• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kigoma Ujiji Municipal Council
Kigoma Ujiji Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango,Takwimu na Usimamizi
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Kitengo cha Teknolojia Habari na Mawasiliano
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Sekta ya Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Ukimwi
      • Kamati Ya Maadili
      • Uchumi Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Kamati Za Madiwani
      • Ratiba Kuonana Na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyo Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Picha za Kuona
      • Mh.Meya
    • Tukio
    • Habari

MKUTANO WA HADHARA KATA YA GUNGU WA KUTOA ELIMU KUPINGA UKATILI WA KIJINSIA violence education

Posted on: December 9th, 2021

Na Mwandishi Wetu

Manispaa ya Kigoma/Ujiji imeendelea kuadhimisha siku kumi na sita (16) za kupinga ukatili wa Kinjisia kwa kutoa elimu kwa makundi mbalimbali ya watu wakiwemo  Wanawake na Vijana

Jana Desemba 08, 2021 ulifanyika Mkutano wa hadhara uliowahusisha wananchi na wakazi wa kata ya Gungu kwa lengo la kutoa elimu ya kupinga vitendo vya ukatili wa kijinsia ambavyo vimekuwa vikijitokeza ndani ya Jamii

Mgeni Rasmi wa Mkutano huo  kwa niaba ya Mkurugenzi wa Manispaa ya Kigoma/Ujiji ambaye ni Mkuu wa idara ya  Mipango na Uchumi  Ndugu. Frednand Filimbi aliwataka wakazi wa kata hiyo kupiga vita vitendo vya ukatili vinavyoweza jitokeza  kutokana na athari zake  na kuhakikisha vitendo hivyo vinaripotiwa katika Uongozi wa Mtaa, Kata, Ofisi za Ustawi wa Jamii na Dawati la Jinsia jeshi la Polisi

Aliwataka wakazi wa kata hiyo kuhakikisha wanawapeleka watoto shule  ili kupata elimu itakayowasaidia kupambana na vitendo hivyo kwani kutofanya hivyo mzazi au malezi   atakuwa anaendeleza ukatili na hivyo atashitakiwa kwa mjibu wa Sheria

Aidha aliwataka wakazi wa  kata hiyo kushiriki shughuli za Maendeleo katika ujenzi wa Miradi mbalimbali inayojengwa katika Kata hiyo ikiwemo miradi ya afya na Ujenzi wa Vyumba vya madarasa    

Mwanasheria na Wakili  kutoka Shirika la Norwegian Church Aid (NCA) Bi. Rosalia Ntiluhungwa  alisema ni kosa kisheria kwa watoto wadogo chini ya Umri wa Miaka kumi na nane (18) kuingizwa na kulazimishwa kuoa au kuolewa kwa Lengo la kujipatia kipato kwa wazazi au walezi

Alisema ukatili Mwingine ni Pamoja na Ukatili wa Kimwili unaohusisha vipigo na Kuchomwa na vitu vyenye ncha kali, Ukatili wa Kihisia kama kutukanwa,  ukatili wa Kingono kubakwa na kulawitiwa,  Ukatili wa kiuchumi kunyimwa fursa ya kufanya kazi na ukatili wa usafirishaji na utumikishaji wa watoto    

Mkutano  huo uliandaliwa na Ofisi ya Ofisi ya Mkurugenzi wa Manispaa hiyo ikishirikiana na  BAKAID-Kigoma  chini ya Ufadhili wa Shirika la Norwegian Church Aid (NCA) na kauli mbiu ya  Mwaka huu Kitaifa ni " Ewe Mwananchi, Komesha ukatili wa Kijinsia sasa"  


Zaidi tembelea www.kigomaujijimc.go.tz

Matangazo

  • NYARAKA ZA WAKUU WA SHULE WALIMU WAKUU October 10, 2022
  • Ufatiliaji wa Kina Kusaka wasiokata Leseni za Biashara 2017 March 20, 2017
  • Fedha za Mradi wa P4R mwezi Machi 2017 April 13, 2017
  • Fedha za Mradi wa Barabara Machi 2017 April 13, 2017
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • NYUMBA YA WALIMU SHULE YA SEKONDARI MJIMWEMA IPO HATUA YA UMALIZIAJI. Building

    May 08, 2025
  • MAANDALIZI MAPOKEZI YA MWENGE WA UHURU YAENDELEA UJIJI, DC AKAGUA MIRADI. National touch

    May 07, 2025
  • SERIKALI YAENDELEA KUTOA MSAADA WA KIBINADAMU WAATHIRIKA WA MVUA KIGOMA UJIJI. Flood

    May 05, 2025
  • NMB YAKABIDHI VIFAA TIBA KIGOMA UJIJI. Health

    May 03, 2025
  • Angalia Yote

Picha za Kuona

MWENGE WA UHURU 2023
Picha za Kuona Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Ofisi ya Rais Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tume ya Ajira

Kurasa Husishi

  • Wizara ya Elimu
  • Wizara ya Afya
  • TCU
  • Mikopo Vyuo Vya Elimu Ya Juu
  • Ofisi ya RAS Kigoma
  • Jiji Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Manispaa ya Kigoma Ujiji

    Sanduku la Posta: S.L.P 44

    Simu: +255 28 2802535

    Namba ya Simu: +255765660847

    Barua pepe: municipal@kigomaujijimc.go.tz ictsecurity@kigomaujijimc.go.tz

Mawasiliano Mbalimbali

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Manispaa ya Kigoma Ujiji. Haki Zote Zimehifadhiwa