• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kigoma Ujiji Municipal Council
Kigoma Ujiji Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango,Takwimu na Usimamizi
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Kitengo cha Teknolojia Habari na Mawasiliano
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Sekta ya Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Ukimwi
      • Kamati Ya Maadili
      • Uchumi Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Kamati Za Madiwani
      • Ratiba Kuonana Na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyo Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Picha za Kuona
      • Mh.Meya
    • Tukio
    • Habari

KATA YA KIPAMPA KUJENGWA SHULE YA SEKONDARI. Building

Posted on: May 20th, 2021

Na mwandishi wetu

Kaimu Mkurugenzi wa Manispaa ya Kigoma/Ujiji Ndugu. Frednand Filimbi akiambatana na baadhi ya Wakuu wa idara na Vitengo leo May 20, 2021 amefanya ziara katika Kata ya Kipampa ambapo shule ya sekondari inatarajiwa kujengwa na Wafadhili wazawa

Akiwa katika eneo hilo linalotarajiwa kujengwa Kaimu Mkurugenzi huyo amekutana na Diwani wa Kata hiyo ambaye ni Naibu Meya Mhe. Mgeni Kakolwa (Bi)  akiwa na Mwenyekiti wa Kamati ya Mipango Mji, Ujenzi na Mazingira Mhe. Himidi Omary Himidi  pamoja na watendaji wa kata hiyo

Kaimu Mkurugenzi huyo amemtaka Mtendaji wa kata hiyo kufanya usafi wa eneo hilo na kutoa elimu kwa  wakazi wa kata hiyo kushiriki katika ya shughuli hiyo ya maendeleo huku akiwataka kusimamia ujenzi huo utakao anza hivi karibuni

Wafadhili hao ambao ni wazaliwa wa Ujiji wanatarajia kujenga vyumba vinne (04) vya madarasa pamoja na vyoo na Shule hiyo  inatarajiwa kujengwa  nyuma na jirani ya shule ya msingi Ujiji ilipo na tayari nguvu ya wananchi ilikuwa ilishaanza kutumika kwa kujenga misingi ya baadhi ya vyumba vya madarasa

Aidha Mkurugenzi huyo ametembelea na kukagua  ujenzi wa bwalo ulioanza katika shule ya sekondari Kasingirima ikiwa ujenzi huo unafadhiliwa na wafadhili hao , Mkurugenzi amemtaka Mhandisi wa Manispaa hiyo kusimamia  ujenzi huo huku akiwapongeza wafadhili hao na kuwataka wazaliwa wa Manispaa hiyo wanaoishi Ndani na Nje ya Nchi kuwa kielelezo kwa kuweka alama kwa kujenga miundombinu ya huduma za jamii

Manispaa ya Kigoma/Ujiji ina jumla ya kata kumi na tisa (19), kwa sasa kata nne (04) zinakabiliwa na changamoto ya ukosefu wa shule za sekondari za kata ambazo kata hizo ni pamoja na kata ya Kipampa, Businde, Katubuka, na kata ya Kigoma

Matangazo

  • NYARAKA ZA WAKUU WA SHULE WALIMU WAKUU October 10, 2022
  • Ufatiliaji wa Kina Kusaka wasiokata Leseni za Biashara 2017 March 20, 2017
  • Fedha za Mradi wa P4R mwezi Machi 2017 April 13, 2017
  • Fedha za Mradi wa Barabara Machi 2017 April 13, 2017
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • WAJASIRIAMALI WAENDELEA KUFIKIWA NA WATAALAMU KIGOMA UJIJI. Social services

    May 30, 2025
  • UGAWAJI WA VYANDARUA BURE UNAENDELEA KWENYE VITUO KIGOMA UJIJI. Health protection

    May 29, 2025
  • WAJASIRIAMALI KIGOMA UJIJI WATEMBELEWA NA WATAALAMU.

    May 28, 2025
  • RC ANDENGENYE AZINDUA ZOEZI LA UGAWAJI VYANDARUA MKOA WA KIGOMA. Malaria protection

    May 28, 2025
  • Angalia Yote

Picha za Kuona

MWENGE WA UHURU 2023
Picha za Kuona Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Ofisi ya Rais Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tume ya Ajira

Kurasa Husishi

  • Wizara ya Elimu
  • Wizara ya Afya
  • TCU
  • Mikopo Vyuo Vya Elimu Ya Juu
  • Ofisi ya RAS Kigoma
  • Jiji Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Manispaa ya Kigoma Ujiji

    Sanduku la Posta: S.L.P 44

    Simu: +255 28 2802535

    Namba ya Simu: +255765660847

    Barua pepe: municipal@kigomaujijimc.go.tz ictsecurity@kigomaujijimc.go.tz

Mawasiliano Mbalimbali

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Manispaa ya Kigoma Ujiji. Haki Zote Zimehifadhiwa