• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kigoma Ujiji Municipal Council
Kigoma Ujiji Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango,Takwimu na Usimamizi
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Kitengo cha Teknolojia Habari na Mawasiliano
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Sekta ya Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Ukimwi
      • Kamati Ya Maadili
      • Uchumi Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Kamati Za Madiwani
      • Ratiba Kuonana Na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyo Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Picha za Kuona
      • Mh.Meya
    • Tukio
    • Habari

MEYA WA MANISPAA KIGOMA/UJIJI MHE. BARAKA LUPOLI ATATUA CHANGAMOTO YA MACHINGA, AFANYA ZIARA KWA WAATHIRIKA WA MAJI YA MVUA, Mayor

Posted on: January 21st, 2021

Na Mwandishi wetu

Meya wa Manispaa ya Kigoma/Ujiji Mhe.Baraka Lupoli jana Januari 20,2021 alikutana na machinga wa soko la Kibirizi na kutatua changamoto zao huku akitembelea waathirika wa maji ya Mvua iliyonyesha katika Manispaa hiyo

Meya huyo alifanya ziara hiyo akiwa na Waheshimiwa Madiwani ambao pia ni  Wajumbe wa Kamati ya fedha na Uongozi huku akizungukia miundombinu ya barabara na mitalo iliyovunjika kutokana na mvua kubwa iliyonyesha alfajiri ya kuamkia siku ya Jumanne Januari 19,2021

Akiwa katika ziara hiyo iliyoanzia katika mwalo wa Kibirizi wajasiliamali na machinga wauza nguo wa soko la Kibirizi walimfikishia kilio chao cha kukosa sehemu ya kuuzia bidhaa zao hizo kutokana na eneo waliokuwa wakiuzia awali kujaa maji ya mvua na kusababisha adha na kushindwa kufanya biashara zao na kutojiingizia kipato kutokana na changamoto hiyo

Naye meya huyo akiwa katika soko hilo aliwataka machinga hao  kuendelea na biashara zao huku akiwaonesha eneo la kuuzia bidhaa zao katika soko la kibirizi licha ya kuwa na mwingiliano wa bidhaa tofauti tofauti kukaa sehemu moja huku akiwataka  kuwa watulivu katika kipindi hiki ambacho eneo lililojaa maji litakuwa likifanyiwa ukarabati na kurudi eneo lao mara tu litakapokuwa limekamilika

Mmoja ya wamachinga wa nguo katika soko hilo Astala Rajabu Mrisho alimshukuru na kumpongeza Meya huyo kwa kusikia kilio chao huku akimtaka kushughulikia eneo hilo lililojaa maji kwa wakati na kuendelea kutatua changamoto za wakazi wa Manispaa ya Kigoma/Ujiji

Aidha katika ziara hiyo iliyofanyika Meya wa Manispaa hiyo alifanya kikao na wasafirishaji wa nje (Expoters) wa mazao ya uvuvi kwa kusikiliza changamoto zao huku  akitembelea wananchi walioathirika na kuharibikiwa vitu kutokana na mvua kubwa iliyonjesha na kuingia katika makazi yao na kutembelea  miundombinu ya barabara na  mitaro iliyovunjika

Kata alizotembelea kutokana na miundombinu iliyoharibika na maji ya Mvua ni kata ya Kigoma, Mwanga kaskazini, Mwanga Kusini, Buhanda ,Katubuka, Burega, Gungu, na kata ya Rubuga.

Matangazo

  • NYARAKA ZA WAKUU WA SHULE WALIMU WAKUU October 10, 2022
  • Ufatiliaji wa Kina Kusaka wasiokata Leseni za Biashara 2017 March 20, 2017
  • Fedha za Mradi wa P4R mwezi Machi 2017 April 13, 2017
  • Fedha za Mradi wa Barabara Machi 2017 April 13, 2017
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • NYUMBA YA WALIMU SHULE YA SEKONDARI MJIMWEMA IPO HATUA YA UMALIZIAJI. Building

    May 08, 2025
  • MAANDALIZI MAPOKEZI YA MWENGE WA UHURU YAENDELEA UJIJI, DC AKAGUA MIRADI. National touch

    May 07, 2025
  • SERIKALI YAENDELEA KUTOA MSAADA WA KIBINADAMU WAATHIRIKA WA MVUA KIGOMA UJIJI. Flood

    May 05, 2025
  • NMB YAKABIDHI VIFAA TIBA KIGOMA UJIJI. Health

    May 03, 2025
  • Angalia Yote

Picha za Kuona

MWENGE WA UHURU 2023
Picha za Kuona Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Ofisi ya Rais Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tume ya Ajira

Kurasa Husishi

  • Wizara ya Elimu
  • Wizara ya Afya
  • TCU
  • Mikopo Vyuo Vya Elimu Ya Juu
  • Ofisi ya RAS Kigoma
  • Jiji Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Manispaa ya Kigoma Ujiji

    Sanduku la Posta: S.L.P 44

    Simu: +255 28 2802535

    Namba ya Simu: +255765660847

    Barua pepe: municipal@kigomaujijimc.go.tz ictsecurity@kigomaujijimc.go.tz

Mawasiliano Mbalimbali

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Manispaa ya Kigoma Ujiji. Haki Zote Zimehifadhiwa