• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kigoma Ujiji Municipal Council
Kigoma Ujiji Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango,Takwimu na Usimamizi
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Kitengo cha Teknolojia Habari na Mawasiliano
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Sekta ya Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Ukimwi
      • Kamati Ya Maadili
      • Uchumi Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Kamati Za Madiwani
      • Ratiba Kuonana Na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyo Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Picha za Kuona
      • Mh.Meya
    • Tukio
    • Habari

MWENGE WA UHURU 2022 WARIDHIA MIRADI KUMI YENYE THAMANI YA ZAIDI YA BILLION MOJA MANISPAA YA KIGOMA/UJIJI National Touch

Posted on: September 30th, 2022

Na Mwandishi Wetu

Mwenge wa Uhuru Manispaa ya Kigoma/Ujiji umepitia miradi kumi ( 10) yenye thamani ya zaidi ya fedha za Kitanzania billion moja nukta sita (Tsh 1, 689, 012, 308.80/=)  huku Viongozi na Wakimbiza Mwenge Kitaifa wakiridhia utekelezaji wa miradi hiyo

Mapema Asububi ya leo Septemba 30, 2022 akipokea Mwenge wa Uhuru Mkurugenzi wa Manispaa ya kigoma/Ujiji Ndugu. Athumani Msabila  kutoka kwa Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma alisema Mwenge wa Uhuru Utakimbizwa Kilomita hamsini (Km 50) katika Manispaa  wakati ikipitia miradi  

Kiongozi wa Wakimbiza Mwenge Kitaifa Ndugu. Sahili Nyanzabara Gerarume akizungumza mara baada ya kukamilika kwa miradi yote amesema wameridhishwa na miradi iliyokagualiwa, kutembelewa na kuzinduliwa huku akiwataka Wataalamu kuendelea kufuata maelekezo ya utekelezaji wa  miradi mbalimbali

Aidha amemtaka Mkuu wa Wilaya hiyo Bi. Ester Mahawe kuendelea kusimamia mapungufu machache  yaliyojitokeza katika miradi kama vile kubadilisha Vitasa vya milango katika Shule ya Sekondari Buteko katika ujenzi wa Vyumba vya madarasa vinne (04)  kwa gharama ya Tsh 80,000,000/= kutoka Serikali kuu  na ubadilishaji wa mabati yaliyotumika katika upauaji wa kichomea taka katika Kituo cha Afya kipya cha Buhanda kinachoendelea kutekelezwa kwa gharama ya     Tsh 500,000,000/= ikiwa ni fedha zitokanazo na tozo za Miamala ya simu kutoka Serikali kuu  

Mwenge  Uhuru umezindua  mradi wa  Ujenzi  wa Mtandao wa maji uliogharimu kiasi cha Tsh 500,000,000/= , Uwekaji wa jiwe la Msingi kayika Ujenzi wa Kituo cha Afya Buhanda unaoendelea kwa gharama ya Tsh 500,000,000/=, Uzinduzi wa  Ofisi ya Kata ya Rubuga uliojengwa kwa gharama ya  Tsh 47,000,000/= ikiwa ni fedha kutoka Mapato ya ndani  

Miradi mingine ni uwekaji wa jiwe la msingi katika Ujenzi wa barabara ya Mabatini na  Muungano B mita 800  kwa kiwango cha lami kwa gharama ya Tsh 535,000,000/= ,  na uzinduzi wa vyumba vya  madarasa  vinne (04)  katika Shule ya Sekondari Buteko kwa gharama ya Tsh 80, 000, 000/=

Aidha Mwenge wa Uhuru umezindua klabu ya Wapinga rushwa katika Shule ya Sekondari Buronge, Kukabidhi kwa vyeti katika klabu ya Wapinga dawa za  kulevya katika Shule ya Sekondari Buteko, kutembelea Banda la Lishe,  kugawa Chakula kwa Waishio na virusi vya ukimwi ikiwa ni pamoja na kupokea Shuhuda  katika Kituo cha Afya buhanda

Kauli mbiu ya Mwenge wa Uhuru kitaifa 2022 ni  " Sensa ni Msingi wa Mipango ya Maendeleo, Shiriki Kuhesabiwa Tuyafikie Maendeleo"

Matangazo

  • NYARAKA ZA WAKUU WA SHULE WALIMU WAKUU October 10, 2022
  • Ufatiliaji wa Kina Kusaka wasiokata Leseni za Biashara 2017 March 20, 2017
  • Fedha za Mradi wa P4R mwezi Machi 2017 April 13, 2017
  • Fedha za Mradi wa Barabara Machi 2017 April 13, 2017
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • WAJASIRIAMALI WAENDELEA KUFIKIWA NA WATAALAMU KIGOMA UJIJI. Social services

    May 30, 2025
  • UGAWAJI WA VYANDARUA BURE UNAENDELEA KWENYE VITUO KIGOMA UJIJI. Health protection

    May 29, 2025
  • WAJASIRIAMALI KIGOMA UJIJI WATEMBELEWA NA WATAALAMU.

    May 28, 2025
  • RC ANDENGENYE AZINDUA ZOEZI LA UGAWAJI VYANDARUA MKOA WA KIGOMA. Malaria protection

    May 28, 2025
  • Angalia Yote

Picha za Kuona

MWENGE WA UHURU 2023
Picha za Kuona Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Ofisi ya Rais Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tume ya Ajira

Kurasa Husishi

  • Wizara ya Elimu
  • Wizara ya Afya
  • TCU
  • Mikopo Vyuo Vya Elimu Ya Juu
  • Ofisi ya RAS Kigoma
  • Jiji Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Manispaa ya Kigoma Ujiji

    Sanduku la Posta: S.L.P 44

    Simu: +255 28 2802535

    Namba ya Simu: +255765660847

    Barua pepe: municipal@kigomaujijimc.go.tz ictsecurity@kigomaujijimc.go.tz

Mawasiliano Mbalimbali

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Manispaa ya Kigoma Ujiji. Haki Zote Zimehifadhiwa