• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kigoma Ujiji Municipal Council
Kigoma Ujiji Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango,Takwimu na Usimamizi
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Kitengo cha Teknolojia Habari na Mawasiliano
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Sekta ya Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Ukimwi
      • Kamati Ya Maadili
      • Uchumi Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Kamati Za Madiwani
      • Ratiba Kuonana Na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyo Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Picha za Kuona
      • Mh.Meya
    • Tukio
    • Habari

KATIBU MKUU UTUMISHI NA MAADILI OFSI YA RAIS NDUGU ROCKY ROBERT SETEMBO ASIFIA OFSI YA MALALAMIKO NA OFSI YA HABARI KUPITIA TOVUTI KWA UTENDAJI MZURI

Posted on: June 19th, 2018

Katibu mkuu utumishi na maadili ofsi ya Rais Rocky Robert Setembo jana june 18 ametoa mwaliko kwa Afisa malalamiko manispaa ya Kigoma Ujiji kuhudhulia mkutano wa wadau wa public sector system strengthing(ps3) utakaofanyika Morogoro june 25, na 26.

Alitoa mwaliko huo katika kikao kilichomhusisha Dr. Peter M. Kilima kutoka ps3 Dar es salaam, Moses Musolezi katibu tawala msaidizi mkoa wa Kigoma, mkurugenzi wa manispaa ya Kigoma ujiji, afisa utumishi, afisa wa mipango miji, ardhi na maliasili, afisa Tehama,afisa wa mipango na uchumi  pamoja na afisa malalamiko.

mwaliko huo aliutoa  baada ya kukagua na kulidhika na kazi nzuri inayofanywa na Afisa malalamiko wa manispaa hiyo ndugu Mellagi S. Mollel kutokana na mpangilio alioufanya wa rejesta ya kushugulikia malalamiko, na kumtaka afisa malalamiko huyo kujiandaa kutoa mada na namna ya kushugulikia malalamiko na mpangilio wa nyaraka za kushugulikia malalamiko .

naye  Dr. Peter M.Kilima alisema ofsi ya public sector system strengthing(ps3)  wameandaa miongozo ya kushugulikia malalamiko na  maadili ya watumishi  wa umma, na kuendelea kusema ofsi ya malalamiko lazima ifanye kazi kwa ufanisi na kushugulikia malalamiko ambapo alisema “kama mtu au kiongozi yeyote halalamikiwi hawezi jua kama anakosea”.

Ameendele kusema lazma wananchi na watu wengine wenye malalamiko kupewa elimu ili kujua hatua za kupitia katika kushugulikia malalamiko, licha ya  wengine kutohitaji kufuata hatua hizo na amesema “hata kama kuna malalamiko yamefika ngazi za juu aidha kwa mkurugenzi ni mhimu yarudishwe kwa afisa malalamiko kwa lengo la kufuata hatua.

Katibu mkuu huyo kutoka ofsi ya utumishi na maadili ofsi ya Rais ndugu Rocky Robert Setembo licha ya kushugulikia na kitengo cha malalamiko alifuatilia kitengo cha habari kupitia tovuti ambapo alisifia kazi inayofanywa na Afisa habari na kumtaka kufanya kazi na idara zote na kumtaka mkurugenzi wa manispaa Dr. John Shauri Tlatlaa kuzitaka idara kumpa ushirikiano afisa habari huyo

Katika kukagua utendaji kazi wa tovuti katibu mkuu wa utumishi na maadili ofsi ya Rais akishirikiana na Dr.Peter M. Kilima  waliweza kusifia mwonekano wa tovuti hiyo, kusifia habari zilizopo kuwa ni za wakati ukilinganisha na baadhi ya tovuti za halmashauri nchini.

Naye afisa habari wa manispaa hiyo ndugu Fred E. Bilintyo aliweza kuelezea  baadhi ya changamoto zinazoikabili katika uendeshaji wa tovuti ikiwa ni pamoja na habari kushindikana pandishwa kwa wakati kutokana na mpangilio wa tovuti ulivyo(backend), baadhi ya wakuu wa idara kutompatia ushirikiano wa kutosha katika utendaji kazi ambapo amesema ni tatizo lililokuwa likiikabili manispaa kwa mda kwa sababu awali hapakuwepo afisa habari , lakini wanaendelea kutoa elimu kupitia ofsi ya mkurugenzi.

Lakini pia wametaka wakuu wa idara , kutembelea tovuti mara kwa mara ikiwa ni pamoja na madiwani kufanya kazi mara nyingi na Afisa habari huyo.

Naye mkurugenzi wa halmashauri ya manispaa ya kigoma ujiji aliwashukuru viongozi hao kuja kutembelea manispaa kwa lengo la kuleta ufanisi wa kazi hasa maeneo ya malalamiko, upande wa tovuti, mapato na maadili kwa watumishi na kuendelea kusema ushauri walioutoa utasimamiwa kwa uzuri na kufanyiwa  kazi.

Viongozi hao wapo manispaa mkoani Kigoma kwa siku tano ambapo watapita katika kata mbalimbali wakiangalia utendaji kazi wa kamati za malalamiko na na namna ya kushugulikia malalamiko hayo

Matangazo

  • NYARAKA ZA WAKUU WA SHULE WALIMU WAKUU October 10, 2022
  • Ufatiliaji wa Kina Kusaka wasiokata Leseni za Biashara 2017 March 20, 2017
  • Fedha za Mradi wa P4R mwezi Machi 2017 April 13, 2017
  • Fedha za Mradi wa Barabara Machi 2017 April 13, 2017
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • NYUMBA YA WALIMU SHULE YA SEKONDARI MJIMWEMA IPO HATUA YA UMALIZIAJI. Building

    May 08, 2025
  • MAANDALIZI MAPOKEZI YA MWENGE WA UHURU YAENDELEA UJIJI, DC AKAGUA MIRADI. National touch

    May 07, 2025
  • SERIKALI YAENDELEA KUTOA MSAADA WA KIBINADAMU WAATHIRIKA WA MVUA KIGOMA UJIJI. Flood

    May 05, 2025
  • NMB YAKABIDHI VIFAA TIBA KIGOMA UJIJI. Health

    May 03, 2025
  • Angalia Yote

Picha za Kuona

MWENGE WA UHURU 2023
Picha za Kuona Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Ofisi ya Rais Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tume ya Ajira

Kurasa Husishi

  • Wizara ya Elimu
  • Wizara ya Afya
  • TCU
  • Mikopo Vyuo Vya Elimu Ya Juu
  • Ofisi ya RAS Kigoma
  • Jiji Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Manispaa ya Kigoma Ujiji

    Sanduku la Posta: S.L.P 44

    Simu: +255 28 2802535

    Namba ya Simu: +255765660847

    Barua pepe: municipal@kigomaujijimc.go.tz ictsecurity@kigomaujijimc.go.tz

Mawasiliano Mbalimbali

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Manispaa ya Kigoma Ujiji. Haki Zote Zimehifadhiwa