• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kigoma Ujiji Municipal Council
Kigoma Ujiji Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango,Takwimu na Usimamizi
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Kitengo cha Teknolojia Habari na Mawasiliano
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Sekta ya Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Ukimwi
      • Kamati Ya Maadili
      • Uchumi Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Kamati Za Madiwani
      • Ratiba Kuonana Na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyo Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Picha za Kuona
      • Mh.Meya
    • Tukio
    • Habari

KIWANDA CHA MBOLEA ZA MAZAO KUJENGWA MANISPAA YA KIGOMA/UJIJI, Manure Industry

Posted on: April 30th, 2021

Na Mwandishi wetu

Wawekezaji wa viwanda vya kuzalisha mbolea za mazao kwa kuchakata taka  kuanza kujengwa Desemba Mwaka huu  Manispaa ya Kigoma/Ujiji,  yameelezwa na Mhandisi mshauri Ndugu. Ahadi Katela kutoka Kampuni ya Gwavey Company Limited  inayozalisha mbolea za urutubishaji mazao

Katika kikao hicho kilichofanyika leo April 30, 2021 katika hotel ya Sunset Vista iliyopo Manispaa ya Kigoma/Ujiji kilichoandaliwa na shirika la utunzaji Mazingira  ziwa Tanganyika(LATAWAMA) kikihusisha wakuu wa idara na Vitengo kutoka Ofisi ya Mkurugenzi wa Manispaa ya Kigoma/Ujiji kikiwa na lengo la kutoa mrejesho wa utafiti wa uliofanyika wenye lengo ya kuhakikisha mji unakuwa safi

 Mhandisi mshauri  huyo amesema kampuni ya Gwavey Companya Limited inayozalisha mbolea inatarajia kufungua kiwanda cha kutengeneza mbolea za mazao ya wakulima ambapo watatumia uchakataji wa taka zitokanazo na mabaki ya vyakula na bidhaa zingine zinazozalishwa katika makazi na masoko ya Manispaa hiyo

amesema kwa mjibu wa utafiti uliofanyika masoko yaliyopo katika Manispaa hiyo yanazalisha kiasi kikubwa cha taka zinazofaa katika uzalishaji wa mbolea ya Mazao huku akitolea mfano wa soko la Nazareth linalokisiwa kuzalisha Tani 1000 kwa mwaka huku akisema ujenzi wa kiwanda hicho kitawanufaisha wakulima wa mkoa wote wa Kigoma

Naye Mtaalamu wa udhibiti wa taka ngumu na Mazingira Ndugu. Patrick Matandala amesema Manispaa ya Kigoma/Ujiji inawajibu wa kuhakikisha mji unakuwa safi kupitia watendaji kata na mitaa kusimamia maeneo yao kikamilifu huku vikosi kazi(CBOs) vikiimarishwa na kuhakikisha sheria ndogo za Mazingira zinafuatwa na watu wote

Mkurugenzi wa shirika la utunzaji Mazingira ziwa Tanganyika (LATAWAMA) Ndugu. Didier Cadelli amesema taasisi hiyo itaendelea kutoa vifaa vya kuwezesha na kuhakikisha mji unakuwa safi  na kupunguza taka mjini kwa kuweka miundombinu imara ikiwa ni pamoja na ununuzi wa vipuri vya magari na vifaa vya kuzolea taka (skip bucket) vinakuwa imara huku kampuni za mbolea nazo zikinufaika

Mganga mkuu wa Manispaa ya Kigoma/Ujiji Ndugu. Sebastiani Siwale akizungumza  kwa niaba ya Mkurugenzi wa Manispaa hiyo  amelishukuru shirika la utunzaji Mazingira ziwa Tanganyika(LATAWAMA) kwa jitihada zao za kuendelea kufadhili vifaa vya kuendeleza usafi wa mji huku akisema Manispaa ya Kigoma/Ujiji kupitia wataalamu wako tayari katika kuhakikisha na kusimamia mji unakuwa safi na taka zinatumika kwa shughuli za uzalishaji wa mbolea na kuwanufaisha wakulima

Matangazo

  • NYARAKA ZA WAKUU WA SHULE WALIMU WAKUU October 10, 2022
  • Ufatiliaji wa Kina Kusaka wasiokata Leseni za Biashara 2017 March 20, 2017
  • Fedha za Mradi wa P4R mwezi Machi 2017 April 13, 2017
  • Fedha za Mradi wa Barabara Machi 2017 April 13, 2017
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • NYUMBA YA WALIMU SHULE YA SEKONDARI MJIMWEMA IPO HATUA YA UMALIZIAJI. Building

    May 08, 2025
  • MAANDALIZI MAPOKEZI YA MWENGE WA UHURU YAENDELEA UJIJI, DC AKAGUA MIRADI. National touch

    May 07, 2025
  • SERIKALI YAENDELEA KUTOA MSAADA WA KIBINADAMU WAATHIRIKA WA MVUA KIGOMA UJIJI. Flood

    May 05, 2025
  • NMB YAKABIDHI VIFAA TIBA KIGOMA UJIJI. Health

    May 03, 2025
  • Angalia Yote

Picha za Kuona

MWENGE WA UHURU 2023
Picha za Kuona Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Ofisi ya Rais Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tume ya Ajira

Kurasa Husishi

  • Wizara ya Elimu
  • Wizara ya Afya
  • TCU
  • Mikopo Vyuo Vya Elimu Ya Juu
  • Ofisi ya RAS Kigoma
  • Jiji Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Manispaa ya Kigoma Ujiji

    Sanduku la Posta: S.L.P 44

    Simu: +255 28 2802535

    Namba ya Simu: +255765660847

    Barua pepe: municipal@kigomaujijimc.go.tz ictsecurity@kigomaujijimc.go.tz

Mawasiliano Mbalimbali

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Manispaa ya Kigoma Ujiji. Haki Zote Zimehifadhiwa