• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kigoma Ujiji Municipal Council
Kigoma Ujiji Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango,Takwimu na Usimamizi
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Kitengo cha Teknolojia Habari na Mawasiliano
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Sekta ya Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Ukimwi
      • Kamati Ya Maadili
      • Uchumi Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Kamati Za Madiwani
      • Ratiba Kuonana Na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyo Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Picha za Kuona
      • Mh.Meya
    • Tukio
    • Habari

MWALO WA KATONGA WAFANYIWA USAFI, WANANCHI NA WATUMIAJI WAONYWA UTUPAJI TAKA OVYO Sanitation

Posted on: March 15th, 2023

Na Mwandishi Wetu  

Wananchi na Watumiaji wa mwalo wa katonga wamejitokeza kushiriki kampeni ya Usafi na usafi wa mwalo huo kwa lengo la uhifadhi wa Mazingira kwa kuondoa taka ngumu zinazotokana na bidhaa za Plastiki

Kampeni hiyo imeanza leo March 15, 2023 katika mwalo wa katonga ukishirikisha Diwani wa Kata ya Bangwe, Wenyeviti wa Serikali za Mitaa, Watendaji Kata, Wavuvi, Wafanyabiashara wa Mazao ya Uvuvi, Vyama vya uratibu wa mwalo na Wananchi kwa kufanya Usafi

Aidha katika kampeni hiyo Ndugu. Arthur Mugema kutoka Environmental management and economic development organizations (EMEDO) amewataka Wakazi na Watumiaji wa mwalo huo Kuzingatia Usafi kwa kuweka taka ngumu katika eneo lililotengwa

Amesema kuongezeka kwa taka ngumu ziwani kutasababisha kuua mazalia ya Samaki, Magonjwa, na kudidimiza uchumi wa  Wavuvi, Wafanyabiashara wa Mazao ya Uvuvi, na Wananchi

Amesema kusambaza taka ngumu katika fukwe/Mialo kutaleta athari hasi katika sekta ya uvuvi, uchumi wa jamii, na usalama wa chakula kitokanacho na protini ya samaki

Takwimu kutoka shirika la umoja wa mataifa linalojishughulisha na mazingira(UNEP) zinaonesha kuwa kila mwaka zaidi ya tani milioni kumi na moja (11) za taka za plastiki zimekuwa zikiingia katika vyanzo vya maji hasa Bahari na Maziwa duniani kote. Sehemu kubwa ya taka hizi hutokana na shughuli za kila siku za kiuchumi na kijamii ikiwemo uvuvi, utalii, usafirishaji, na biashara

Tafiti zinaonesha kuwa iwapo hali hii itaendelea bila kudhibitiwa, huenda kukawa na taka nyingi za plastiki kuliko samaki katika maziwa na Bahari ifikapo mwaka 2050.

#tuendeleekulindaziwaletu

#ziwatanganyikaziwalako



Matangazo

  • NYARAKA ZA WAKUU WA SHULE WALIMU WAKUU October 10, 2022
  • Ufatiliaji wa Kina Kusaka wasiokata Leseni za Biashara 2017 March 20, 2017
  • Fedha za Mradi wa P4R mwezi Machi 2017 April 13, 2017
  • Fedha za Mradi wa Barabara Machi 2017 April 13, 2017
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • NYUMBA YA WALIMU SHULE YA SEKONDARI MJIMWEMA IPO HATUA YA UMALIZIAJI. Building

    May 08, 2025
  • MAANDALIZI MAPOKEZI YA MWENGE WA UHURU YAENDELEA UJIJI, DC AKAGUA MIRADI. National touch

    May 07, 2025
  • SERIKALI YAENDELEA KUTOA MSAADA WA KIBINADAMU WAATHIRIKA WA MVUA KIGOMA UJIJI. Flood

    May 05, 2025
  • NMB YAKABIDHI VIFAA TIBA KIGOMA UJIJI. Health

    May 03, 2025
  • Angalia Yote

Picha za Kuona

MWENGE WA UHURU 2023
Picha za Kuona Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Ofisi ya Rais Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tume ya Ajira

Kurasa Husishi

  • Wizara ya Elimu
  • Wizara ya Afya
  • TCU
  • Mikopo Vyuo Vya Elimu Ya Juu
  • Ofisi ya RAS Kigoma
  • Jiji Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Manispaa ya Kigoma Ujiji

    Sanduku la Posta: S.L.P 44

    Simu: +255 28 2802535

    Namba ya Simu: +255765660847

    Barua pepe: municipal@kigomaujijimc.go.tz ictsecurity@kigomaujijimc.go.tz

Mawasiliano Mbalimbali

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Manispaa ya Kigoma Ujiji. Haki Zote Zimehifadhiwa