• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kigoma Ujiji Municipal Council
Kigoma Ujiji Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango,Takwimu na Usimamizi
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Kitengo cha Teknolojia Habari na Mawasiliano
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Sekta ya Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Ukimwi
      • Kamati Ya Maadili
      • Uchumi Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Kamati Za Madiwani
      • Ratiba Kuonana Na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyo Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Picha za Kuona
      • Mh.Meya
    • Tukio
    • Habari

MADIWANI KIGOMA/UJIJI WAANZA MAFUNZO YA UONGOZI, WATAKIWA KUWA NA NIDHAMU YA KUSIMAMIA FEDHA ZA SERIKALI. Training for councilor

Posted on: January 14th, 2021

Na Mwandishi Wetu

Mkuu wa Wilaya ya Kigoma Ndugu. Samson Anga leo January 14, amefungua mafunzo ya Uongozi  kwa  Waheshimiwa Madiwani wa Manispaa ya Kigoma/Ujiji namna ya kusimamia na uendeshaji wa serikali za Mitaa katika Ukumbi wa Hoteli ya Gronecy iliyopo Halmashauri ya Mji Kasulu

Akifungua Mafunzo hayo yanayoendeshwa na Wataalamu na wakufunzi  kutoka Chuo cha Hombolo Mkuu wa Wilaya huyo amewataka Waheshimiwa Madiwani Mafunzo watakayoyapata kuwa na Nidhamu ya kusimamia mabaraza, na  Nidhamu ya kusimamia fedha za Serikali Kuu na Serikali za Mitaa ili kufikisha Maendeleo kwa Wananchi

Amehitimisha kwa kuwataka Waheshimiwa  Madiwani kutoa Ushirikiano katika Ofisi ya Mkuu wa Wilaya katika kuhakikisha na kufikia Malengo na Utatuzi wa Changamoto za Wakazi wa Manispaa ya Kigoma/Ujiji

Naye Meya wa Manispaa ya Kigoma/Ujiji Mhe. Baraka Lupoĺi akizungumza katika Ufunguzi huo amesema Mafunzo hayo yataboresha utendaji kazi kwa Madiwani katika kutatua changamoto na kuleta Maendeleo kwa Wananchi katika Kipindi watakachokuwa Madarakani

Kaimu Mkurugenzi wa Manispaa Hiyo Ndugu. Frednand Filimbi akizungumza amesema Mafunzo hayo yataendeshwa kwa mda wa siku tatu (03) na yanatarajiwa kuleta matokeo Chanya katika kuleta Maendeleo kwa Wananchi na wakazi wa Manispaa hiyo kutokana na Mada zitakazowasilishwa huku akisema mafunzo hayo kufanyika Nje ya Manispaa ya Kigoma/Ujiji ni kuhakikisha Walengwa wa Mafunzo hayo kutotoa na kufhibiti  Udhuru  kwa walengwa wa Mafunzo hayo

Katika Mafunzo hayo  yaliyohudhuliwa na Wakuu wa Idara na Vitengo, Madiwani na Viongozi wa vyama vya siasa mada kumi (10) zinatarajiwa kuwasilishwa na kujadiliwa ni pamoja na 1. Uongozi na Utawala Bora,   2.Historia , Uhalali na sheria za Uendeshaji wa serikali za Mitaa  3. Muundo, Majukumu, na Madaraka ya Serikali za Mitaa 4.Muundo na Majukumu ya Uendeshaji wa Vikao na Mikutano ya serikali za Mitaa,  5. Usimamizi na Udhibiti wa Fedha katika Mamlaka za Serikali za Mitaa  6. Usimamizi wa Mikataba ya Manunuzi  7. Usimamizi wa Ardhi katika Serikali za Mitaa 8.Usimamizi wa  Watumishi katika Mamlaka      za Serikali za Mitaa,  9. Usimamizi wa Miradi ya Kimkakati  na 10. Wajibu, Majukumu, Haki na Stahiki za Diwani

Picha zaidi ingia Maktaba ya Picha www.kigomaujijimc.go.tz



Matangazo

  • NYARAKA ZA WAKUU WA SHULE WALIMU WAKUU October 10, 2022
  • Ufatiliaji wa Kina Kusaka wasiokata Leseni za Biashara 2017 March 20, 2017
  • Fedha za Mradi wa P4R mwezi Machi 2017 April 13, 2017
  • Fedha za Mradi wa Barabara Machi 2017 April 13, 2017
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • NYUMBA YA WALIMU SHULE YA SEKONDARI MJIMWEMA IPO HATUA YA UMALIZIAJI. Building

    May 08, 2025
  • MAANDALIZI MAPOKEZI YA MWENGE WA UHURU YAENDELEA UJIJI, DC AKAGUA MIRADI. National touch

    May 07, 2025
  • SERIKALI YAENDELEA KUTOA MSAADA WA KIBINADAMU WAATHIRIKA WA MVUA KIGOMA UJIJI. Flood

    May 05, 2025
  • NMB YAKABIDHI VIFAA TIBA KIGOMA UJIJI. Health

    May 03, 2025
  • Angalia Yote

Picha za Kuona

MWENGE WA UHURU 2023
Picha za Kuona Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Ofisi ya Rais Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tume ya Ajira

Kurasa Husishi

  • Wizara ya Elimu
  • Wizara ya Afya
  • TCU
  • Mikopo Vyuo Vya Elimu Ya Juu
  • Ofisi ya RAS Kigoma
  • Jiji Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Manispaa ya Kigoma Ujiji

    Sanduku la Posta: S.L.P 44

    Simu: +255 28 2802535

    Namba ya Simu: +255765660847

    Barua pepe: municipal@kigomaujijimc.go.tz ictsecurity@kigomaujijimc.go.tz

Mawasiliano Mbalimbali

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Manispaa ya Kigoma Ujiji. Haki Zote Zimehifadhiwa