• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kigoma Ujiji Municipal Council
Kigoma Ujiji Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango,Takwimu na Usimamizi
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Kitengo cha Teknolojia Habari na Mawasiliano
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Sekta ya Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Ukimwi
      • Kamati Ya Maadili
      • Uchumi Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Kamati Za Madiwani
      • Ratiba Kuonana Na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyo Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Picha za Kuona
      • Mh.Meya
    • Tukio
    • Habari

MAFUNZO YA KUJIKINGA NA MAJANGA YAENDELEA KUTOLEWA UVINZA KUELEKEA EL NINO. Disaster Management

Posted on: October 20th, 2023



Na Mwandishi Wetu

Mafunzo namna ya kujikinga na kukabiliana na Majanga mbalimbali yameendelea kutolewa kwa Wananchi wa Wilaya ya Uvinza kwa Kata za Ilagala,  Sunuka, na Mwakizega.

Elimu hiyo imeendelea kutolewa Jana Oktoba 19, 2023  na Wataalamu kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu idara ya Menejimenti ya maafa katika Ofisi za Kata ya Ilagala kwa lengo la kuwawezesha Wananchi kukabiliana na kupunguza madhara yatokanayo na majanga.


Kaimu Mkurugenzi wa idara ya Maafa Ofisi ya Waziri Mkuu Naibu Kamishina Hamisi Mrutengo akiwasilisha mada kwa wajumbe wa  kamati za maafa ngazi za Kata  aliwataka kuendelea kutoa elimu katika maeneo yao na kuweka mipango kazi ya kupunguza madhara yatokanayo na majanga ya asili.


Aidha katika mafunzo hayo mada za mfumo  wa Usimamizi wa maafa na Tathimini za Maafa zimewasilishwa na Wataalamu hao pamoja na kujadiliwa.


Mratibu wa Maafa Mkoa wa Kigoma Ndugu. Msafiri Nzunuri amewashukuru Wataalamu Kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu kwa namna ambavyo wameendelea kuielimisha jamii huku akiwataka Wananchi kuanza kuchukua tahadhari mapema kutokana na mazingira hatarishi.


Mamlaka ya hali ya hewa Nchini Tanzania (TMA), Mwezi Julai ilitoa taarifa juu ya mwenendo wa hali ya  El Niño katika bahari ya Pasifiki na athari zake.


El Niño ni mfumo  wa hali ya hewa unaosababishwa na uwepo wa ongezeko la joto la juu ya wastani katika eneo la kati ya kitropiki la bahari ya Pasific. Hali hii huambatana na athari mbalimbali ikiwemo ongezeko la Mvua,  Joto na Hali ya Ukame katika maeneo mbalimbali ya Dunia.


Nchini Tanzania hali ya  El Niño huambatana na vipindi vya Mvua kubwa na za Juu ya Wastani.


Matangazo

  • NYARAKA ZA WAKUU WA SHULE WALIMU WAKUU October 10, 2022
  • Ufatiliaji wa Kina Kusaka wasiokata Leseni za Biashara 2017 March 20, 2017
  • Fedha za Mradi wa P4R mwezi Machi 2017 April 13, 2017
  • Fedha za Mradi wa Barabara Machi 2017 April 13, 2017
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • WAJASIRIAMALI WAENDELEA KUFIKIWA NA WATAALAMU KIGOMA UJIJI. Social services

    May 30, 2025
  • UGAWAJI WA VYANDARUA BURE UNAENDELEA KWENYE VITUO KIGOMA UJIJI. Health protection

    May 29, 2025
  • WAJASIRIAMALI KIGOMA UJIJI WATEMBELEWA NA WATAALAMU.

    May 28, 2025
  • RC ANDENGENYE AZINDUA ZOEZI LA UGAWAJI VYANDARUA MKOA WA KIGOMA. Malaria protection

    May 28, 2025
  • Angalia Yote

Picha za Kuona

MWENGE WA UHURU 2023
Picha za Kuona Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Ofisi ya Rais Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tume ya Ajira

Kurasa Husishi

  • Wizara ya Elimu
  • Wizara ya Afya
  • TCU
  • Mikopo Vyuo Vya Elimu Ya Juu
  • Ofisi ya RAS Kigoma
  • Jiji Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Manispaa ya Kigoma Ujiji

    Sanduku la Posta: S.L.P 44

    Simu: +255 28 2802535

    Namba ya Simu: +255765660847

    Barua pepe: municipal@kigomaujijimc.go.tz ictsecurity@kigomaujijimc.go.tz

Mawasiliano Mbalimbali

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Manispaa ya Kigoma Ujiji. Haki Zote Zimehifadhiwa