• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kigoma Ujiji Municipal Council
Kigoma Ujiji Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango,Takwimu na Usimamizi
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Kitengo cha Teknolojia Habari na Mawasiliano
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Sekta ya Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Ukimwi
      • Kamati Ya Maadili
      • Uchumi Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Kamati Za Madiwani
      • Ratiba Kuonana Na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyo Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Picha za Kuona
      • Mh.Meya
    • Tukio
    • Habari

KIGOMA/UJIJI TUJIANDAENI KUHESABIWA, KWA MAENDELEO YETU

Posted on: July 15th, 2022

Na Mwandishi Wetu

Wananchi na Wakazi  wa Manispaa ya Kigoma/Ujiji  wametakiwa kujiandaa na kushiriki sensa ya Watu na Makazi inayotarajia kufanyika August 23, 2022 ili kupata takwimu sahihi zitakayoisaidia Serikali kupanga Mipango ya Maendeleo

Yamesemwa hayo na Kaimu Mkurugenzi wa Manispaa ya Kigoma/Ujiji Ndugu. Frednand Filimbi  Jana July 14, 2022 wakati akifungua Mafunzo ya  kupinga ukatili kwa Wanawake na Watoto yaliyofanyikia ukumbi wa Ndela kwa Viongozi wa dini, Waganga wa tiba Asilia, Wawakilishi wa Watu waishio na Virusi vya Ukimwi kutoka katika kata zote kumi na tisa ( 19) za Manispaa hiyo

Kaimu Mkurugenzi huyo alisema umuhimu Sensa ya Watu na Makazi ni pamoja na Serikali kupata taarifa za msingi zitakazosaidia mchakato wa utekelezaji wa dira ya Maendeleo kwa Mwaka 2025, Mageuzi ya masuala ya afya na jamii, pamoja na ufuatiliaji wa ajenda za maendelo Kitaifa na Kimataifa, na Serikali kupata takwimu la Ongezeko la Watu itakayosaidia upangaji bajeti na Maendeleo kwa Wananchi

Alisema katika siku ya zoezi la Sensa ya Watu na Makazi   Watu Wote watahesabiwa kwa utaratibu uliopangwa ikiwemo Wasafiri watakaolala katika Vituo vya Kusafiria Kuamkia Siku ya Sensa na kwa kila Kaya zilizopo  

Katika Mafunzo hayo aliwataka Washiriki wa Mafunzo hayo kuwa tayari kuhesabiwa na kuendelea kupinga vitendo vya ukatili vinavyofanyika katika Jamii na kutoa taarifa katika vyombo vinavyohusika kama vile Jeshi la Polisi na Ofisi za Ustawi wa jamii

Mafunzo mengine aliyoyahudhuria na kuyafungua ni Mafunzo ya kupinga ukatili wa Wanawake na Watoto kwa Vikundi vya Malezi chanya toka ngazi ya jamii ikihusisha Viongozi wa dini, Watu Wenye ulemavu,  Makundi ya Vijana, Wawakilishi wa Mama na Baba bora,  Watu maarufu kutoka Kata za Buzeba zeba,  Katubuka na Kipampa yaliyofanyikia Shule ya Msingi Ujiji



Matangazo

  • NYARAKA ZA WAKUU WA SHULE WALIMU WAKUU October 10, 2022
  • Ufatiliaji wa Kina Kusaka wasiokata Leseni za Biashara 2017 March 20, 2017
  • Fedha za Mradi wa P4R mwezi Machi 2017 April 13, 2017
  • Fedha za Mradi wa Barabara Machi 2017 April 13, 2017
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • NYUMBA YA WALIMU SHULE YA SEKONDARI MJIMWEMA IPO HATUA YA UMALIZIAJI. Building

    May 08, 2025
  • MAANDALIZI MAPOKEZI YA MWENGE WA UHURU YAENDELEA UJIJI, DC AKAGUA MIRADI. National touch

    May 07, 2025
  • SERIKALI YAENDELEA KUTOA MSAADA WA KIBINADAMU WAATHIRIKA WA MVUA KIGOMA UJIJI. Flood

    May 05, 2025
  • NMB YAKABIDHI VIFAA TIBA KIGOMA UJIJI. Health

    May 03, 2025
  • Angalia Yote

Picha za Kuona

MWENGE WA UHURU 2023
Picha za Kuona Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Ofisi ya Rais Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tume ya Ajira

Kurasa Husishi

  • Wizara ya Elimu
  • Wizara ya Afya
  • TCU
  • Mikopo Vyuo Vya Elimu Ya Juu
  • Ofisi ya RAS Kigoma
  • Jiji Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Manispaa ya Kigoma Ujiji

    Sanduku la Posta: S.L.P 44

    Simu: +255 28 2802535

    Namba ya Simu: +255765660847

    Barua pepe: municipal@kigomaujijimc.go.tz ictsecurity@kigomaujijimc.go.tz

Mawasiliano Mbalimbali

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Manispaa ya Kigoma Ujiji. Haki Zote Zimehifadhiwa