• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kigoma Ujiji Municipal Council
Kigoma Ujiji Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango,Takwimu na Usimamizi
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Kitengo cha Teknolojia Habari na Mawasiliano
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Sekta ya Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Ukimwi
      • Kamati Ya Maadili
      • Uchumi Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Kamati Za Madiwani
      • Ratiba Kuonana Na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyo Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Picha za Kuona
      • Mh.Meya
    • Tukio
    • Habari

MKUU WA WILAYA YA KIGOMA AMSHUKURU RAIS SAMIA KWA FEDHA ALIZOZITOA KATIKA WILAYA HIYO YA UJENZI WA MIUNDOMBINU YA ELIMU NA AFYA, distric

Posted on: October 27th, 2021

Na Mwandishi Wetu

Mkuu wa  Wilaya ya Kigoma Bi. Ester Alexander Mahawe amempongeza na Kumshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan kwa fedha za ujenzi wa Miundombinu ya Afya na Shule zilizopokelewa na Halmashauri zote mbili za Wilaya hiyo ikiwa ni katika kupambana na athari za Uviko-19

Pongezi hizo amezitoa Leo October27, 2021 katika Ukumbi wa Manispaa ya Kigoma/Ujiji wakati wa majumuisho ya ziara ya viongozi wa ALAT-Taifa waliyoifanya  katika Manispaa hiyo kwa lengo la kukagua thamani ya miradi inayotekelezwa

Mkuu huyo wa Wilaya amesema Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma imepokea billion moja  na million Mia nane tisini (Tsh 1,890,000,000/=) kwa lengo la Ujenzi wa vyumba vya madarasa sitini na tisa (69) , vituo Shikizi na ujenzi wa nyumba za watumishi wa afya huku akisema Million Mia tisa sitini (960,000,000/=) zimepokelewa Manispaa ya Kigoma/Ujiji kwa lengo la  ujenzi wa vyumba vya madarasa arobaini na nane (48)

Aidha amewataka Wakuu wa idara na vitengo ambao ndio Wataalamu kusimamia na kuhakikisha miradi inajengwa katika viwango na kufanya kazi kwa mshikamano na kuepuka urasimu katika ujenzi wa miradi hiyo

Amehitimisha kwa kusema hata mvumilia mtumishi yeyote atakaye chelewesha ujenzi wa miradi hiyo na kutumia fedha vibaya huku akisema msimamizi yeyote ambaye hatatekeleza majukumu yake atachukuliwa hatua za kinidhamu

Naye Mkurugenzi wa Manispaa ya Kigoma/Ujiji Ndugu. Athumani Msabila amesema Wakurugenzi wa Halmashauri zote Mbili wapo tayari katika usimamizi wa miradi hiyo na kusema Manispaa ya Kigoma/Ujiji kamati za usimamizi na ufatiliaji wa ujenzi wa madarasa tayari zimeundwa        

Picha na video zaidi ingia katika maktaba ya Nchi ya tovuti yetu www.kigomaujijimc.go.tz



Matangazo

  • NYARAKA ZA WAKUU WA SHULE WALIMU WAKUU October 10, 2022
  • Ufatiliaji wa Kina Kusaka wasiokata Leseni za Biashara 2017 March 20, 2017
  • Fedha za Mradi wa P4R mwezi Machi 2017 April 13, 2017
  • Fedha za Mradi wa Barabara Machi 2017 April 13, 2017
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • NYUMBA YA WALIMU SHULE YA SEKONDARI MJIMWEMA IPO HATUA YA UMALIZIAJI. Building

    May 08, 2025
  • MAANDALIZI MAPOKEZI YA MWENGE WA UHURU YAENDELEA UJIJI, DC AKAGUA MIRADI. National touch

    May 07, 2025
  • SERIKALI YAENDELEA KUTOA MSAADA WA KIBINADAMU WAATHIRIKA WA MVUA KIGOMA UJIJI. Flood

    May 05, 2025
  • NMB YAKABIDHI VIFAA TIBA KIGOMA UJIJI. Health

    May 03, 2025
  • Angalia Yote

Picha za Kuona

MWENGE WA UHURU 2023
Picha za Kuona Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Ofisi ya Rais Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tume ya Ajira

Kurasa Husishi

  • Wizara ya Elimu
  • Wizara ya Afya
  • TCU
  • Mikopo Vyuo Vya Elimu Ya Juu
  • Ofisi ya RAS Kigoma
  • Jiji Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Manispaa ya Kigoma Ujiji

    Sanduku la Posta: S.L.P 44

    Simu: +255 28 2802535

    Namba ya Simu: +255765660847

    Barua pepe: municipal@kigomaujijimc.go.tz ictsecurity@kigomaujijimc.go.tz

Mawasiliano Mbalimbali

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Manispaa ya Kigoma Ujiji. Haki Zote Zimehifadhiwa