• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kigoma Ujiji Municipal Council
Kigoma Ujiji Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango,Takwimu na Usimamizi
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Kitengo cha Teknolojia Habari na Mawasiliano
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Sekta ya Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Ukimwi
      • Kamati Ya Maadili
      • Uchumi Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Kamati Za Madiwani
      • Ratiba Kuonana Na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyo Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Picha za Kuona
      • Mh.Meya
    • Tukio
    • Habari

GAZETI LA MWANANCHI LACHAPISHA HABARI YA UONGO, HUDUMA ZA JAMII KWA WAKAZI WA MANISPAA YA KIGOMA UJIJI ZIMEBORESHWA. SOCIAL SERVICES FOR RESIDENTS OF KIGOMA UJIJI MUNICIPAL HAVE BEEN IMPROVED

Posted on: January 2nd, 2019

Mkurugenzi wa halmashauri ya Manispaa ya Kigoma/Ujiji  Mwailwa Pangani  leo January 2, 2019 amemtaka mhariri mkuu wa gazeti la Mwananchi kumuomba msamaha kutokana na kuchapisha habari ya uongo .

Ameyasema leo ofsini kwake alipokuwa na mkutano wa waandishi wa habari kutokana na habari ya desemba 31,2018 katika gazeti la mwananchi  iliyomhusisha mkurugenzi huyo kwa kumtuhumu katibu wa itikadi na uenezi  wa Chama Cha  Mapinduzi (CCM) Ndg.  Humpley  Polepole kusababisha kushusha mapato ya halmashauri hiyo.

Akiongea na waandishi wa habari ofsini kwake Mkurugenzi huyo amesema alishitushwa na habari hiyo iliyo nukuu maneno yake na kumtaja kwa jina  wakati hajawahi kufanya mahojiano na mwandishi wa habari hiyo.


Ameendelea kusema chanzo cha habari hiyo ni mgogoro wa wafanya biashara baina yao na halmashauri juu ya utoaji wa ushuru wa pango kwa wafanyabishara kushindwa kulipia pango kwa Tsh. 50,000/= na katibu wa uenezi kutoa ushauri kwa manispaa ya Kigoma Ujiji kuhusiana na pango hilo kuwa chini ya kiwango hicho jambo kwa kubadilisha sheria ndogo za utoaji ushuru huo.

Ameendelea kusema serikali  ilimaliza mgogoro huo kupitia TAMISEMI kwa kutoa Mwongozo wa namna wafanyabiashara wa masokoni watakavyokuwa wakilipa ushuru wa pango ambapo iliamuliwa kwa masoko madogo kulipia Tsh 15000/= kwa kila duka kwa mwezi, na kwa masoko makubwa kulipia ushuru wa pango Tsh 25000/= kwa kila duka kwa mwezi.

Ameendelea kusema mgogoro huo haukushusha mapato bali uliongeza wigo kwa watendaji kuibua vyanzo vipya vya mapato na kufanya mapato kuongezeka zaidi kwa kipindi hiki ukilinganisha na kipindi cha mgogoro huo.

“huduma za wananchi zimeboreshwa  stendi kuu ya mabasi taa zinawaka usiku na mpango ulikuwa taa za barabara ya kutoka mjini kwenda ujiji ziwake changamoto imekuwa wizi uliotokea kwa nyaya za barabarani lakini kwa sasa hali iko vizuri na tumeibua vyanzo vingine vya mapato vilivyokuwa vinapotea kama sabuni zinazotengezwa Kigoma,  chanzo cha mawese na ushuru wa madini kama vile mawe  na kokoto” ameyasema Mkurugenzi huyo.

Mkurugenzi huyo ameendelea  kueleza namna halmashauri ilivyoweka mazingira mazuri wa wafanyabiashara wa mashuka kwa kuwaonesha eneo la soko la Ujiji kufanyia biahara hiyo kwa lengo la usalama kwa  wafanyabiashara hao tofauti na awali kufanya biashara kando ya barabara za lami jambo ambalo linahatarisha usalama wa maisha yao.

Amemaliza kwa kusema mpango wa watendaji ni kuendelea kukusanya na kukuza zaidi mapato ya halmashauri hiyo na kufikia lengo la kukusanya million 200.8 kwa mwezi kutokana na malengo na mikakati iliyowekwa kwa mjibu wa bajeti .

Matangazo

  • NYARAKA ZA WAKUU WA SHULE WALIMU WAKUU October 10, 2022
  • Ufatiliaji wa Kina Kusaka wasiokata Leseni za Biashara 2017 March 20, 2017
  • Fedha za Mradi wa P4R mwezi Machi 2017 April 13, 2017
  • Fedha za Mradi wa Barabara Machi 2017 April 13, 2017
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • NYUMBA YA WALIMU SHULE YA SEKONDARI MJIMWEMA IPO HATUA YA UMALIZIAJI. Building

    May 08, 2025
  • MAANDALIZI MAPOKEZI YA MWENGE WA UHURU YAENDELEA UJIJI, DC AKAGUA MIRADI. National touch

    May 07, 2025
  • SERIKALI YAENDELEA KUTOA MSAADA WA KIBINADAMU WAATHIRIKA WA MVUA KIGOMA UJIJI. Flood

    May 05, 2025
  • NMB YAKABIDHI VIFAA TIBA KIGOMA UJIJI. Health

    May 03, 2025
  • Angalia Yote

Picha za Kuona

MWENGE WA UHURU 2023
Picha za Kuona Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Ofisi ya Rais Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tume ya Ajira

Kurasa Husishi

  • Wizara ya Elimu
  • Wizara ya Afya
  • TCU
  • Mikopo Vyuo Vya Elimu Ya Juu
  • Ofisi ya RAS Kigoma
  • Jiji Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Manispaa ya Kigoma Ujiji

    Sanduku la Posta: S.L.P 44

    Simu: +255 28 2802535

    Namba ya Simu: +255765660847

    Barua pepe: municipal@kigomaujijimc.go.tz ictsecurity@kigomaujijimc.go.tz

Mawasiliano Mbalimbali

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Manispaa ya Kigoma Ujiji. Haki Zote Zimehifadhiwa