• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kigoma Ujiji Municipal Council
Kigoma Ujiji Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango,Takwimu na Usimamizi
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Kitengo cha Teknolojia Habari na Mawasiliano
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Sekta ya Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Ukimwi
      • Kamati Ya Maadili
      • Uchumi Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Kamati Za Madiwani
      • Ratiba Kuonana Na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyo Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Picha za Kuona
      • Mh.Meya
    • Tukio
    • Habari

KAMATI YA SIASA YA CCM WILAYA YA KIGOMA YARIDHISHWA NA UJENZI WA MADARASA MANISPAA YA KIGOMA/UJIJI, School Buildings

Posted on: December 30th, 2021

Na Mwandishi wetu

Kamati ya siasa ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Kigoma Leo Desemba 30, 2021 imefanya ziara ya kutembelea ujenzi wa Madarasa arobaini na nane (48)  uliokuwa unaendelea kwa Shule za Sekondari kumi na Sita (16) Manispaa ya Kigoma/Ujiji huku ikiridhishwa na Ubora na viwango vya ujenzi huo  

Ziara hiyo imefanyika ikiongozwa na Mwenyekiti wa Chama hicho Wilaya ya Kigoma Ndugu. Alhaji Yassin Mtalikwa ambapo  amesema Lengo la ziara hiyo ni kukagua,  kusimamia  na kujiridhisha na Utekelezaji wa Ilani  kwa viwango na ubora unaohitajika  

Aidha Mwenyekiti huyo amesema Chama cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Kigoma imefanya ukaguzi wa miradi hiyo na kujiridhisha na usimamizi uliofanyika na Wataalamu huku akisema madarasa hayo yapo katika viwango vilivyowekwa  kutokana  na makisio  yaliyotolewa na Wahandisi wa Ujenzi

Mwenyekiti huyo wa Wilaya amempongeza Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan  kwa kutoa fedha za Ujenzi huo akishirikiana na Shirika la Fedha IMF Kwa kutoa fedha hizo huku akisema miundombinu hiyo itaboresha Mazingira ya Ufundishaji na Ujifunzaji  

Mkurugenzi wa Manispaa ya Kigoma/Ujiji  Ndugu. Athuman Msabila amesema mafanikio ya Ujenzi huo kwa wakati imechagizwa na kamati za usimamizi zilizoundwa na ununuzi wa vifaa vya ujenzi uliofanyika mapema huku akisema wanafunzi wote wa Kidato cha kwanza wataochaguliwa wataanza masomo kwa wakati mapema mwezi Januari 2022


Manispaa ya Kigoma/Ujiji  ilipokea  kiasi cha fedha za Kitanzania Million Mia tisa sitini (960,000,000/=) kutoka Serikali Kuu kutokana na Mkopo uliotolea wa Shirika la Fedha IMF ili kujenga vyumba vya madarasa arobaini na nane (48) kwa shule za Sekondari kumi na sita (16) ikiwa ni jitihada za kuinua Uchumi na   kupambana athari za Uviko-19 Nchini Tanzania  


Matangazo

  • NYARAKA ZA WAKUU WA SHULE WALIMU WAKUU October 10, 2022
  • Ufatiliaji wa Kina Kusaka wasiokata Leseni za Biashara 2017 March 20, 2017
  • Fedha za Mradi wa P4R mwezi Machi 2017 April 13, 2017
  • Fedha za Mradi wa Barabara Machi 2017 April 13, 2017
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • WAJASIRIAMALI WAENDELEA KUFIKIWA NA WATAALAMU KIGOMA UJIJI. Social services

    May 30, 2025
  • UGAWAJI WA VYANDARUA BURE UNAENDELEA KWENYE VITUO KIGOMA UJIJI. Health protection

    May 29, 2025
  • WAJASIRIAMALI KIGOMA UJIJI WATEMBELEWA NA WATAALAMU.

    May 28, 2025
  • RC ANDENGENYE AZINDUA ZOEZI LA UGAWAJI VYANDARUA MKOA WA KIGOMA. Malaria protection

    May 28, 2025
  • Angalia Yote

Picha za Kuona

MWENGE WA UHURU 2023
Picha za Kuona Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Ofisi ya Rais Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tume ya Ajira

Kurasa Husishi

  • Wizara ya Elimu
  • Wizara ya Afya
  • TCU
  • Mikopo Vyuo Vya Elimu Ya Juu
  • Ofisi ya RAS Kigoma
  • Jiji Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Manispaa ya Kigoma Ujiji

    Sanduku la Posta: S.L.P 44

    Simu: +255 28 2802535

    Namba ya Simu: +255765660847

    Barua pepe: municipal@kigomaujijimc.go.tz ictsecurity@kigomaujijimc.go.tz

Mawasiliano Mbalimbali

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Manispaa ya Kigoma Ujiji. Haki Zote Zimehifadhiwa