• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kigoma Ujiji Municipal Council
Kigoma Ujiji Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango,Takwimu na Usimamizi
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Kitengo cha Teknolojia Habari na Mawasiliano
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Sekta ya Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Ukimwi
      • Kamati Ya Maadili
      • Uchumi Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Kamati Za Madiwani
      • Ratiba Kuonana Na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyo Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Picha za Kuona
      • Mh.Meya
    • Tukio
    • Habari

MACHINGA WA SOKO LA MWANGA MANISPAA YA KIGOMA/UJIJI WAPONGEZA UTARATIBU ULIOTUMIKA KUPANGIWA MAENEO YA BIASHARA Traders

Posted on: October 29th, 2021

Na Mwandishi wetu

Machinga wanaofanya biashara maeneo yasiyo rasmi soko la Mwanga leo October 29, 2021 wamepangiwa na   kugawiwa maeneo ya kufanyia biashara zao eneo  la seremala lililotengwa kwa ajili ya wajasiriamali hao huku wakipongeza utaratibu uliotumika katika zoezi hilo

Akizungumza wakati wa kuwapangiwa machinga hao, Mkuu wa Wilaya ya Kigoma Bi. Ester Alexander Mahawe amesema zoezi hilo limefanyika kwa njia Shirikishi ambapo viongozi wa machinga wamekuwa  wakishiriki katika kila hatua ya kupangiwa maeneo ya kibiashara yaliyoboreshwa ikiwa ni pamoja na kupata majina ya wafanyabiashara wadogo (Machinga)

Mkuu wa Wilaya amesema kabla ya zoezi hilo Ofisi ya biashara Manispaa ya Kigoma/Ujiji ilipokea majina ya wafanyabiashara wadogo (Machinga) Mia nne themanini na Sita (486) waliojiandikisha kwa viongozi wao huku maeneo yaliyopimwa katika  eneo hilo  yakiwa  Mia nne tisini na Sita (496)    

Mkuu wa Wilaya ameendelea kusema hakutakuwa na viashiria vya upendeleo katika kupata maeneo ya  biashara ambapo utaratibu wa kusoma majina kwa kuchukua karatasi zenye namba ya eneo la kufanyia biashara  ndilo litakalotumika kwa kila Machinga

Mkurugenzi wa Manispaa ya Kigoma/Ujiji Ndugu. Athumani Msabila amewataka wafanyabiashara hao wadogo (Machinga) kuhakikisha wanatunza Mazingira katika eneo hilo jipya  kwa kutokutupa taka ovyo na kuhakikisha kanuni za afya zinazingatiwa huku   akisema miundombinu katika eneo hilo itaendelea kuboreshwa  

Baadhi ya viongozi wa Machinga wa soko la Mwanga akiwemo Ndugu. Ali Jafari amesema zoezi hili limekuwa Shirikishi tangu hatua ya kwanza kwa kufanya vikao na Mkuu wa Wilaya na kusema wao kama viongozi ndio wameshiriki kuandika majina ya machinga wote pasipo kuwa na upendeleo

Nao baadhi ya  Machinga akiwemo Bi. Agnes na  Madua Ahamadi wamepongeza zoezi lilofanyika katika kupata maeneo ya biashara zao huku wakisema njia hiyo ya kuandika namba  za  viwanja na machinga kuchukua karatasi hizo zinaondoa migigoro ya wengine kuona wamependelewa      

Zaidi www.kigomaujijimc.go.tz




Matangazo

  • NYARAKA ZA WAKUU WA SHULE WALIMU WAKUU October 10, 2022
  • Ufatiliaji wa Kina Kusaka wasiokata Leseni za Biashara 2017 March 20, 2017
  • Fedha za Mradi wa P4R mwezi Machi 2017 April 13, 2017
  • Fedha za Mradi wa Barabara Machi 2017 April 13, 2017
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • NYUMBA YA WALIMU SHULE YA SEKONDARI MJIMWEMA IPO HATUA YA UMALIZIAJI. Building

    May 08, 2025
  • MAANDALIZI MAPOKEZI YA MWENGE WA UHURU YAENDELEA UJIJI, DC AKAGUA MIRADI. National touch

    May 07, 2025
  • SERIKALI YAENDELEA KUTOA MSAADA WA KIBINADAMU WAATHIRIKA WA MVUA KIGOMA UJIJI. Flood

    May 05, 2025
  • NMB YAKABIDHI VIFAA TIBA KIGOMA UJIJI. Health

    May 03, 2025
  • Angalia Yote

Picha za Kuona

MWENGE WA UHURU 2023
Picha za Kuona Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Ofisi ya Rais Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tume ya Ajira

Kurasa Husishi

  • Wizara ya Elimu
  • Wizara ya Afya
  • TCU
  • Mikopo Vyuo Vya Elimu Ya Juu
  • Ofisi ya RAS Kigoma
  • Jiji Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Manispaa ya Kigoma Ujiji

    Sanduku la Posta: S.L.P 44

    Simu: +255 28 2802535

    Namba ya Simu: +255765660847

    Barua pepe: municipal@kigomaujijimc.go.tz ictsecurity@kigomaujijimc.go.tz

Mawasiliano Mbalimbali

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Manispaa ya Kigoma Ujiji. Haki Zote Zimehifadhiwa