• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kigoma Ujiji Municipal Council
Kigoma Ujiji Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango,Takwimu na Usimamizi
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Kitengo cha Teknolojia Habari na Mawasiliano
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Sekta ya Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Ukimwi
      • Kamati Ya Maadili
      • Uchumi Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Kamati Za Madiwani
      • Ratiba Kuonana Na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyo Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Picha za Kuona
      • Mh.Meya
    • Tukio
    • Habari

MILLIONI HAMSINI ZATOLEWA UJENZI WA ZAHANATI YA MGUMILE, Mgumile Dispensary

Posted on: February 26th, 2021

Na mwandishi wetu

Jana  February 25, 2021 Mkutano wa Baraza la Madiwani (Full Council) la kupokea taarifa za kata lilijadili changamoto ya ukosefu wa zahanati Mtaa wa Mgumile kata ya Kagera kutokana na eneo lililokuwa linajengwa awali kujaa maji na kusababisha miundombinu kuharibika na kusitishwa kwa ujenzi huo

Awali  Diwani wa Kata hiyo Mhe. Gregory Keberezo Akiwasilisha taarifa ya robo ya pili kwa kipindi mwezi Oktoba hadi Desemba 2020/2021 alisema kwa mjibu wa sensa ya watu na makazi ya mwaka 2012 idadi ya watu mtaa wa Mgumile ilikuwa ni Wanawake 1319, wanaume 1476 na kufanya jumla ya watu kuwa 2795, na kaya zikiwa 633 huku akisema idadi hiyo imekuwa ikiongezeka

Diwani huyo aliendelea kusema kutokana na changamoto iliyojitokeza ya kujaa kwa maji ya ziwa eneo ambalo awali zahanati hiyo ilikuwa inaendelea kujengwa anatarajia kufanya mkutano na wananchi  wiki ijayo ili kujadili namna ya kufanikisha kupata eneo jingine la kujenga zahati hiyo

Naye mkurugenzi wa Manispaa ya Kigoma/Ujiji Ndugu. Mwailwa Pangani akizungumzia mpango wa ujenzi wa zahanati katika mtaa huo alisema kwa sasa tayari fedha kutoka Serikali kuu imeleta fedha kiasi cha Millioni Hamsini (Tsh 50,000,000/)= kwa ajili ya kuendeleza ujenzi katika mtaa huo huku akisema kutokana na kujaa kwa maji katika eneo la awali pindi wananchi watakapo pata ardhi kutokana na jitihada ambazo tayari wameanza kuzionesha ujenzi huo utaanza haraka

Mwenyekiti wa baraza hilo na Meya wa Manispaa ya Kigoma/Ujiji Mhe. Baraka Lupoli alimtaka diwani wa Kata ya Kagera kusimamia na kufanya mkutano kwa wakati juu ya  upatikanaji wa eneo hilo kwa wananchi na ujenzi kuanza haraka kutokana na uwepo wa fedha na wananchi kutoendelea kupata taabu ya kupata matibabu

Naye Mbunge wa Jimbo la Kigoma Mjini Mhe. Ng’enda Kirumbe aliipongeza Serikali kwa kiasi cha fedha kilicholetwa kwa ajili ya ujenzi wa zahanati hiyo huku akisema yeye kama Mbunge wa eneo hilo ataendelea kuisemea zahanati hiyo ya Mgumile na huduma zote za afya katika Jimbo lake hilo na kuendelea kutafuta fedha kwa wadau mbalimbali ili kufanikisha ujenzi wa zahanati hiyo ili kufikisha huduma za jamii kwa karibu kwa wananchi na wakazi wa eneo hilo

Mtaa wa Mgumile ni moja ya mitaa minne(04) ya kata ya Kagera inayopatikana Manispaa ya Kigoma/Ujiji Tarafa ya Kigoma Kusini ambapo mtaa huo upo nje kidogo ya Mji kando mwa ziwa Tanganyika na wananchi wake wakijishughulisha na kilimo cha mazao ya chakula na biashara hasa zao la Michikichi katika Bonde la Mto Ruiche na ujenzi wa shule ya mda wa shule ya Msingi Mgumile imejengwa eneo jingine kutokana na kuvamiwa na maji hayo ya ziwa

Matangazo

  • NYARAKA ZA WAKUU WA SHULE WALIMU WAKUU October 10, 2022
  • Ufatiliaji wa Kina Kusaka wasiokata Leseni za Biashara 2017 March 20, 2017
  • Fedha za Mradi wa P4R mwezi Machi 2017 April 13, 2017
  • Fedha za Mradi wa Barabara Machi 2017 April 13, 2017
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • NYUMBA YA WALIMU SHULE YA SEKONDARI MJIMWEMA IPO HATUA YA UMALIZIAJI. Building

    May 08, 2025
  • MAANDALIZI MAPOKEZI YA MWENGE WA UHURU YAENDELEA UJIJI, DC AKAGUA MIRADI. National touch

    May 07, 2025
  • SERIKALI YAENDELEA KUTOA MSAADA WA KIBINADAMU WAATHIRIKA WA MVUA KIGOMA UJIJI. Flood

    May 05, 2025
  • NMB YAKABIDHI VIFAA TIBA KIGOMA UJIJI. Health

    May 03, 2025
  • Angalia Yote

Picha za Kuona

MWENGE WA UHURU 2023
Picha za Kuona Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Ofisi ya Rais Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tume ya Ajira

Kurasa Husishi

  • Wizara ya Elimu
  • Wizara ya Afya
  • TCU
  • Mikopo Vyuo Vya Elimu Ya Juu
  • Ofisi ya RAS Kigoma
  • Jiji Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Manispaa ya Kigoma Ujiji

    Sanduku la Posta: S.L.P 44

    Simu: +255 28 2802535

    Namba ya Simu: +255765660847

    Barua pepe: municipal@kigomaujijimc.go.tz ictsecurity@kigomaujijimc.go.tz

Mawasiliano Mbalimbali

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Manispaa ya Kigoma Ujiji. Haki Zote Zimehifadhiwa