• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kigoma Ujiji Municipal Council
Kigoma Ujiji Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango,Takwimu na Usimamizi
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Kitengo cha Teknolojia Habari na Mawasiliano
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Sekta ya Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Ukimwi
      • Kamati Ya Maadili
      • Uchumi Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Kamati Za Madiwani
      • Ratiba Kuonana Na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyo Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Picha za Kuona
      • Mh.Meya
    • Tukio
    • Habari

HALI YA MAAMBUKIZI YA UKIMWI KIGOMA/UJIJI NI ASILIMIA 2.6 education

Posted on: September 1st, 2023

Na Mwandishi Wetu

Wajumbe wa Kamati ya Kupambana na kudhibiti UKIMWI Halmashauri ya Mji wa Kibaha ya Mkoani Pwani Wamepatiwa mafunzo namna ya Kupambana na kuzuia maambukizi ya UKIMWI kutoka kwa Wajumbe wa Kamati hiyo Manispaa ya Kigoma/Ujiji

Mafunzo hayo yametolewa Leo Septemba 01, 2023 katika Ukumbi wa Kigoma Social Hall mara baada ya Kufika kufanya ziara ya Kujifunza namna Manispaa ya Kigoma/Ujiji ilivyofanikiwa  kudhibiti Maambukizi ya  UKIMWI kutoka 2.9% hadi kufikia 2.6%


Awali Akiwasilisha taarifa Mratibu wa Udhibiti wa UKIMWI Manispaa ya  Kigoma/Ujiji Ndugu. Raban Gwaguzo  amesema jumla ya Watu wanaoishi na VVU katika Manispaa hiyo  ni Watu 5,257 wanaume wakiwa 1,662 na Wanawake 3,595 kati ya Wakazi 322,524 kwa mjibu wa Sensa ya Watu na Makazi 2023  na hali ya Maambukizi yakiwa ni kwa 2.6%


Amesema mikakati ya Kupunguza Maambukizi kwa Manispaa hiyo ni pamoja na kuendelea kutoa huduma za Upimaji wa VVU , kutoa tiba na mafunzo kwa Watu wanaoishi na VVU katika vituo vya kutolea huduma za afya


Ameendelea kusisitiza mikakati mingine ikiwa ni pamoja na kuendelea kugawa kondomu katika Maeneo ya Nyumba za kulala Wageni, kutoa elimu kwa makundi yaliyohatarini, kudhibiti maambukizi ya Mama kwenda kwa mtoto na kutoa huduma ya tohara kwa Wanaume katika vituo vya afya  


Mganga Mkuu wa Halmashauri ya Mji wa Kibaha Dr. Peter Nsanya amesema Halmashauri hiyo inaendelea na mapambano ya kudhibiti UKIMWI ambapo kwa sasa hali ya Maambukizi ni 3.2% na Mkoa wa Pwani kwa ujumla hali ya maambukizi yakiwa kwa 5%


Zaidi bofya www.kigomaujijimc.go.tz  





Matangazo

  • NYARAKA ZA WAKUU WA SHULE WALIMU WAKUU October 10, 2022
  • Ufatiliaji wa Kina Kusaka wasiokata Leseni za Biashara 2017 March 20, 2017
  • Fedha za Mradi wa P4R mwezi Machi 2017 April 13, 2017
  • Fedha za Mradi wa Barabara Machi 2017 April 13, 2017
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • DC KIGOMA AONGOZA WANANCHI KUFANYA USAFI, KUELEKEA SIKU YA USAFI DUNIANI. Sanitation

    June 02, 2025
  • WAJASIRIAMALI WAENDELEA KUFIKIWA NA WATAALAMU KIGOMA UJIJI. Social services

    May 30, 2025
  • UGAWAJI WA VYANDARUA BURE UNAENDELEA KWENYE VITUO KIGOMA UJIJI. Health protection

    May 29, 2025
  • WAJASIRIAMALI KIGOMA UJIJI WATEMBELEWA NA WATAALAMU.

    May 28, 2025
  • Angalia Yote

Picha za Kuona

MWENGE WA UHURU 2023
Picha za Kuona Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Ofisi ya Rais Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tume ya Ajira

Kurasa Husishi

  • Wizara ya Elimu
  • Wizara ya Afya
  • TCU
  • Mikopo Vyuo Vya Elimu Ya Juu
  • Ofisi ya RAS Kigoma
  • Jiji Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Manispaa ya Kigoma Ujiji

    Sanduku la Posta: S.L.P 44

    Simu: +255 28 2802535

    Namba ya Simu: +255765660847

    Barua pepe: municipal@kigomaujijimc.go.tz ictsecurity@kigomaujijimc.go.tz

Mawasiliano Mbalimbali

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Manispaa ya Kigoma Ujiji. Haki Zote Zimehifadhiwa