• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kigoma Ujiji Municipal Council
Kigoma Ujiji Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango,Takwimu na Usimamizi
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Kitengo cha Teknolojia Habari na Mawasiliano
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Sekta ya Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Ukimwi
      • Kamati Ya Maadili
      • Uchumi Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Kamati Za Madiwani
      • Ratiba Kuonana Na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyo Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Picha za Kuona
      • Mh.Meya
    • Tukio
    • Habari

"WANANCHI WANASUBILI KUTUMIA SOKO LA MWANGA" RC SIRRO. Market bui

Posted on: January 7th, 2026

Na Mwandishi Wetu

Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Balozi Saimoni Nyakoro Sirro amemtaka Mkandarasi wa Ujenzi wa Soko la Mwanga kukamilisha ujenzi kwa wakati kutokana na kuongezewa mda wa Kazi.


Kiongozi huyo ametoa agizo hilo Leo Januari 07, 2026 alipofanya ziara ya kutembelea maendeleo ya ujenzi wa soko huku akisema Wananchi wanasubili kuanza kutumia Soko hilo.


Amemtaka Mkandarasi wa ujenzi kukamilisha ujenzi kwa wakati na kufikia mwezi May, 2026 awe amekabidhi  mradi ili uanze kuwanufaisha Wananchi.


Akiwasilisha taarifa Mhandisi wa Ujenzi kutoka Kampuni ya ujenzi ya Asabhi contractor Company Ltd in Jv with Pioneers Builders Limited Eng. Joseph Marando amesema uchelewaji wa mradi umetokana na changamoto ya Mvua kubwa mwanzoni mwa utekelezaji wa Mradi.


Amesema tayari wamepewa muda wa ziada wa Siku 115 na wanatarajia kukamilisha ujenzi April 24, Mwaka huu huku maendeleo ya ujenzi wa Mradi ukiwa Asilimia hamsini na moja (51.59%).


Serikali ya Awamu ya Sita inatekeleza Ujenzi wa Soko la Mwanga na Mwalo wa Katonga kwa thamani ya zaidi ya Billion kumi na Sita (Tsh 16,495,359,710.28/=) kwa lengo la kuboresha miundombinu, kukuza uchumi wa Wanannchi  na huduma kwa jamii.


Kukamilika kwa Soko la Mwanga kutakuwa na maduka na vizimba, vyoo vya kawaida, vyoo vya walemavu, Vibanda vya chakula, Maegesho ya magari, Ofisi na Kituo cha Polisi kwa eneo la Jengo lenye Mita 23,872.


Zaidi bofya www.kigomaujijimc.go.tz.

Matangazo

  • NYARAKA ZA WAKUU WA SHULE WALIMU WAKUU October 10, 2022
  • Ufatiliaji wa Kina Kusaka wasiokata Leseni za Biashara 2017 March 20, 2017
  • Fedha za Mradi wa P4R mwezi Machi 2017 April 13, 2017
  • Fedha za Mradi wa Barabara Machi 2017 April 13, 2017
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • WALIMU KIGOMA UJIJI WAANZA KUNOLEWA MFUMO WA KIDIGITALI. Digital learning

    January 07, 2026
  • RC KIGOMA ATEMBELEA SOKO LA NAZARETHI, AZUNGUMZA NA WAFANYABIASHARA. Regional Commissioner

    January 07, 2026
  • "WANANCHI WANASUBILI KUTUMIA SOKO LA MWANGA" RC SIRRO. Market bui

    January 07, 2026
  • SHULE MPYA YA SEKONDARI ILIYOPO BUREGA KUANZA KUPOKEA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA. Education

    January 06, 2026
  • Angalia Yote

Picha za Kuona

MWENGE WA UHURU 2023
Picha za Kuona Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Ofisi ya Rais Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tume ya Ajira
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2025 HAYA HAPA

Kurasa Husishi

  • Wizara ya Elimu
  • Wizara ya Afya
  • TCU
  • Mikopo Vyuo Vya Elimu Ya Juu
  • Ofisi ya RAS Kigoma
  • Jiji Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Manispaa ya Kigoma Ujiji

    Sanduku la Posta: S.L.P 44

    Simu: +255 28 2802535

    Namba ya Simu: +255765660847

    Barua pepe: municipal@kigomaujijimc.go.tz ictsecurity@kigomaujijimc.go.tz

Mawasiliano Mbalimbali

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Manispaa ya Kigoma Ujiji. Haki Zote Zimehifadhiwa