• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kigoma Ujiji Municipal Council
Kigoma Ujiji Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango,Takwimu na Usimamizi
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Kitengo cha Teknolojia Habari na Mawasiliano
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Sekta ya Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Ukimwi
      • Kamati Ya Maadili
      • Uchumi Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Kamati Za Madiwani
      • Ratiba Kuonana Na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyo Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Picha za Kuona
      • Mh.Meya
    • Tukio
    • Habari

OFISI YA MKURUGENZI YAFANYA MKUTANO NA WAFANYA BIASHARA WA SOKO LA MWANGA MANISPAA YA KIGOMA/UJIJI, Meeting

Posted on: May 6th, 2021

Na Mwandishi wetu

Ofisi ya Mkurugenzi wa Manispaa ya Kigoma/Ujiji jana May 5, 2021 ilifanya mkutano na wafanyabiashara wa soko la Mwanga lililopo katika Manispaa hiyo kwa lengo la kujadili changamoto zilizopo katika soko hilo

Kaimu Mkurugenzi wa Manispaa ya Kigoma/Ujiji Ndugu. Frednand Filimbi akifungua Mkutano huo alisema lengo la kikao hicho ni pamoja na kujadili changamoto zinazowakabili na kuwa na  mazingira bora kwa wafanyabiashara


Akizungumzia changamoto ya kuwepo kwa taka mda mrefu alisema tayari ofisi imeweka utaratibu wa Ukusanyaji taka  kwa idara ya afya na mazingira kwa kuwawezesha lita mia nne (400) za mafuta kila wiki na kuhakikisha taka zote zinapelekwa katika dampo la kisasa la Msimba



Aliendelea kusema changamoto ya kukosekana kwa maji mara kwa mara inatafutiwa ufumbuzi kwa kuongea na mamlaka zinazohusika na Maji Kuwasa ili maji yawepo mda wote kutokana na kuhudumia wafanyabiashara wengi ili kuepuka mlipuko wa magonjwa unaoweza kutokea


Kaimu Mkurugenzi huyo aliwataka wafanyabiashara kufanya shughuli zao kwa kufuata kanuni, sheria na taratibu kwa kulipa kodi na tozo zinazotozwa kwa mjibu wa sheria na kufanya hivyo kutaepusha usumbufu kwa wafanyabiashara hao


Naye mwenyekiti wa soko la Mwanga Ndugu. Raymond Ndabhiyegetse akiongea aliipongeza ofisi ya Mkurugenzi kwa kuanzisha utaratibu wa kuongea na wafanyabiashara kwa kusikia kero na changamoto zao na kusema kuendelea kufanya hivyo kutaukuza uchumi wa wafanyabiashara na kukua kwa mji huo


Mwenyekiti huyo aliendelea kuwataka wafanyabiashara kuendelea kulipa kodi, tozo na ushuru wanaotakiwa kulipa kwa mfanyabiashara ili kuepuka migogoro baina yao na Halmashauri na kufanya mfanyabiashara mmoja mmoja kukua kiuchumi na kufikia malengo yake


Naye mmoja wa wafanyabiashara wa soko hilo Ndugu. Jafari Saidi aliipongeza ofisi ya Mkurugenzi kwa mkutano huo wa kujadili changamoto za wafanyabiashara na kuendelea kusema wao kama wafanyabiashara watapendezwa kama vikao hivyo vitakuwa mara kwa mara ili kuimarisha na kukuza uchumi wao


Soko la Mwanga ni moja wapo ya masoko saba (07) yaliyopo Manispaa ya Kigoma/Ujiji ikiongoza kwa mapato ya Halmashauri ikifuatia soko la Kigoma Mjini, Ofisi ya Mkurugenzi wa Manispaa ya Kigoma/Ujiji tayari imejenga majengo mawili ya wajasiriamali (machinga) na wafanyabiashara wa Mahindi yakigharimu fedha za Kitanzania Million themanini na laki saba na elfu sita (Tsh 80,706,000/=)



Matangazo

  • NYARAKA ZA WAKUU WA SHULE WALIMU WAKUU October 10, 2022
  • Ufatiliaji wa Kina Kusaka wasiokata Leseni za Biashara 2017 March 20, 2017
  • Fedha za Mradi wa P4R mwezi Machi 2017 April 13, 2017
  • Fedha za Mradi wa Barabara Machi 2017 April 13, 2017
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • WAJASIRIAMALI WAENDELEA KUFIKIWA NA WATAALAMU KIGOMA UJIJI. Social services

    May 30, 2025
  • UGAWAJI WA VYANDARUA BURE UNAENDELEA KWENYE VITUO KIGOMA UJIJI. Health protection

    May 29, 2025
  • WAJASIRIAMALI KIGOMA UJIJI WATEMBELEWA NA WATAALAMU.

    May 28, 2025
  • RC ANDENGENYE AZINDUA ZOEZI LA UGAWAJI VYANDARUA MKOA WA KIGOMA. Malaria protection

    May 28, 2025
  • Angalia Yote

Picha za Kuona

MWENGE WA UHURU 2023
Picha za Kuona Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Ofisi ya Rais Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tume ya Ajira

Kurasa Husishi

  • Wizara ya Elimu
  • Wizara ya Afya
  • TCU
  • Mikopo Vyuo Vya Elimu Ya Juu
  • Ofisi ya RAS Kigoma
  • Jiji Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Manispaa ya Kigoma Ujiji

    Sanduku la Posta: S.L.P 44

    Simu: +255 28 2802535

    Namba ya Simu: +255765660847

    Barua pepe: municipal@kigomaujijimc.go.tz ictsecurity@kigomaujijimc.go.tz

Mawasiliano Mbalimbali

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Manispaa ya Kigoma Ujiji. Haki Zote Zimehifadhiwa