• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kigoma Ujiji Municipal Council
Kigoma Ujiji Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango,Takwimu na Usimamizi
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Kitengo cha Teknolojia Habari na Mawasiliano
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Sekta ya Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Ukimwi
      • Kamati Ya Maadili
      • Uchumi Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Kamati Za Madiwani
      • Ratiba Kuonana Na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyo Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Picha za Kuona
      • Mh.Meya
    • Tukio
    • Habari

FURSA YA TAKA KIGOMA/UJIJI, sanitation

Posted on: March 30th, 2021

Na Mwandishi wetu

Wakuu wa Idara na Vitengo Manispaa ya Kigoma/Ujiji wametakiwa kuwawezesha kuwainua  wananchi kiuchumi kwa kuwapatia elimu ya uchakataji wa taka zinazozalishwa katika Manispaa hiyo

Ushauri huo umetolewa na Mtaalamu wa Mazingira na uchakataji taka Ndugu. Patrick Matandala kutoka kampuni ya Belgium Development Agency wakati akitoa Mafunzo ya siku mbili yaliyofanyika kuanzia  March 29-30,2021 katika  Ukumbi wa Hoteli ya Greenview namna ya udhibiti na upunguzaji wa taka mjini

Mtaalamu huyo amesema zipo fursa mbalimbali ambazo wananchi wanapaswa kuzifanya kutokana na  taka zinazalishwa, kusanywa na kupelekwa dampo la kisasa la Msimba ambapo kwa sasa fursa kubwa ni pamoja na utengenezaji wa mbolea ya Mboji na mbolea za viwandani kwa ajili ya wakulima wa ndani na nje ya mji huo


Ameendelea kusema fursa zingine ni pamoja na  kubadili matumizi (Recycling) na kutumika tena (Re-use) kwa vitu kama vile plastiki na chuma ili kuhakikisha gharama za usafirishaji wa taka unapungua na mji unakuwa safi kutokana na taka hizo kutumika kwa namna nyingine bora


Aidha Kaimu Mkurugenzi wa Manispaa ya kigoma/Ujiji na Mkuu wa idara ya Mipango miji na Ardhi  Ndugu. Brown Nziku  amewaomba wawekezaji kuja kuwekeza katika Manispaa hiyo na kuchangamkia fursa za ugeuzaji taka kuwa malighafi zingine zinazoweza kutumika kwa matumizi mengine ya binadamu kutokana na uzalishaji wa taka kuwa mkubwa


Kaimu Mkurugenzi huyo amewataka wananchi  kuunda  vikundi vya wajasiriamali na kuvisajili ili viweze kuwezeshwa kupata mikopo isiyokuwa na riba na kuhakikisha wananchi kupitia vikundi hivyo wanachangamkia fursa hizo ikiwa ni pamoja na uzoaji taka katika mitaa na makazi ya watu ili kuhakikisha mji unakuwa safi na watu kujiajiri na kuzalisha ajira ya kazi hiyo


Wataalamu hao wamehitimisha mafunzo hayo kwa kufanya ziara katika vizimba vya ukusanyaji taka na kutembelea kikundi cha Umoja kinachopatikana kata ya Gungu eneo la veta wanaojishughulisha na uchakataji wa taka za plastiki kwa kuzisaga na kusafirisha bidhaa hiyo kwa ajili ya Masoko katika Jiji la Dar es salaam


Inakadiriwa kuwa kwa kila mkazi wa Manispaa ya Kigoma/Ujiji anazalisha kilogram 0.5 kwa siku na Kwa sasa Manispaa ya Kigoma/Ujiji inazalisha tani mia moja na arobaini (140) za taka kwa siku  na uzalishaji huo umekuwa ukikua kutokana na hali ya ukuaji wa mji  kwa ongezeko la idadi ya watu

Picha na video zaidi bofya http://www.kigomaujijimc.go.tz/sinlge-gallery/vifaa-na-mafunzo-ya-usafi-na-mazingira-kutoka-kwa-kampuni-ya-lawatama

Matangazo

  • NYARAKA ZA WAKUU WA SHULE WALIMU WAKUU October 10, 2022
  • Ufatiliaji wa Kina Kusaka wasiokata Leseni za Biashara 2017 March 20, 2017
  • Fedha za Mradi wa P4R mwezi Machi 2017 April 13, 2017
  • Fedha za Mradi wa Barabara Machi 2017 April 13, 2017
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • NYUMBA YA WALIMU SHULE YA SEKONDARI MJIMWEMA IPO HATUA YA UMALIZIAJI. Building

    May 08, 2025
  • MAANDALIZI MAPOKEZI YA MWENGE WA UHURU YAENDELEA UJIJI, DC AKAGUA MIRADI. National touch

    May 07, 2025
  • SERIKALI YAENDELEA KUTOA MSAADA WA KIBINADAMU WAATHIRIKA WA MVUA KIGOMA UJIJI. Flood

    May 05, 2025
  • NMB YAKABIDHI VIFAA TIBA KIGOMA UJIJI. Health

    May 03, 2025
  • Angalia Yote

Picha za Kuona

MWENGE WA UHURU 2023
Picha za Kuona Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Ofisi ya Rais Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tume ya Ajira

Kurasa Husishi

  • Wizara ya Elimu
  • Wizara ya Afya
  • TCU
  • Mikopo Vyuo Vya Elimu Ya Juu
  • Ofisi ya RAS Kigoma
  • Jiji Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Manispaa ya Kigoma Ujiji

    Sanduku la Posta: S.L.P 44

    Simu: +255 28 2802535

    Namba ya Simu: +255765660847

    Barua pepe: municipal@kigomaujijimc.go.tz ictsecurity@kigomaujijimc.go.tz

Mawasiliano Mbalimbali

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Manispaa ya Kigoma Ujiji. Haki Zote Zimehifadhiwa