• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kigoma Ujiji Municipal Council
Kigoma Ujiji Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango,Takwimu na Usimamizi
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Kitengo cha Teknolojia Habari na Mawasiliano
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Sekta ya Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Ukimwi
      • Kamati Ya Maadili
      • Uchumi Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Kamati Za Madiwani
      • Ratiba Kuonana Na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyo Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Picha za Kuona
      • Mh.Meya
    • Tukio
    • Habari

HALMASHAURI ZATAKIWA KUWEZESHA VIFAA NA MIUNDOMBINU RAFIKI KWA WATU WENYE ULEMAVU. Prime minister

Posted on: June 13th, 2025

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Kassim Majaliwa ameziagiza Halmashauri kutenga fedha kwaajili ya kuwanunulia vifaa watu wenye ulemavu na kuwajengea miundombinu rafiki itakayowawezesha kutekeleza shughuli zao bila bughudha.


Waziri Mkuu ametoa Rai hiyo leo tarehe 13 Juni,2025 alipomwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.Samia Suluhu Hassan wakati wa Maadhimisho ya Kilele cha Siku ya Kimataifa ya kukuza uelewa kuhusu Ualbino  yaliyofanyika katika uwanja wa Mwanga Community Centre Mkoani Kigoma.


Amesema anaamini Halmashauri hazitashindwa kuwahudumia watu wenye ulemavu ambao wako kwenye maeneo yao kwakuwa idadi yao si kubwa na kwamba suala la kuwanunulia vifaa kama vile Baiskeli za kutembelea pamoja na vifaa vingine ni jambo linalowezekana.


Aidha katika Maadhimisho hayo yaliyohudhuriwa pia na Waziri wa nchi ofisi ya Waziri Mkuu Kazi,Ajira na Watu wenye ulemavu Mhe.Ridhiwan Kikwete, Waziri Mkuu amezindua  programu janja ya ‘Albino Mobile App’ ambayo itawezesha kufanya usajili na ukusanyaji wa taarifa za watu wenye ualbino kwa njia ya kidigitali.


Maadhimisho haya hufanyika kila ifikapo tarehe 13 Juni ambapo mara hii ni ya 10 yakiwa yamebeba Kaulimbiu isemayo "Kushiriki katika Uchaguzi ni Haki,kuchagua na kuchaguliwa,linda haki za watu wenye Ualbino.

Matangazo

  • NYARAKA ZA WAKUU WA SHULE WALIMU WAKUU October 10, 2022
  • Ufatiliaji wa Kina Kusaka wasiokata Leseni za Biashara 2017 March 20, 2017
  • Fedha za Mradi wa P4R mwezi Machi 2017 April 13, 2017
  • Fedha za Mradi wa Barabara Machi 2017 April 13, 2017
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • KLINIKI YA ARDHI INAENDELEA KIBIRIZI. Land clinic

    June 20, 2025
  • MATIBABU YA KIBIGWA YANAENDELEA KITUO CHA AFYA UJIJI, FIKA PATA MATIBABU. Health

    June 18, 2025
  • MAADHIMISHO YA UNYWAJI MAZIWA YAFANYIKA KIGOMA UJIJI.

    June 17, 2025
  • SIKU YA MTOTO YA AFRIKA YAADHIMISHWA KIGOMA UJIJI. African Child

    June 16, 2025
  • Angalia Yote

Picha za Kuona

MWENGE WA UHURU 2023
Picha za Kuona Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Ofisi ya Rais Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tume ya Ajira

Kurasa Husishi

  • Wizara ya Elimu
  • Wizara ya Afya
  • TCU
  • Mikopo Vyuo Vya Elimu Ya Juu
  • Ofisi ya RAS Kigoma
  • Jiji Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Manispaa ya Kigoma Ujiji

    Sanduku la Posta: S.L.P 44

    Simu: +255 28 2802535

    Namba ya Simu: +255765660847

    Barua pepe: municipal@kigomaujijimc.go.tz ictsecurity@kigomaujijimc.go.tz

Mawasiliano Mbalimbali

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Manispaa ya Kigoma Ujiji. Haki Zote Zimehifadhiwa