• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kigoma Ujiji Municipal Council
Kigoma Ujiji Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango,Takwimu na Usimamizi
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Kitengo cha Teknolojia Habari na Mawasiliano
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Sekta ya Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Ukimwi
      • Kamati Ya Maadili
      • Uchumi Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Kamati Za Madiwani
      • Ratiba Kuonana Na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyo Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Picha za Kuona
      • Mh.Meya
    • Tukio
    • Habari

MRADI WA SHULE BORA UNALENGA ELIMU KWA WATOTO WOTE Education

Posted on: February 6th, 2023

Na Mwandishi Wetu

Mshauri wa elimu kutoka taasisi ya British High Commission iliyopo Jijini Dar  es salaam Ndugu. Collin Bangay siku ya Ijumaa February 03, 2022 alihitimisha  ziara ya siku tatu (03) Mkoani Kigoma akikagua namna mradi wa Shule bora unavyotekelezwa Mkoani hapo

Ziara hiyo ilianza February 01,  kwa kufanya vikao na Viongozi ngazi ya Mkoa, Halmashauri, Kata  na Shule kwa kuongea na Walimu pamoja na kukagua namna Wanafunzi wanavyoshiriki katika zoezi la ujifunzaji

Desemba 02, Akifanya ziara Halmashauri ya Mji wa Kasulu na Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu aliwataka Viongozi wa elimu kuendelea kutatua changamoto mbalimbali zilizopo katika sekta ya elimu kwa kushirikiana na jamii

Aidha aliwataka viongozi kuendelea kuinua kiwango cha elimu jumuishi kwa kuwatambua watu wenye ulemavu na kuweka  mazingira salama ya kujifunzia kwa Wanafunzi wote wa kike na wa kiume

Afisa elimu Taaluma Mkoani Kigoma Ndugu. David Mwamalasi alisema Serikali inaendelea kusimamia na kuhakikisha  makundi yote wanapata elimu kwa usawa pasipo upendeleo

Alisema Serikali inaendelea kushirikiana na jamii kuinua viwango vya elimu, uwepo wa  usalama na usawa katika kuhakikisha watoto wote wanapata elimu bora

Afisa Elimu Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma Bi. Elestina Chanafi alisema mradi wa Shule bora umewawezesha Wataalamu wa Halmashauri hiyo kufanya utatifiti juu ya sababu inayochangia Wanafunzi kuwa watoro kipindi cha masomo na tayari wameanza kuzitafutia ufumbuzi matokeo ya tafiti hiyo

Mwalimu Mtaaluma wa Shule ya Msingi Mazoezi Kabanga iliyopo Halshauri ya Mji wa Kasulu   Anna Dismas alisema katika Shule hiyo Wanafunzi wenye mahitaji maalumu na Walimu wa Shule hiyo kupitia mradi wa Shule bora wamepata mafunzo ya Walimu kazini (MEWAKA) ambayo yamewasaidia katika uboreshaji wa Ufundishaji na ujifunzaji katika Shule hiyo

Mradi wa Shule Bora ni mpango wa elimu wa Serikali ya Tanzania kwa ufadhiri wa Mfuko wa UK aid unaolenga kuunga mkono uboreshaji wa elimu Msingi Tanzania ukiweka mikakati sahihi na kuhakikisha watoto wote wenye ulemavu, wanaoishi katika Mazingira magumu,  wasichana na wavulana wanapata elimu bora

Mradi huu unatekelezwa katika Mikoa ya Kigoma,  Pwani, Dodoma, Singida, Tanga, Katavi,  Simiyu,  Mara na Rukwa

Matangazo

  • NYARAKA ZA WAKUU WA SHULE WALIMU WAKUU October 10, 2022
  • Ufatiliaji wa Kina Kusaka wasiokata Leseni za Biashara 2017 March 20, 2017
  • Fedha za Mradi wa P4R mwezi Machi 2017 April 13, 2017
  • Fedha za Mradi wa Barabara Machi 2017 April 13, 2017
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • NYUMBA YA WALIMU SHULE YA SEKONDARI MJIMWEMA IPO HATUA YA UMALIZIAJI. Building

    May 08, 2025
  • MAANDALIZI MAPOKEZI YA MWENGE WA UHURU YAENDELEA UJIJI, DC AKAGUA MIRADI. National touch

    May 07, 2025
  • SERIKALI YAENDELEA KUTOA MSAADA WA KIBINADAMU WAATHIRIKA WA MVUA KIGOMA UJIJI. Flood

    May 05, 2025
  • NMB YAKABIDHI VIFAA TIBA KIGOMA UJIJI. Health

    May 03, 2025
  • Angalia Yote

Picha za Kuona

MWENGE WA UHURU 2023
Picha za Kuona Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Ofisi ya Rais Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tume ya Ajira

Kurasa Husishi

  • Wizara ya Elimu
  • Wizara ya Afya
  • TCU
  • Mikopo Vyuo Vya Elimu Ya Juu
  • Ofisi ya RAS Kigoma
  • Jiji Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Manispaa ya Kigoma Ujiji

    Sanduku la Posta: S.L.P 44

    Simu: +255 28 2802535

    Namba ya Simu: +255765660847

    Barua pepe: municipal@kigomaujijimc.go.tz ictsecurity@kigomaujijimc.go.tz

Mawasiliano Mbalimbali

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Manispaa ya Kigoma Ujiji. Haki Zote Zimehifadhiwa