• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kigoma Ujiji Municipal Council
Kigoma Ujiji Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango,Takwimu na Usimamizi
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Kitengo cha Teknolojia Habari na Mawasiliano
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Sekta ya Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Ukimwi
      • Kamati Ya Maadili
      • Uchumi Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Kamati Za Madiwani
      • Ratiba Kuonana Na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyo Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Picha za Kuona
      • Mh.Meya
    • Tukio
    • Habari

MANISPAA YA KIGOMA/UJIJI YAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI Womens day

Posted on: March 7th, 2023

Na Mwandishi Wetu

Manispaa ya Kigoma/Ujiji Jana March 06, 2023 ilifanya kongamàno na mdahalo katika kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani

Kongamano hilo lilifanyikia Ukumbi wa Ndela ikiwa ni  maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani inayoadhimishwa March 01- 08  kila Mwaka, ambapo kwa mara ya Kwanza  yaliadhimishwa Mwaka 1911 Nchini Marekani  


Awali akiwasilisha taarifa katika kongamano hilo Afisa Maendeleo ya Jamii Manispaa ya Kigoma/Ujiji Bi. Bernadetha Ntembeje alisema lengo la Maadhimisho ya Mwaka huu ni pamoja na kuongeza msukumo wa Ushiriki wa Wanawake katika uongozi na kwenye vyombo vya maamuzi

Alisema Jamii na Wakazi wa  Manispaa ya Kigoma/Ujiji wamekuwa wakitoa taarifa katika vyombo husika kuhusu Vitendo vya ukatili vinavyofanywa katika makundi mbalimbali ikiwemo ukatili kwa Wanawake

Aliendelea kusema baadhi ya Wanaume wameelewa umuhimu wa usawa wa Kijinsia na kufanya Wanawake wengi kuingia kwenye shughuli za uzalishaji mali, Utawala, Maamuzi na kùsaidiana katika Majukumu ya kijamii  

Katika kongamano hilo Wanawake hao walifanikiwa kujadili Suala la Malezi, Ukatili wa Kijinsia, Elimu ya Mahusiano, Mtazamo wa Jamii kuhusu Usawa wa Kijinsia, Ubunifu na Teknolojia rahisi ambazo ni chachu kuelekea Usawa wa Kijinsia  

Nchini Tanzania maadhimisho haya yalianza Mwaka 1997 na Mwaka 2015 Serikali ilipitisha uamuzi wa maadhimisho haya yafanyike Kimkoa na Kitaifa na katika maadhimisho  haya Mwaka huu Kauli mbiu ni "Ubunifu na Mabadiliko ya Teknolojia; Chachu katika kuleta Usawa" 

Matangazo

  • NYARAKA ZA WAKUU WA SHULE WALIMU WAKUU October 10, 2022
  • Ufatiliaji wa Kina Kusaka wasiokata Leseni za Biashara 2017 March 20, 2017
  • Fedha za Mradi wa P4R mwezi Machi 2017 April 13, 2017
  • Fedha za Mradi wa Barabara Machi 2017 April 13, 2017
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • NYUMBA YA WALIMU SHULE YA SEKONDARI MJIMWEMA IPO HATUA YA UMALIZIAJI. Building

    May 08, 2025
  • MAANDALIZI MAPOKEZI YA MWENGE WA UHURU YAENDELEA UJIJI, DC AKAGUA MIRADI. National touch

    May 07, 2025
  • SERIKALI YAENDELEA KUTOA MSAADA WA KIBINADAMU WAATHIRIKA WA MVUA KIGOMA UJIJI. Flood

    May 05, 2025
  • NMB YAKABIDHI VIFAA TIBA KIGOMA UJIJI. Health

    May 03, 2025
  • Angalia Yote

Picha za Kuona

MWENGE WA UHURU 2023
Picha za Kuona Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Ofisi ya Rais Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tume ya Ajira

Kurasa Husishi

  • Wizara ya Elimu
  • Wizara ya Afya
  • TCU
  • Mikopo Vyuo Vya Elimu Ya Juu
  • Ofisi ya RAS Kigoma
  • Jiji Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Manispaa ya Kigoma Ujiji

    Sanduku la Posta: S.L.P 44

    Simu: +255 28 2802535

    Namba ya Simu: +255765660847

    Barua pepe: municipal@kigomaujijimc.go.tz ictsecurity@kigomaujijimc.go.tz

Mawasiliano Mbalimbali

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Manispaa ya Kigoma Ujiji. Haki Zote Zimehifadhiwa