• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kigoma Ujiji Municipal Council
Kigoma Ujiji Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango,Takwimu na Usimamizi
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Kitengo cha Teknolojia Habari na Mawasiliano
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Sekta ya Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Ukimwi
      • Kamati Ya Maadili
      • Uchumi Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Kamati Za Madiwani
      • Ratiba Kuonana Na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyo Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Picha za Kuona
      • Mh.Meya
    • Tukio
    • Habari

MIAKA 61 YA UHURU WA TANZANIA BARA, USAFI WA WANANCHI KITUO CHA AFYA UJIJI. Sanitation

Posted on: December 6th, 2022

Na Mwandishi Wetu

Wananchi na wakazi wa Manispaa ya Kigoma/Ujiji Leo Desemba 6, 2022 wamejitokeza kufanya usafi na utoaji msaada wa mahitaji kwa Wagonjwa katika kituo cha afya cha Ujiji ikiwa ni mwendelezo wa wiki ya  Sherehe ya Miaka sitini na Moja (61) tangu Tanzania bara awali ikiitwa Tanganyika ilipojipatia Uhuru wake Desemba 9, 1961

Wananchi hao wamejitokeza wakiongozwa na Kaimu Katibu Tawala wa Wilaya ya Kigoma Ndugu. Maximillian Cyrillo ambapo amewapongeza Wananchi hao kwa kushiriki sherehe za maadhimisho  Wiki ya uhuru wa miaka 61 ya Uhuru wa Tanzania bara huku akisema maadhimisho hayo kwa Wilaya ya Kigoma yameanza Desemba 02, 2022 kwa kufanya shughuli mbalimbali za Kijamii

Amesema Shughuli za Kijamii ambazo tayari zimetekelezwa ni pamoja Usafi masokoni, Upandaji wa Miti na miche ya kisasa ya Michikichi, na  Usafi katika vituo vya afya

Ameendelea kusema Kesho Desemba 07, 2022 shughuli ya mazoezi ya Viungo ya mchakamchaka (Jogging) yataanzia Stesheni ya Kigoma Saa kumi na mbili (12:00) Asubuhi na kuhitimishwa  Uwanja wa  Mwanga Community Centre kwa zoezi la utoaji damu

Aidha amesema Desemba 8, sherehe hizo zitaendelea katika Uwanja wa Lake Tanganyika kwa michezo mbalimbali ikiwemo mpira wa Miguu, riadha,  uvutaji kamba,  na kukimbiza kuku kuanzia majira ya Saa moja asubuhi

Amehitimisha kwa kusema kilele cha maadhimisho hayo kitahitimishwa katika Ukumbi wa nnsf Kigoma kwa kujadiliana maendeleo ya Miaka 61 ya Uhuru wa Tanzania bara awali ikiitwa Tanganyika

Kauli mbiu ya Mwaka huu ni "  Miaka 61 ya Uhuru, Amani na Umoja ni nguzo ya Maendeleo yetu ".

Matangazo

  • NYARAKA ZA WAKUU WA SHULE WALIMU WAKUU October 10, 2022
  • Ufatiliaji wa Kina Kusaka wasiokata Leseni za Biashara 2017 March 20, 2017
  • Fedha za Mradi wa P4R mwezi Machi 2017 April 13, 2017
  • Fedha za Mradi wa Barabara Machi 2017 April 13, 2017
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • NYUMBA YA WALIMU SHULE YA SEKONDARI MJIMWEMA IPO HATUA YA UMALIZIAJI. Building

    May 08, 2025
  • MAANDALIZI MAPOKEZI YA MWENGE WA UHURU YAENDELEA UJIJI, DC AKAGUA MIRADI. National touch

    May 07, 2025
  • SERIKALI YAENDELEA KUTOA MSAADA WA KIBINADAMU WAATHIRIKA WA MVUA KIGOMA UJIJI. Flood

    May 05, 2025
  • NMB YAKABIDHI VIFAA TIBA KIGOMA UJIJI. Health

    May 03, 2025
  • Angalia Yote

Picha za Kuona

MWENGE WA UHURU 2023
Picha za Kuona Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Ofisi ya Rais Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tume ya Ajira

Kurasa Husishi

  • Wizara ya Elimu
  • Wizara ya Afya
  • TCU
  • Mikopo Vyuo Vya Elimu Ya Juu
  • Ofisi ya RAS Kigoma
  • Jiji Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Manispaa ya Kigoma Ujiji

    Sanduku la Posta: S.L.P 44

    Simu: +255 28 2802535

    Namba ya Simu: +255765660847

    Barua pepe: municipal@kigomaujijimc.go.tz ictsecurity@kigomaujijimc.go.tz

Mawasiliano Mbalimbali

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Manispaa ya Kigoma Ujiji. Haki Zote Zimehifadhiwa