• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kigoma Ujiji Municipal Council
Kigoma Ujiji Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango,Takwimu na Usimamizi
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Kitengo cha Teknolojia Habari na Mawasiliano
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Sekta ya Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Ukimwi
      • Kamati Ya Maadili
      • Uchumi Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Kamati Za Madiwani
      • Ratiba Kuonana Na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyo Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Picha za Kuona
      • Mh.Meya
    • Tukio
    • Habari

MAPATO YA NDANI KIGOMA/UJIJI YANAVYOBORESHA HUDUMA ZA JAMII KWA WANANCHI development project

Posted on: September 15th, 2022

Na Mwandishi Wetu

Manispaa ya Kigoma/Ujiji inaendelea na utekelezaji wa Miradi mbalimbali ya Maendeleo ya Wananchi kwa kutumia makusanyo (mapato) ya ndani

kwa kipindi cha mwaka  2021/2022 Manispaa hiyo ilipanga kutumia  fedha za Kitanzania  zaidi ya Billion moja (Tsh 1, 049, 175,000/=) ikiwa ni fedha zitokanazo na mapato ya ndani katika miradi ya Maendeleo ili kuwanufaisha Wananchi walio wengi

Aidha zaidi ya asilimia themanini (80%) ya fedha hizo sawa na Tsh 835, 000, 263. 74/= zimeendelea kutekeleza ujenzi wa miradi ya maendeleo katika kata kumi na tisa (19) za Manispaa ya Kigoma/Ujiji

Miongoni mwa miradi iliyotekelezwa na inayoendelea kutekelezwa ni pamoja na Ujenzi wa Ofisi za Kata ambazo awali hawakuwa na ofisi kwa majengo ya Serikali , Ujenzi huo unaendelea katika Kata ya Rubuga ukiwa  umegharimu fedha za Tsh 45, 000, 000/= ambapo hadi sasa Ujenzi huo ukiwa  hatua ya Usafi na kupaka rangi jengo

Ofisi zingine za Kata zinazojengwa ni pamoja na Ujenzi wa Ofisi ya Kata ya Buhanda unaoendelea ujenzi wa boma na upauaji ukiwa umekamilika   na   kiasi cha fedha Tsh 40,000,000/= kikiwa kimetolewa, Ujenzi wa Ofisi ya Kata ya Katubuka,  na Ujenzi wa Ofisi ya Kata ya  Mwanga Kusini ukiwa unaendelea

Aidha Ujenzi wa Zahanati ya Kata ya Machinjio kwa kutumia mapato ya ndani unaendelea ukiwa umefikia hatua ya umaliziaji (Finishing) kwa fedha za Kitanzania zaidi ya Million Sabini na Mbili ( Tsh 72,000,000/=) na kukamilika kwa zahanati hiyo kutasaidia upatikanaji wa huduma ya matibabu karibu na Wananchi wa eneo hilo ambapo kwa sasa wanalazimika kufuata Matibabu nje ya Kata yao

Manispaa ya Kigoma/Ujiji kwa kutumia Mapato ya Ndani kwa Mwaka wa fedha 2021/2022 iliendelea na Uzalishaji wa Miche bora na ya kisasa eneo la Katosho ambapo ilitumia kiasi cha fedha Tsh 21, 080, 000/- na miche hiyo  kuwagawia kwa Wananchi bure

Hatua hii ya uendelezaji wa Miradi kwa Mapato ya ndani ni hatua kubwa na ya  kupongeza viongozi mbalimbali wa Halmashauri , ikiwa ni pamoja na Wananchi kwa kuunga juhudi za ukusanyaji kodi na utunzaji wa miundombinu na miradi ya Maendeleo

Endelea kutembelea www.kigomaujijimc.go.tz na Mitandao yake ya Kijamii

Matangazo

  • NYARAKA ZA WAKUU WA SHULE WALIMU WAKUU October 10, 2022
  • Ufatiliaji wa Kina Kusaka wasiokata Leseni za Biashara 2017 March 20, 2017
  • Fedha za Mradi wa P4R mwezi Machi 2017 April 13, 2017
  • Fedha za Mradi wa Barabara Machi 2017 April 13, 2017
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • NYUMBA YA WALIMU SHULE YA SEKONDARI MJIMWEMA IPO HATUA YA UMALIZIAJI. Building

    May 08, 2025
  • MAANDALIZI MAPOKEZI YA MWENGE WA UHURU YAENDELEA UJIJI, DC AKAGUA MIRADI. National touch

    May 07, 2025
  • SERIKALI YAENDELEA KUTOA MSAADA WA KIBINADAMU WAATHIRIKA WA MVUA KIGOMA UJIJI. Flood

    May 05, 2025
  • NMB YAKABIDHI VIFAA TIBA KIGOMA UJIJI. Health

    May 03, 2025
  • Angalia Yote

Picha za Kuona

MWENGE WA UHURU 2023
Picha za Kuona Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Ofisi ya Rais Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tume ya Ajira

Kurasa Husishi

  • Wizara ya Elimu
  • Wizara ya Afya
  • TCU
  • Mikopo Vyuo Vya Elimu Ya Juu
  • Ofisi ya RAS Kigoma
  • Jiji Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Manispaa ya Kigoma Ujiji

    Sanduku la Posta: S.L.P 44

    Simu: +255 28 2802535

    Namba ya Simu: +255765660847

    Barua pepe: municipal@kigomaujijimc.go.tz ictsecurity@kigomaujijimc.go.tz

Mawasiliano Mbalimbali

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Manispaa ya Kigoma Ujiji. Haki Zote Zimehifadhiwa