• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kigoma Ujiji Municipal Council
Kigoma Ujiji Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango,Takwimu na Usimamizi
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Kitengo cha Teknolojia Habari na Mawasiliano
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Sekta ya Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Ukimwi
      • Kamati Ya Maadili
      • Uchumi Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Kamati Za Madiwani
      • Ratiba Kuonana Na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyo Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Picha za Kuona
      • Mh.Meya
    • Tukio
    • Habari

MADIWANI KIGOMA/UJIJI WAPONGEZA MAPATO YA NDANI YALIVYOBORESHA MIRADI YA MAENDELEO Full Council

Posted on: April 12th, 2023

Na Mwandishi Wetu

Madiwani wa Manispaa ya Kigoma/Ujiji  Leo April 12, 2023 wamepongeza uongozi wa Halmashauri hiyo kwa ujenzi wa miundombinu mbalimbali ya huduma za jamii kwa kutumia mapato ya ndani


Pongezi hizo zimetolewa Katika Mkutano wa  Baraza la Madiwani la kupokea taarifa za Kata kwa robo ya pili Oktoba-Desemba, 2022/2023 uliofanyikia ukumbi wa Manispaa hiyo


Wakizungumza katika baraza hilo Diwani wa Kata ya Mwanga Kusini Mhe. Mussa Mauldi na Diwani wa  Kata ya Machinjioni Mhe.  Shabani Hussein wamepongeza uongozi wa Manispaa hiyo kwa miradi mbalimbali inayoendelea kutekelezwa kupitia vyanzo vya fedha kwa  mapato ya ndani


Mkurugenzi wa Manispaa ya Kigoma/Ujiji Ndugu. Athuman Msabila amewataka Madiwani hao kuendelea kusimamia utekelezaji wa miradi ya maendeleo inayoendelea katika Kata mbalimbali kwa fedha zinazotolewa kupitia fedha za mapato ya ndani na fedha kutoka Serikali Kuu


Baadhi ya miradi ya maendeleo iliyotekelezwa na inayoendelea kutekelezwa Manispaa ya Kigoma/Ujiji kwa mwaka 2022/2023 kupitia mapato ya ndani  ni pamoja na Ujenzi wa Zahanati ya Kata ya Kitongoni,  Ujenzi wa Zahanati ya Mwanga kusini, Ujenzi wa Zahanati ya Machinjioni, Ujenzi wa Ofisi za Kata Katubuka, ofisi ya Kata ya Majengo ,  na Ofisi ya Kata ya Buhanda


Aidha miradi mingine ni pamoja na Ujenzi wa Vyumba vya madarasa katika Shule za Msingi za Benjamini Mkapa, Shule ya Msingi Kitongoni, Shule ya Msingi Majengo na Shule ya Msingi  Gungu  pamoja na utoaji Mikopo ya asilimia kumi (10%) kwa vikundi vya Wanawake, Vijana na Watu wenye ulemavu







Matangazo

  • NYARAKA ZA WAKUU WA SHULE WALIMU WAKUU October 10, 2022
  • Ufatiliaji wa Kina Kusaka wasiokata Leseni za Biashara 2017 March 20, 2017
  • Fedha za Mradi wa P4R mwezi Machi 2017 April 13, 2017
  • Fedha za Mradi wa Barabara Machi 2017 April 13, 2017
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • NYUMBA YA WALIMU SHULE YA SEKONDARI MJIMWEMA IPO HATUA YA UMALIZIAJI. Building

    May 08, 2025
  • MAANDALIZI MAPOKEZI YA MWENGE WA UHURU YAENDELEA UJIJI, DC AKAGUA MIRADI. National touch

    May 07, 2025
  • SERIKALI YAENDELEA KUTOA MSAADA WA KIBINADAMU WAATHIRIKA WA MVUA KIGOMA UJIJI. Flood

    May 05, 2025
  • NMB YAKABIDHI VIFAA TIBA KIGOMA UJIJI. Health

    May 03, 2025
  • Angalia Yote

Picha za Kuona

MWENGE WA UHURU 2023
Picha za Kuona Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Ofisi ya Rais Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tume ya Ajira

Kurasa Husishi

  • Wizara ya Elimu
  • Wizara ya Afya
  • TCU
  • Mikopo Vyuo Vya Elimu Ya Juu
  • Ofisi ya RAS Kigoma
  • Jiji Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Manispaa ya Kigoma Ujiji

    Sanduku la Posta: S.L.P 44

    Simu: +255 28 2802535

    Namba ya Simu: +255765660847

    Barua pepe: municipal@kigomaujijimc.go.tz ictsecurity@kigomaujijimc.go.tz

Mawasiliano Mbalimbali

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Manispaa ya Kigoma Ujiji. Haki Zote Zimehifadhiwa