• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kigoma Ujiji Municipal Council
Kigoma Ujiji Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango,Takwimu na Usimamizi
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Kitengo cha Teknolojia Habari na Mawasiliano
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Sekta ya Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Ukimwi
      • Kamati Ya Maadili
      • Uchumi Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Kamati Za Madiwani
      • Ratiba Kuonana Na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyo Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Picha za Kuona
      • Mh.Meya
    • Tukio
    • Habari

MKUU WA WILAYA YA KIGOMA Bi. ESTER MAHAWE AANZA KUTEKELEZA AGIZO LA RAIS SUALA LA MACHINGA Distric

Posted on: October 8th, 2021

Na Mwandishi Wetu

Mkuu wa wilaya ya Kigoma Bi. Ester Alexander Mahawe leo October 8, 2021, amefanya kikao na Viongozi  wa Machinga waliopo Manispaa ya Kigoma/Ujiji  kwa lengo la kujadiliana maeneo maalumu yaliyotengwa kuwapangia katika kufanya biashara zao

Mkuu wa wilaya huyo akifungua kikao amesema lengo la Serikali ni kuhakikisha Wamachinga wanafanya biashara zao katika hali ya utulivu na usalama ukilinganisha na maeneo ya kando za barabarani ambapo walio wengi ndipo hupanga bidhaa zao

Aidha mkuu huyo wa wilaya amewaonya matapeli wanaojipenyeza na kuwalaghai wamachinga kutaka wawapatie fedha kwa lengo la kuwapangia maeneo makubwa na upendeleo  huku akisema zoezi hilo litaratibiwa chini ya Ofisi ya Mkurugenzi wa Manispaa hiyo

Ameendelea kusema kwa sasa Manispaa ya Kigoma/Ujiji inakabiliwa na hali ya uchafuzi wa mji na kutupa taka ovyo katika mitalo ya barabara na maeneo yasiyo rasmi kutokana na uwepo wa  baadhi ya Machinga na wateja wao kutupa taka kinyume na utaratibu

Amesema katika maeneo rasmi yaliyotengwa yanatarajia kujengwa miundombinu iliyoimara kama vile miundombinu ya vyoo, uwekwaji wa  taa, na kujenga miundombinu ya kuweka taka katika maeneo hayo

Kaimu Mkurugenzi wa Manispaa ya Kigoma/Ujiji Ndugu. Frednand Filimbi akiwasilisha maeneo yaliyotengwa kwa ajili ya Machinga amesema maeneo hayo  ni pamoja eneo la soko jipya linalojengwa   jirani na standi ya Masanga, Soko la Mwasenga, eneo la Seremala Katubuka na eneo la Green belt jirani na Ofisi ya Kata ya Buzebazeba

Baadhi ya viongozi wa Machinga akiwemo Ali Jafari wa Soko la Mwanga na Manase Ruheta wa soko la Gungu wamempongeza Mkuu wa Wilaya ya Kigoma kwa kikao hicho cha majadiliano huku wakiwamtaka katika kipindi cha kuwahamisha machinga hao utumike utaratibu mzuri pasipo kuwa na vurugu ikiwa ni pamoja na wafanyabiashara hao kupimiwa maeneo pendekezwa pasipo kuingiliwa na wafanyabiashara wakubwa

Mkuu huyo wa wilaya mara baada ya kikao hicho amefanya ziara ya kutembelea machinga katika maeneo yao na kutembelea maeneo hayo yaliyotengwa  akiwa na viongozi wa machinga maeneo husika

Kikao hicho cha Mkuu wa Wilaya na  Viongozi wa Machinga  kimehusisha Wenyeviti wa Masoko, Wataalamu kutoka Ofisi ya Mkurugenzi wa Manispaa ya Kigoma/Ujiji pamoja na Kamati ya Ulinzi na Usalama Wilaya

Mkuu huyo wa wilaya amefanya kikao hicho mara baada ya Agizo la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan kuwaagiza Wakuu wa Mikoa na Wilaya kuwapanga Machinga katika maeneo stahiki  yaliyo salama na yatayowakuza kiuchumi Nchi nzima

Matangazo

  • NYARAKA ZA WAKUU WA SHULE WALIMU WAKUU October 10, 2022
  • Ufatiliaji wa Kina Kusaka wasiokata Leseni za Biashara 2017 March 20, 2017
  • Fedha za Mradi wa P4R mwezi Machi 2017 April 13, 2017
  • Fedha za Mradi wa Barabara Machi 2017 April 13, 2017
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • NYUMBA YA WALIMU SHULE YA SEKONDARI MJIMWEMA IPO HATUA YA UMALIZIAJI. Building

    May 08, 2025
  • MAANDALIZI MAPOKEZI YA MWENGE WA UHURU YAENDELEA UJIJI, DC AKAGUA MIRADI. National touch

    May 07, 2025
  • SERIKALI YAENDELEA KUTOA MSAADA WA KIBINADAMU WAATHIRIKA WA MVUA KIGOMA UJIJI. Flood

    May 05, 2025
  • NMB YAKABIDHI VIFAA TIBA KIGOMA UJIJI. Health

    May 03, 2025
  • Angalia Yote

Picha za Kuona

MWENGE WA UHURU 2023
Picha za Kuona Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Ofisi ya Rais Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tume ya Ajira

Kurasa Husishi

  • Wizara ya Elimu
  • Wizara ya Afya
  • TCU
  • Mikopo Vyuo Vya Elimu Ya Juu
  • Ofisi ya RAS Kigoma
  • Jiji Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Manispaa ya Kigoma Ujiji

    Sanduku la Posta: S.L.P 44

    Simu: +255 28 2802535

    Namba ya Simu: +255765660847

    Barua pepe: municipal@kigomaujijimc.go.tz ictsecurity@kigomaujijimc.go.tz

Mawasiliano Mbalimbali

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Manispaa ya Kigoma Ujiji. Haki Zote Zimehifadhiwa