika tovuti yetu www.kigomaujijimc.go.tz

Matangazo

  • NYARAKA ZA WAKUU WA SHULE WALIMU WAKUU October 10, 2022
  • Ufatiliaji wa Kina Kusaka wasiokata Leseni za Biashara 2017 March 20, 2017
  • Fedha za Mradi wa P4R mwezi Machi 2017 April 13, 2017
  • Fedha za Mradi wa Barabara Machi 2017 April 13, 2017
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • NYUMBA YA WALIMU SHULE YA SEKONDARI MJIMWEMA IPO HATUA YA UMALIZIAJI. Building

    May 08, 2025
  • MAANDALIZI MAPOKEZI YA MWENGE WA UHURU YAENDELEA UJIJI, DC AKAGUA MIRADI. National touch

    May 07, 2025
  • SERIKALI YAENDELEA KUTOA MSAADA WA KIBINADAMU WAATHIRIKA WA MVUA KIGOMA UJIJI. Flood

    May 05, 2025
  • NMB YAKABIDHI VIFAA TIBA KIGOMA UJIJI. Health

    May 03, 2025
  • Angalia Yote

Picha za Kuona

MWENGE WA UHURU 2023
Picha za Kuona Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Ofisi ya Rais Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tume ya Ajira

Kurasa Husishi

  • Wizara ya Elimu
  • Wizara ya Afya
  • TCU
  • Mikopo Vyuo Vya Elimu Ya Juu
  • Ofisi ya RAS Kigoma
  • Jiji Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Manispaa ya Kigoma Ujiji

    Sanduku la Posta: S.L.P 44

    Simu: +255 28 2802535

    Namba ya Simu: +255765660847

    Barua pepe: municipal@kigomaujijimc.go.tz ictsecurity@kigomaujijimc.go.tz

Mawasiliano Mbalimbali

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Manispaa ya Kigoma Ujiji. Haki Zote Zimehifadhiwa