• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kigoma Ujiji Municipal Council
Kigoma Ujiji Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango,Takwimu na Usimamizi
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Kitengo cha Teknolojia Habari na Mawasiliano
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Sekta ya Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Ukimwi
      • Kamati Ya Maadili
      • Uchumi Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Kamati Za Madiwani
      • Ratiba Kuonana Na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyo Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Picha za Kuona
      • Mh.Meya
    • Tukio
    • Habari

MANISPAA YA KIGOMA/UJIJI YASAINI NA KAMPUNI YA JAMHURI YA KOREA KIASI CHA SHILINGI ZA KITANZANIA BILIONI 1.65 KATIKA UJENZI WA MIUNDOMBINU. new project

Posted on: May 7th, 2019

Na mwandishi wetu.

Halmashauri ya manispaa ya  Kigoma/Ujiji leo may 7 kupitia meya wa halmashauri  Mhe. Husseini Ruhava imesaini mkataba wa ujenzi wa mifereji  ya maji taka na maji ya mvua kutokana na athari za mvua na mmonyoko wa ardhi katika mitaa ya halmashauri hiyo.

Mkataba huo ambao umeeleza kiasi kilichotengwa katika ujenzi wa miundombinu hiyo ni kiasi cha shilingi za Kitanzania Billioni 1.65 ambapo kazi inatarajiwa kufanyika kwa mda wa miezi 12, mkataba huo umesainiwa katika ukumbi wa halmashauri baina ya Manispaa ya Kigoma/Ujiji na kampuni ya CHEIL Engineering Co.  L.t.d kutoka  jamhuri ya Korea ikishirikiana  na kampuni ya kitanzania DOCH Limited .

Kiasi cha fedha hicho ni msaada kutoka Benki ya Dunia ikiwa inaratibiwa na mpango wa kuendeleza na ukuzaji wa miji  na majiji kimkakati(TSCP),ambapo  mradi huo unatariwa kuwa wa miaka 20 kuanzia mwaka 2019-2040.

Kabla ya kusaini mkataba huo meya wa halmashauri ya Manispaa ya Kigoma/Ujiji aliwakaribisha wageni hao , Wataalamu kutoka Mamlaka ya maji safi na maji taka Kigoma (KUWASA), Kamati ya  madiwani ya fedha na uongozi, wakuu wa idara na vitengo pamoja na waandishi wa habari katika utiaji saini mkataba hiyo huku akisema ni mkataba utakaomaliza kero za wananchi katika mmomonyoko wa ardhi katika kata mbalimbali ambazo tayari zimeshapata athari ndogondogo za mmonyoko.

Akiwasilisha mmoja wa wajumbe wa kampuni hiyo ya CHEIL Co. L.t.d  amesema kwa sasa watafanya upembuzi yakinifu kujua ni wapi ambapo maeneo hayo yameathirika ili waweze  kufanya kazi na kuahidi kazi kufanyika katika hali ya ubora wakishirikiana na wataalamu kutoka Mamlaka ya Maji safi na Maji taka Kigoma(KUWASA) na wataalamu wa Manispaa ya Kigoma/Ujiji.

Naye Kaimu Mkurugenzi wa halmashauri hiyo na Mganga Mkuu wa halmashauri hiyo Dr.  Peter Nsanya akiongea katika hafla hiyo amesema halmashauri iko tayari katika kutoa ushirikiano kwa kutoa wataalamu wa kushauri na kutoa maelekezo katika mradi huo na halmashauri itahakikisha inatoa mpango wa mambo gani yatakayofanyika katika mradi huo.

Wanufaika katika mradi huo ni wakazi wote wa manispaa ya Kigoma/Ujiji  ambapo jumla ya kata 19 na mitaa 68 ya halmashauri hiyo inatarajiwa kunufaika na mradi huo wa kuendeleza na kukuza miji na majiji Tanzania.

Picha zaidi ingia  www.kigomaujijimc.go.tz

Matangazo

  • NYARAKA ZA WAKUU WA SHULE WALIMU WAKUU October 10, 2022
  • Ufatiliaji wa Kina Kusaka wasiokata Leseni za Biashara 2017 March 20, 2017
  • Fedha za Mradi wa P4R mwezi Machi 2017 April 13, 2017
  • Fedha za Mradi wa Barabara Machi 2017 April 13, 2017
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • NYUMBA YA WALIMU SHULE YA SEKONDARI MJIMWEMA IPO HATUA YA UMALIZIAJI. Building

    May 08, 2025
  • MAANDALIZI MAPOKEZI YA MWENGE WA UHURU YAENDELEA UJIJI, DC AKAGUA MIRADI. National touch

    May 07, 2025
  • SERIKALI YAENDELEA KUTOA MSAADA WA KIBINADAMU WAATHIRIKA WA MVUA KIGOMA UJIJI. Flood

    May 05, 2025
  • NMB YAKABIDHI VIFAA TIBA KIGOMA UJIJI. Health

    May 03, 2025
  • Angalia Yote

Picha za Kuona

MWENGE WA UHURU 2023
Picha za Kuona Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Ofisi ya Rais Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tume ya Ajira

Kurasa Husishi

  • Wizara ya Elimu
  • Wizara ya Afya
  • TCU
  • Mikopo Vyuo Vya Elimu Ya Juu
  • Ofisi ya RAS Kigoma
  • Jiji Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Manispaa ya Kigoma Ujiji

    Sanduku la Posta: S.L.P 44

    Simu: +255 28 2802535

    Namba ya Simu: +255765660847

    Barua pepe: municipal@kigomaujijimc.go.tz ictsecurity@kigomaujijimc.go.tz

Mawasiliano Mbalimbali

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Manispaa ya Kigoma Ujiji. Haki Zote Zimehifadhiwa