• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kigoma Ujiji Municipal Council
Kigoma Ujiji Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango,Takwimu na Usimamizi
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Kitengo cha Teknolojia Habari na Mawasiliano
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Sekta ya Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Ukimwi
      • Kamati Ya Maadili
      • Uchumi Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Kamati Za Madiwani
      • Ratiba Kuonana Na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyo Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Picha za Kuona
      • Mh.Meya
    • Tukio
    • Habari

MAFUNZO YA MAAFISA ELIMU KATA, WALIMU WAKUU NA WENYEVITI WA SHULE YAHITIMISHWA Education

Posted on: March 2nd, 2023

Na Mwandishi Wetu

Mafunzo ya Siku tatu (03) ya Maafisa elimu Kata, Walimu Wakuu , na Wenyeviti wa Shule za Msingi Manispaa ya Kigoma/Ujiji yaliyokuwa yakiendeshwa na Wataalamu wa Elimu ngazi ya Halmashauri  yamehitimishwa Leo March 02, 2023

Mafunzo hayo yalikuwa yamelenga kuwashirikisha Jamii , Wazazi na Walezi (UWAWA)  katika kuinua viwango vya taaluma Shuleni

katika mafunzo hayo Wawezeshaji hao wamesema Jamii, Wazazi na Walezi katika masula ya kielimu wanawajibu wa kufanya na kuhudhuria vikao Shuleni, usimamizi na usomaji wa Wanafunzi nyumbani,  kuibua na kuendeleza vipaji vya Wanafunzi pamoja na kuhamasisha uandikishaji, mahudhurio na Mvuko wa Wanafunzi    

Wajibu mwingine ni pamoja na   utekelezaji wa mpango wa Jumla na maendeleo ya Shule , kusimamia Ustawi , usalama na kusimamia ujumuishi wa Wanafunzi  kwa kushughulikia Vitendo vya ukatili, na ukiukwaji wa haki za Watoto na kutatua changamoto Za Wanafunzi wenye mahitaji Maalumu    

Katika mafunzo hayo mada mbalimbali zimejadiliwa ikiwa ni pamoja na Usimamizi wa rasilimali za Shule, Mapitio ya Matokeo ya Mitihani ya Darasa la nne na la Saba Manispaa ya Kigoma/Ujiji na Ushiriki wa Jamii katika ukuzaji wa elimu  

Kikao hicho kimeandaliwa na  Mradi wa Shule bora  unafadhiliwa na Serikali ya Uingereza Kupitia Mfuko wa UK aid kwa lengo la kuwajengea uwezo ili kuwawezesha Viongozi wa Elimu ngazi za Kata na Shule kufanya Umoja wa Wazazi na walezi (UWAWA) katika shughuli za ufundishaji na ujifunzaji

#SHULEBORA #shulebora @plan_tanzania

Matangazo

  • NYARAKA ZA WAKUU WA SHULE WALIMU WAKUU October 10, 2022
  • Ufatiliaji wa Kina Kusaka wasiokata Leseni za Biashara 2017 March 20, 2017
  • Fedha za Mradi wa P4R mwezi Machi 2017 April 13, 2017
  • Fedha za Mradi wa Barabara Machi 2017 April 13, 2017
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • NYUMBA YA WALIMU SHULE YA SEKONDARI MJIMWEMA IPO HATUA YA UMALIZIAJI. Building

    May 08, 2025
  • MAANDALIZI MAPOKEZI YA MWENGE WA UHURU YAENDELEA UJIJI, DC AKAGUA MIRADI. National touch

    May 07, 2025
  • SERIKALI YAENDELEA KUTOA MSAADA WA KIBINADAMU WAATHIRIKA WA MVUA KIGOMA UJIJI. Flood

    May 05, 2025
  • NMB YAKABIDHI VIFAA TIBA KIGOMA UJIJI. Health

    May 03, 2025
  • Angalia Yote

Picha za Kuona

MWENGE WA UHURU 2023
Picha za Kuona Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Ofisi ya Rais Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tume ya Ajira

Kurasa Husishi

  • Wizara ya Elimu
  • Wizara ya Afya
  • TCU
  • Mikopo Vyuo Vya Elimu Ya Juu
  • Ofisi ya RAS Kigoma
  • Jiji Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Manispaa ya Kigoma Ujiji

    Sanduku la Posta: S.L.P 44

    Simu: +255 28 2802535

    Namba ya Simu: +255765660847

    Barua pepe: municipal@kigomaujijimc.go.tz ictsecurity@kigomaujijimc.go.tz

Mawasiliano Mbalimbali

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Manispaa ya Kigoma Ujiji. Haki Zote Zimehifadhiwa