• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kigoma Ujiji Municipal Council
Kigoma Ujiji Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango,Takwimu na Usimamizi
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Kitengo cha Teknolojia Habari na Mawasiliano
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Sekta ya Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Ukimwi
      • Kamati Ya Maadili
      • Uchumi Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Kamati Za Madiwani
      • Ratiba Kuonana Na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyo Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Picha za Kuona
      • Mh.Meya
    • Tukio
    • Habari

MPANGO WA UANZISHAJI NA UENDELEZAJI WA MAKUNDI YA MALEZI KATIKA KATA NA MITAA

Posted on: January 6th, 2022


Na Mwandishi Wetu

Mkurugenzi wa Manispaa ya Kigoma/Ujiji Ndugu. Athuman Msabila jana Januari 05, 2022 alifungua mafunzo ya mpango wa uanzishaji na uendelezaji wa vikundi vya malezi kwa washiriki ishirini (20) kutoka katika kata tano za Manispaa hiyo

Mafunzo hayo yanatarajia kuendeshwa kwa mda wa siku nne na wataalamu kutoka Ofisi ya Mkurugenzi huyo wakishirikiana na wadau wa Maendeleo UNICEF  na yanatarajiwa kuhitimishwa Januari 08, 2022

Mkurugenzi huyo Akihutubia katika mafunzo aliwataka washiriki wa mafunzo  kuwa makini katika mada zitakazowasilishwa ili kwenda kuwafundisha  wazazi na walezi kusimamia malezi ya watoto ili kuwa na jamii yenye maadili

Aidha Mkurugenzi huyo aliwataka washiriki mara baada ya mafunzo kuhakikisha vikundi vya malezi vitakavyoanzishwa vinakuwa endelevu kwa kuvitembelea mara kwa mara na kuwashauri viongozi wa makundi ili kufikia malengo yaliyokusudiwa

Mkurugenzi huyo alisema Mpango huo utaendelea kuboreshwa kwa kufikia kata ambazo hazijashiriki kwa kuongea na wadau wa maendeleo na kutenga mapato ya ndani ili vikundi hivyo vya malezi viweze kufanya kazi kwa kata zote

Mkurugenzi huyo alihitimisha kwa kuwataka washiriki hao kuendelea kuchukua tahadhari ya kujikinga na uviko-19 ikiwa ni pamoja na kuchoma chanjo huku akiwataka kushiriki Sensa ya watu na makazi inayotarajiwa kufanyika mwaka huu 2022

Kaimu Mkuu wa idara ya Maendeleo ya Jamii Ndugu. Jabir Majira alisema uanzishwaji wa vikundi vya malezi utasaidia upatikanaji wa kanzi data sahihi ya wazazi na walezi ili kusaidiana katika kutatua changamoto zitokana nazo na malezi

Aliendelea kusema mafunzo haya  yanalenga kuwafundisha wawezeshaji watakaohusika katika kuhamasisha wazazi, walezi na wananchi kuanzisha vikundi vya malezi ya watoto katika Kata Bangwe, Kibirizi, Gungu, Mwanga Kaskazini, na Katubuka

Mmoja wa washiriki wa Mafunzo hayo Ndugu. Masumbuko Warioba  Alisema mara baada ya kupokea mafunzo wapo tayari kwa ajili ya kuhamasisha na kuelimisha jamii katika kuanzisha vikundi vya malezi ili kuwa na jamii itakayokuwa na maadili na kuepuka vitendo vya ukatili ndani ya jamii

Matangazo

  • NYARAKA ZA WAKUU WA SHULE WALIMU WAKUU October 10, 2022
  • Ufatiliaji wa Kina Kusaka wasiokata Leseni za Biashara 2017 March 20, 2017
  • Fedha za Mradi wa P4R mwezi Machi 2017 April 13, 2017
  • Fedha za Mradi wa Barabara Machi 2017 April 13, 2017
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • WAJASIRIAMALI WAENDELEA KUFIKIWA NA WATAALAMU KIGOMA UJIJI. Social services

    May 30, 2025
  • UGAWAJI WA VYANDARUA BURE UNAENDELEA KWENYE VITUO KIGOMA UJIJI. Health protection

    May 29, 2025
  • WAJASIRIAMALI KIGOMA UJIJI WATEMBELEWA NA WATAALAMU.

    May 28, 2025
  • RC ANDENGENYE AZINDUA ZOEZI LA UGAWAJI VYANDARUA MKOA WA KIGOMA. Malaria protection

    May 28, 2025
  • Angalia Yote

Picha za Kuona

MWENGE WA UHURU 2023
Picha za Kuona Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Ofisi ya Rais Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tume ya Ajira

Kurasa Husishi

  • Wizara ya Elimu
  • Wizara ya Afya
  • TCU
  • Mikopo Vyuo Vya Elimu Ya Juu
  • Ofisi ya RAS Kigoma
  • Jiji Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Manispaa ya Kigoma Ujiji

    Sanduku la Posta: S.L.P 44

    Simu: +255 28 2802535

    Namba ya Simu: +255765660847

    Barua pepe: municipal@kigomaujijimc.go.tz ictsecurity@kigomaujijimc.go.tz

Mawasiliano Mbalimbali

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Manispaa ya Kigoma Ujiji. Haki Zote Zimehifadhiwa