• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kigoma Ujiji Municipal Council
Kigoma Ujiji Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango,Takwimu na Usimamizi
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Kitengo cha Teknolojia Habari na Mawasiliano
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Sekta ya Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Ukimwi
      • Kamati Ya Maadili
      • Uchumi Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Kamati Za Madiwani
      • Ratiba Kuonana Na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyo Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Picha za Kuona
      • Mh.Meya
    • Tukio
    • Habari

MRADI WA SHULE BORA NA UWAWA Education

Posted on: February 23rd, 2023

Na Mwandishi Wetu

Walaamu wa elimu ngazi za Halmashauri Mkoani Kigoma  wanaendelea na mafunzo ya Siku tano (05) yaliyoanza siku ya Jumatatu February 20, 2023 na yanatarajiwa kuhitimishwa siku ya Ijumaa February 24, yakìfanyika katika Ukumbi wa Kasulu Motel

Mafunzo hayo yameandaliwa na Mradi wa Shule bora  unafadhiliwa na Serikali ya Uingereza Kupitia Mfuko wa UK aid kwa lengo la kuwajengea uwezo ili kuwawezesha Viongozi wa Elimu ngazi za Kata kufanya Umoja wa Wazazi na walezi (UWAWA) katika shughuli za ufundishaji na ujifunzaji

Mafunzo hayo  yamehusisha makundi ya wataalamu mbalimbali  Kutoka ngazi za Wilaya wakiwemo Maafisa elimu, Watakwimu wa elimu, Maafisa elimu -Walemavu,  Wadhibiti ubora wa elimu,  Tume ya Utumishi wa Walimu (TSC),  Wachumi, Maafisa Maendeleo ya Jamii pamoja na Maafisa habari

Akifungua kikao siku ya Jana February 22, 2023  Mratibu wa Mradi wa Shule Bora Mkoani Kigoma Ndugu. David Mwamalasi  aliendelea kuwataka wanasemina Kuzingatia mafunzo kwa lengo la kwenda   kuwajengea uwezo Maafisa elimu Kata, Walimu Wakuu,  na Wenyeviti wa Kamati za Shule kuunda umoja Wazazi na Walezi (UWAWA) katika kuinua viwango vya Taaluma Shuleni

Mkufunzi wa Kitaifa kutoka Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Ndugu. Kelvin  Rutaihwa aliwataka Washiriki Kuzingatia mafunzo  yanayotolewa kwa lengo la kukuza viwango vya elimu Mkoani hapo kwa kushirikiana na Wazazi  

Alisema umoja wa Wazazi na Walezi (UWAWA) wanawajibu wa kufanya na kuhudhuria vikao Shuleni, usimamizi na usomaji wa Wanafunzi nyumbani,  kuibua na kuendeleza vipaji vya Wanafunzi pamoja na kuhamasisha uandikishaji, mahudhurio na Mvuko wa Wanafunzi    

Aidha alisema utasaidia kamati ya Shule katika utekelezaji wa mpango wa Jumla na maendeleo ya Shule , kusimamia Ustawi , usalama na kusimamia ujumuishi wa Wanafunzi  kwa kushughulikia Vitendo vya ukatili, na ukiukwaji wa haki za Watoto na kutatua changamoto Za Wanafunzi wenye mahitaji Maalumu    

Katika Kikao hicho mada mbalimbali ziliendelea kujadiliwa  ikiwa ni pamoja na Usimamizi wa rasilimali za Shule, Mapitio ya Matokeo ya Mitihani ya Darasa la nne na la Saba Mkoani Kigoma, na Ushiriki wa Jamii katika ukuzaji wa elimu  

Mradi wa Shule bora unafadhiliwa na Serikali ya Uingereza Kupitia Mfuko wa UK aid ukitekelezwa katika Mikoa tisa ukipokea utaalamu wa kiufundi toka Cambrige Education ikishirikiana na Mashirika ya ADD International, International Rescue Committe (IRC) na Plan International

#SHULEBORA #shulebora @plan_tanzania



Matangazo

  • NYARAKA ZA WAKUU WA SHULE WALIMU WAKUU October 10, 2022
  • Ufatiliaji wa Kina Kusaka wasiokata Leseni za Biashara 2017 March 20, 2017
  • Fedha za Mradi wa P4R mwezi Machi 2017 April 13, 2017
  • Fedha za Mradi wa Barabara Machi 2017 April 13, 2017
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • NYUMBA YA WALIMU SHULE YA SEKONDARI MJIMWEMA IPO HATUA YA UMALIZIAJI. Building

    May 08, 2025
  • MAANDALIZI MAPOKEZI YA MWENGE WA UHURU YAENDELEA UJIJI, DC AKAGUA MIRADI. National touch

    May 07, 2025
  • SERIKALI YAENDELEA KUTOA MSAADA WA KIBINADAMU WAATHIRIKA WA MVUA KIGOMA UJIJI. Flood

    May 05, 2025
  • NMB YAKABIDHI VIFAA TIBA KIGOMA UJIJI. Health

    May 03, 2025
  • Angalia Yote

Picha za Kuona

MWENGE WA UHURU 2023
Picha za Kuona Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Ofisi ya Rais Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tume ya Ajira

Kurasa Husishi

  • Wizara ya Elimu
  • Wizara ya Afya
  • TCU
  • Mikopo Vyuo Vya Elimu Ya Juu
  • Ofisi ya RAS Kigoma
  • Jiji Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Manispaa ya Kigoma Ujiji

    Sanduku la Posta: S.L.P 44

    Simu: +255 28 2802535

    Namba ya Simu: +255765660847

    Barua pepe: municipal@kigomaujijimc.go.tz ictsecurity@kigomaujijimc.go.tz

Mawasiliano Mbalimbali

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Manispaa ya Kigoma Ujiji. Haki Zote Zimehifadhiwa