• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kigoma Ujiji Municipal Council
Kigoma Ujiji Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango,Takwimu na Usimamizi
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Kitengo cha Teknolojia Habari na Mawasiliano
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Sekta ya Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Ukimwi
      • Kamati Ya Maadili
      • Uchumi Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Kamati Za Madiwani
      • Ratiba Kuonana Na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyo Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Picha za Kuona
      • Mh.Meya
    • Tukio
    • Habari

"VIJANA MIAKA 45 KUSHUKA CHINI WANARUHUSIWA KUKOPA, TUMETANGAZA TENA MILLION 440" MABUBA. Loan

Posted on: December 4th, 2025

Na Mwandishi Wetu

Mkurugenzi wa Manispaa ya Kigoma/Ujiji Ndugu. Kisena Mabuba amesema Vijana wenye umri wa  miaka arobaini na tano (45) kushuka chini wanaruhusiwa kuunda Kikundi na kukopa katika mikopo ya 10% inayotolewa na Halmashauri  kwa Makundi ya Wanawake, Vijana na Watu wenye Ulemavu.


Ameyasema hayo Leo Desemba 04, 2025 alipokuwa katika kipindi cha #Sikumpya kinachorushwa na Main FM iliyopo Manispaa ya Kigoma/Ujiji.


Amesema Halmashauri ya Manispaa ya Kigoma/Ujiji imeendelea kutoa mikopo ambapo katika kipindi hiki fedha  za awali zilizotolewa  ni Millioni hamsini na Sita (Tsh 56,000,000/=) na zaidi ya Millioni Mia tano (Tsh 555,652,400/=) zimetolewa hivi karibuni.


Amesema tayari Halmashauri imetangaza Utoaji wa mikopo isiyokuwa na riba kiasi cha Million Mia nne arobaini ( Tsh 440,000,000) huku akitaka makundi hayo kuanza kuomba.


Amesema kwa sasa Manispaa hiyo inashirikiaba na Bank ya CRDB kutoa elimu ya kifedha katika Makundi ya Wanawake, Vijana na Watu wenye Ulemavu.


Zaidi bofya www.kigomaujijimc.go.tz

Matangazo

  • NYARAKA ZA WAKUU WA SHULE WALIMU WAKUU October 10, 2022
  • Ufatiliaji wa Kina Kusaka wasiokata Leseni za Biashara 2017 March 20, 2017
  • Fedha za Mradi wa P4R mwezi Machi 2017 April 13, 2017
  • Fedha za Mradi wa Barabara Machi 2017 April 13, 2017
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • "VIJANA MIAKA 45 KUSHUKA CHINI WANARUHUSIWA KUKOPA, TUMETANGAZA TENA MILLION 440" MABUBA. Loan

    December 04, 2025
  • "HAKUNA MWANANCHI ANAYETEMBEA UMBALI WA ZAIDI YA KM 3 KUFUATA HUDUMA ZA MATIBABU KIGOMA UJIJI" MABUBA. Health

    December 04, 2025
  • MIUNDOMBINU YA KUKUSANYA MAJI YA MVUA KUANZA KUJENGWA SOKO LA MASANGA. Construction

    December 04, 2025
  • "TUJIVUNIE KIGOMA YETU, MASOKO MAKUBWA YANAJENGWA" MABUBA. High Project

    December 04, 2025
  • Angalia Yote

Picha za Kuona

MWENGE WA UHURU 2023
Picha za Kuona Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Ofisi ya Rais Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tume ya Ajira
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2025 HAYA HAPA

Kurasa Husishi

  • Wizara ya Elimu
  • Wizara ya Afya
  • TCU
  • Mikopo Vyuo Vya Elimu Ya Juu
  • Ofisi ya RAS Kigoma
  • Jiji Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Manispaa ya Kigoma Ujiji

    Sanduku la Posta: S.L.P 44

    Simu: +255 28 2802535

    Namba ya Simu: +255765660847

    Barua pepe: municipal@kigomaujijimc.go.tz ictsecurity@kigomaujijimc.go.tz

Mawasiliano Mbalimbali

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Manispaa ya Kigoma Ujiji. Haki Zote Zimehifadhiwa