• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kigoma Ujiji Municipal Council
Kigoma Ujiji Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango,Takwimu na Usimamizi
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Kitengo cha Teknolojia Habari na Mawasiliano
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Sekta ya Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Ukimwi
      • Kamati Ya Maadili
      • Uchumi Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Kamati Za Madiwani
      • Ratiba Kuonana Na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyo Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Picha za Kuona
      • Mh.Meya
    • Tukio
    • Habari

Mganga Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Dr, Saimon Chacha“Uchanjaji utaleta jamii ya watu wenye afya bora Vaccine

Posted on: September 29th, 2021

Na Mwandishi wetu

Wahudumu wa afya ngazi ya vituo Manispaa ya Kigoma/Ujiji leo September 29, 2021 wametakiwa kuendelea kutoa elimu ya chanjo ya Uviko-19 katika maeneo yao ya kazi

Wito huo umetolewa na Mganga Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Dr. Saimon Chacha alipokuwa Mgeni Rasmi katika semina ya Mpango harakishi na shirikishi wa Uchanjaji ya Chanjo ya Uviko-19 kwa wahudumu hao wa afya iliyofanyika katika Ukumbi wa chuo cha Waganga Maweni

Katika semina hiyo Mganga Mkuu huyo amewataka watumishi hao wa afya kuwa mstari wa mbele katika uchanjaji wa chanjo ya Uviko-19 na kuhakikisha jamii inapata taarifa zilizo sahihi juu ya chanjo hiyo inayoendelea kutolewa Nchini

Aidha Mganga Mkuu huyo amesema Mpango harakishi na shirikishi utaweza kuwafanya Wananchi kupata elimu  ya uchanjaji kwa kushirikiana na Viongozi wa Serikali , Watu maarufu , na  Viongozi wa dini  kushiriki zoezi la kutoa elimu ya Uchanjaji  na kufanya asilimia sitini (60%)  ya wakazi wa Mkoa wa Kigoma wanapata chanjo ya kujikinga na Uviko-19

Akitoa takwimu mganga Mkuu huyo amesema Mpango huo utaleta matokeo chanya na kuwa na jamii yenye watu wenye afya bora  ambapo kwa mkoa wa Kigoma utakuwa na vituo mia mbili hamsini na saba (257) kutoka vituo ishirini na nne(24) vya awali huku Manispaa ya Kigoma/Ujiji ikiwa na vituo kumi na saba (17) kutoka vituo vitatu (03) vya awali

Ameendelea kusema ongezeko la vituo hivyo litaleta tija kwa wananchi kujitokeza kuchanja kwa wingi kutokana na vituo vingi kuwa karibu na maeneo ya makazi na kupunguza kusafiri mda mrefu kwa kufuata chanjo hiyo

Amehitimisha kwa kueleza njia zingine zitakazotumika kuwafikia wananchi katika uchanjaji ikiwa ni pamoja na kuwa na huduma tembezi ya kuwafikia wananchi moja kwa moja katika makazi yao na kuendelea kushirikiana na vyombo vya habari katika kutoa elimu ya Uviko-19

Awali Mratibu wa chanjo ya Chanjo Manispaa ya Kigoma/Ujiji akimkaribisha mgeni rasmi Ndugu. Waziri Shabani alisema lengo la semina hiyo ni kuwajengea uelewa na  uwezo watoa huduma wa afya ngazi ya vituo mpango harakishi na Shirikishi wa Uchanjaji Chanjo ya Uviko-19 ikiwa ni pamoja na kuongeza idadi ya wachanjaji kwa lengo la kuwa na jamii imara na yenye afya njema


#tusifikehuko #ujanjakuchanja #jikingewakingewengine #jikingewakingewenginecoronainazuilika #jikingewakingewenginekaziiendelee #elimuyaafyakwaumma

 

Matangazo

  • NYARAKA ZA WAKUU WA SHULE WALIMU WAKUU October 10, 2022
  • Ufatiliaji wa Kina Kusaka wasiokata Leseni za Biashara 2017 March 20, 2017
  • Fedha za Mradi wa P4R mwezi Machi 2017 April 13, 2017
  • Fedha za Mradi wa Barabara Machi 2017 April 13, 2017
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • WAJASIRIAMALI WAENDELEA KUFIKIWA NA WATAALAMU KIGOMA UJIJI. Social services

    May 30, 2025
  • UGAWAJI WA VYANDARUA BURE UNAENDELEA KWENYE VITUO KIGOMA UJIJI. Health protection

    May 29, 2025
  • WAJASIRIAMALI KIGOMA UJIJI WATEMBELEWA NA WATAALAMU.

    May 28, 2025
  • RC ANDENGENYE AZINDUA ZOEZI LA UGAWAJI VYANDARUA MKOA WA KIGOMA. Malaria protection

    May 28, 2025
  • Angalia Yote

Picha za Kuona

MWENGE WA UHURU 2023
Picha za Kuona Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Ofisi ya Rais Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tume ya Ajira

Kurasa Husishi

  • Wizara ya Elimu
  • Wizara ya Afya
  • TCU
  • Mikopo Vyuo Vya Elimu Ya Juu
  • Ofisi ya RAS Kigoma
  • Jiji Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Manispaa ya Kigoma Ujiji

    Sanduku la Posta: S.L.P 44

    Simu: +255 28 2802535

    Namba ya Simu: +255765660847

    Barua pepe: municipal@kigomaujijimc.go.tz ictsecurity@kigomaujijimc.go.tz

Mawasiliano Mbalimbali

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Manispaa ya Kigoma Ujiji. Haki Zote Zimehifadhiwa