• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kigoma Ujiji Municipal Council
Kigoma Ujiji Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango,Takwimu na Usimamizi
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Kitengo cha Teknolojia Habari na Mawasiliano
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Sekta ya Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Ukimwi
      • Kamati Ya Maadili
      • Uchumi Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Kamati Za Madiwani
      • Ratiba Kuonana Na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyo Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Picha za Kuona
      • Mh.Meya
    • Tukio
    • Habari

MAFUNZO YA WALIMU NA WASIMAMIZI WA ELIMU MRADI WA SHULE BORA, Training

Posted on: December 12th, 2022

Na Mwandishi Wetu  

Walimu na wasimamizi wa elimu ngazi ya kata jana Desemba 11, 2022  walihitimisha mafunzo ya siku mbili (2) yaliyokuwa na  lengo la  kuwawezesha walimu kuibua hadithi za mafanikio za kujifunza za mfano zinazopatikana miongoni mwao ili kutatatua changamoto za ujifunzaji na ufundishaji ili kuinua ubora wa elimu nchini

Mafunzo hayo yaliendeshwa katika taasisi ya Ahlulbayt Islamic Centre yakihusisha Watendaji Kata, Waratibu Elimu Kata, Walimu Wakuu, na Walimu Wataaluma wa Shule za Msingi zilizopo  Kata za Majengo, Kipampa, Businde na Rusimbi  

Katika mafunzo hayo Watendaji kata walijadiliana na Walimu namna bora ya Ukuzaji elimu na ufaulu  kwa kushirikisha Wazazi na Wadau wengine wa elimu katika maeneo yao

Aidha katika mafunzo hayo walijifunza namna kuibua hadithi za mafanikio za kujifunza kwa  mfano kwa lengo la kuboresha ufundishaji na ujifunzaji

Mkufunzi na Mkuza mitaala kutoka taasisi ya elimu Tanzania  Ndugu. Hwago Hassan Hwago alisema  kutumia hadithi za mafanikio katika kufundisha na kujifunza zitamfanya mwanafunzi kuwa mbunifu ambapo atakuwa na uwezo wa kuibua tatizo,  Ufumbuzi wa tatizo na kupata matokeo yaliyo bora

Mafunzo haya ya mradi wa  Shule bora yanaendelea katika Halmashauri za Mikoa ya Kigoma,   Singida, Katavi na Pwani kwa lengo la kukuza viwango vya elimu katika Mikoa hiyo yakiandaliwa na Mradi wa Shule unaofadhiliwa na mfuko wa Uk aids  chini ya Usimamizi wa Wizara ya Elimu,   Sayansi na Teknolojia  na Ofisi ya Rais-  Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI)

Matangazo

  • NYARAKA ZA WAKUU WA SHULE WALIMU WAKUU October 10, 2022
  • Ufatiliaji wa Kina Kusaka wasiokata Leseni za Biashara 2017 March 20, 2017
  • Fedha za Mradi wa P4R mwezi Machi 2017 April 13, 2017
  • Fedha za Mradi wa Barabara Machi 2017 April 13, 2017
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • NYUMBA YA WALIMU SHULE YA SEKONDARI MJIMWEMA IPO HATUA YA UMALIZIAJI. Building

    May 08, 2025
  • MAANDALIZI MAPOKEZI YA MWENGE WA UHURU YAENDELEA UJIJI, DC AKAGUA MIRADI. National touch

    May 07, 2025
  • SERIKALI YAENDELEA KUTOA MSAADA WA KIBINADAMU WAATHIRIKA WA MVUA KIGOMA UJIJI. Flood

    May 05, 2025
  • NMB YAKABIDHI VIFAA TIBA KIGOMA UJIJI. Health

    May 03, 2025
  • Angalia Yote

Picha za Kuona

MWENGE WA UHURU 2023
Picha za Kuona Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Ofisi ya Rais Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tume ya Ajira

Kurasa Husishi

  • Wizara ya Elimu
  • Wizara ya Afya
  • TCU
  • Mikopo Vyuo Vya Elimu Ya Juu
  • Ofisi ya RAS Kigoma
  • Jiji Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Manispaa ya Kigoma Ujiji

    Sanduku la Posta: S.L.P 44

    Simu: +255 28 2802535

    Namba ya Simu: +255765660847

    Barua pepe: municipal@kigomaujijimc.go.tz ictsecurity@kigomaujijimc.go.tz

Mawasiliano Mbalimbali

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Manispaa ya Kigoma Ujiji. Haki Zote Zimehifadhiwa