Na Mwandishi Wetu
Mafunzo ya uandaaji na utengenezaji wa zana za kufundishia na kujifunzia kwa Walimu wa madarasa ya awali yanaendelea Shule ya Msingi Muungano.
Mafunzo hayo ya Siku tatu (03) yameanza Jana June 03, 2025 kwa Walimu kutoka Shule za Msingi thelathini (30) za Manispaa ya Kigoma/Ujiji yakifadhiliwa na Mradi wa BOOST.
Mshiriki wa Mafunzo hayo kutoka Shule ya Msingi Muungano Mwalimu Regina Peter anasema mafunzo yanawajengea uwezo WA uandaaji wa zana za kufundishia na kujifunzia na zitarahisisha na kukuza viwango vya ujifunzaji wa Kusoma, kuandika na kuhesabu (KKK) kwa Wanafunzi wa darasa la Kwanza na la pili.
Zaidi bofya www.kigomaujijimc.go.tz
Manispaa ya Kigoma Ujiji
Sanduku la Posta: S.L.P 44
Simu: +255 28 2802535
Namba ya Simu: +255765660847
Barua pepe: municipal@kigomaujijimc.go.tz ictsecurity@kigomaujijimc.go.tz
Hakimiliki@2017 Manispaa ya Kigoma Ujiji. Haki Zote Zimehifadhiwa