• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kigoma Ujiji Municipal Council
Kigoma Ujiji Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango,Takwimu na Usimamizi
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Kitengo cha Teknolojia Habari na Mawasiliano
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Sekta ya Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Ukimwi
      • Kamati Ya Maadili
      • Uchumi Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Kamati Za Madiwani
      • Ratiba Kuonana Na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyo Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Picha za Kuona
      • Mh.Meya
    • Tukio
    • Habari

MAAGIZO YA WAZIRI MKUU YAANZA KUTEKELEZWA MANISPAA YA KIGOMA UJIJI, IDARA YA MIPANGO MIJI YAANZA KUTEKELEZA.

Posted on: July 31st, 2018

Mkuu wa idara ya mipango miji Ndugu. Brown Nziku aanza na utekelezaji wa agizo la waziri mkuu  kwa kusikiliza watu wenye malalamiko ya ardhi waliojitokeza na mabango siku ya jumamosi july 28, katika uwanja wa kawawa.

Mkutano huo uliofanyika jana katika ukumbi wa halmashauri ya manispaa ya Kigoma/Ujiji ikihusisha wataalamu  sita(6) kutoka idara ya mipango miji , na afisa malalamiko wa halmashauri.

Katika mkutano huo ambao lengo ilikuwa ni kusikiliza malalamiko yaliyowasilishwa kwa waziri mkuu na kuandikiwa ripoti kwa kuwasilishwa mkoani hadi kwa ofsi ya waziri mkuu kwa kuelezwa namna ilivyoshugulikiwa.

                    viongozi kutoka Idara ya Mipango miji wakisikiliza malalamiko ya wakazi wa manispaa ya Kigoma Ujiji yahusuyo migogoro ya ardhi                        ikiongozwa na mkuu wa idara Ndugu Brown Nziku(watatu kutoka kulia) wakiwa na afisa malalamiko wa halmashauri Ndugu.                                    Mollel(kwa jina moja) wa kwanza kutoka kulia.


Mkutano huo uliochukua zaidi ya masaa matano kwa kusikiliza malalamiko ya mtu mmoja moja na makundi ambapo wataalamu ilikuwa wakisikiliza, kuyaratibu, kuyatolea ufafanuzi pamoja na kutoa ushauri kwa wateja (walalamikaji).

Malalamiko mengi yaliyojitokeza  ni pamoja na watu wengi kutapeliwa viwanja  na watu binafsi ambapo wataalamu hao kupitia kwa mthamini Ndugu. Steven Amblosi, mpima ardhi Bi. Halima Mmbaga wakiwa na afisa malalamiko Mollel waliweza kutoa ushauri kwa kuwashauri  kupeleka masuala hayo kupitia vyombo vya kisheria ikiwa ni pamoja na mahakama pamoja na polisi.

                                 wakazi wa manispaa ya Kigoma Ujiji wakiwasikiliza viongozi wa idara ya mipango miji kuhusu malalamiko ya ardhi wa kwanza                                  mkono wa kushoto ni mzee Abeid Mzee Karubi


Katika kuendelea kusikiliza malalamiko ya wakazi hao wa manispaa ya Kigoma/Ujiji suala lingine lililojitokeza ni malalamiko kuletwa ambayo tayari yapo katika vyombo vya kisheria jambo ambalo wataalamu hao wamewashauri wateja wao kusubili uamuzi wa vyombo hivyo vya kisheria huku wakieleza kutokuwa na mamlaka ya kuingilia vyombo hivyo.

Malalamiko mengine yaliyojitokeza ni pamoja na baadhi ya Taasisi kujengwa katika viwanja vya watu bila kulipwa fidia yeyote jambo ambalo wataalamu hao wa masuala ya ardhi wameteua timu kwa ajili ya ufatiliaji malalalamiko hayo baada ya mkutano huo na mengine  kuyaratibu na kuyapeleka mkoani na hatimaye kutumwa ofsi ya Waziri mkuu.

Mkutano huo uliochukua takribani masaa matano katika ukumbi wa halmashauri ukiwa umehudhuliwa zaidi ya watu hamsini ambapo  mkuu wa idara ya mipangomiji Ndugu Brown Nziku amewashukuru watu wote walioitia mkutano huo pamoja na wataalamu kwa kuwasikiliza wateja, na kuahidi malalamiko hayo watayafanyia kazi kwa kutumwa mkoani na mkoani kuyawasilisha ofsi ya waziri mkuu.

Matangazo

  • NYARAKA ZA WAKUU WA SHULE WALIMU WAKUU October 10, 2022
  • Ufatiliaji wa Kina Kusaka wasiokata Leseni za Biashara 2017 March 20, 2017
  • Fedha za Mradi wa P4R mwezi Machi 2017 April 13, 2017
  • Fedha za Mradi wa Barabara Machi 2017 April 13, 2017
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • NYUMBA YA WALIMU SHULE YA SEKONDARI MJIMWEMA IPO HATUA YA UMALIZIAJI. Building

    May 08, 2025
  • MAANDALIZI MAPOKEZI YA MWENGE WA UHURU YAENDELEA UJIJI, DC AKAGUA MIRADI. National touch

    May 07, 2025
  • SERIKALI YAENDELEA KUTOA MSAADA WA KIBINADAMU WAATHIRIKA WA MVUA KIGOMA UJIJI. Flood

    May 05, 2025
  • NMB YAKABIDHI VIFAA TIBA KIGOMA UJIJI. Health

    May 03, 2025
  • Angalia Yote

Picha za Kuona

MWENGE WA UHURU 2023
Picha za Kuona Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Ofisi ya Rais Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tume ya Ajira

Kurasa Husishi

  • Wizara ya Elimu
  • Wizara ya Afya
  • TCU
  • Mikopo Vyuo Vya Elimu Ya Juu
  • Ofisi ya RAS Kigoma
  • Jiji Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Manispaa ya Kigoma Ujiji

    Sanduku la Posta: S.L.P 44

    Simu: +255 28 2802535

    Namba ya Simu: +255765660847

    Barua pepe: municipal@kigomaujijimc.go.tz ictsecurity@kigomaujijimc.go.tz

Mawasiliano Mbalimbali

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Manispaa ya Kigoma Ujiji. Haki Zote Zimehifadhiwa