• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kigoma Ujiji Municipal Council
Kigoma Ujiji Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango,Takwimu na Usimamizi
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Kitengo cha Teknolojia Habari na Mawasiliano
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Sekta ya Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Ukimwi
      • Kamati Ya Maadili
      • Uchumi Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Kamati Za Madiwani
      • Ratiba Kuonana Na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyo Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Picha za Kuona
      • Mh.Meya
    • Tukio
    • Habari

KAMATI YA CCM MKOA WA KIGOMA YAKAGUA UTEKELEZAJI WA ILANI MANISPAA YA KIGOMA/UJIJI, YAKABIDHI VITI NA MEZA 150 KWA SHULE YA SEKONDARI KIGOMA UJIJI , CCM COMMITTE

Posted on: February 5th, 2021



Na Mwandishi wetu

Kamati ya siasa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Kigoma leo Februali 5, 2021 imefanya ziara Manispaa ya Kigoma/Ujiji kwa lengo la kukagua Utekelezaji wa Ilani ya chama hicho kwa mwaka 2015-2020


Ziara hiyo imefanyika ikiongozwa na Mwenyekiti wa Chama hicho Mkoa wa Kigoma Ndugu. Amandus  Nzamba akiongozwa na kamati ya siasa ya Chama Cha Mapinduzi Wilaya ya Kigoma na Wataalamu wa Manispaa ya Kigoma /Ujiji


katika ziara hiyo Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Kigoma amekabidhi Madawati na Meza mia moja hamsini (150) kwa Mkuu wa Shule ya Sekondari Kigoma Ujiji baada ya kufika kutembelea ukarabati na Ujenzi wa Shule hiyo uliogharimu Kiasi cha Fedha Million Sitini na nane na eĺfu sabini (608,070,000/=) ikiwa ni mapato ya Ndani ya Halmashauri hiyo


Aidha Mwenyekiti huyo amefika kuwasikiliza wananchi wa Kata ya Bangwe wenye Mgogoro wa ardhi ambapo wamedumu na Mgogoro huo kwa mda mrefu bila kupatiwa majibu huku Mkuu wa Idara ya Ardhi wa Manispaa hiyo Ndugu. Brown Nziku akisema Mgogoro huo tayari upo kwa Kamishina wa ardhi Kanda ya Magharibi  na mwekezaji wa eneo hilo amesitishwa kwa ujenzi aliokuwa akiufanya hadi pale jambo hilo litakapotatuliwa na kupatiwa ufumbuzi    


Katika ziara iliyofanyika na kamati ya Siasa ya Mkoa wa Kigoma  ya Chama Cha Mapinduzi maeneo mengine waliyo tembelea ni pamoja na Chanzo cha maji Bangwe, Ujenzi wa Jengo la Kujifungulia na Upasuaji Kituo cha Afya cha Gungu, na Dampo la Kisasa la Msimba mwenyekiti huyo amewataka Wataalamu kufanya kazi kwa weredi na kufikia Malengo yaliyokusudia na Kupata Maendeleo kwa Wakazi wa Manispaa hiyo  


Naye Kaimu Mkurugenzi wa Manispaa hiyo Ndugu. Frednand Filimbi amempongeza Kiongozi huyo na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Kigoma  na kamati yake kwa kutembelea Miradi huku akiahidi kufanyia kazi ushauri uliotolewa na kuendelea kusimamia Shughuli za serikali na Kuleta Maendeleo kwa Wakazi wa Manispaa ya Kigoma/Ujiji




Matangazo

  • NYARAKA ZA WAKUU WA SHULE WALIMU WAKUU October 10, 2022
  • Ufatiliaji wa Kina Kusaka wasiokata Leseni za Biashara 2017 March 20, 2017
  • Fedha za Mradi wa P4R mwezi Machi 2017 April 13, 2017
  • Fedha za Mradi wa Barabara Machi 2017 April 13, 2017
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • NYUMBA YA WALIMU SHULE YA SEKONDARI MJIMWEMA IPO HATUA YA UMALIZIAJI. Building

    May 08, 2025
  • MAANDALIZI MAPOKEZI YA MWENGE WA UHURU YAENDELEA UJIJI, DC AKAGUA MIRADI. National touch

    May 07, 2025
  • SERIKALI YAENDELEA KUTOA MSAADA WA KIBINADAMU WAATHIRIKA WA MVUA KIGOMA UJIJI. Flood

    May 05, 2025
  • NMB YAKABIDHI VIFAA TIBA KIGOMA UJIJI. Health

    May 03, 2025
  • Angalia Yote

Picha za Kuona

MWENGE WA UHURU 2023
Picha za Kuona Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Ofisi ya Rais Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tume ya Ajira

Kurasa Husishi

  • Wizara ya Elimu
  • Wizara ya Afya
  • TCU
  • Mikopo Vyuo Vya Elimu Ya Juu
  • Ofisi ya RAS Kigoma
  • Jiji Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Manispaa ya Kigoma Ujiji

    Sanduku la Posta: S.L.P 44

    Simu: +255 28 2802535

    Namba ya Simu: +255765660847

    Barua pepe: municipal@kigomaujijimc.go.tz ictsecurity@kigomaujijimc.go.tz

Mawasiliano Mbalimbali

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Manispaa ya Kigoma Ujiji. Haki Zote Zimehifadhiwa