• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kigoma Ujiji Municipal Council
Kigoma Ujiji Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango,Takwimu na Usimamizi
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Kitengo cha Teknolojia Habari na Mawasiliano
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Sekta ya Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Ukimwi
      • Kamati Ya Maadili
      • Uchumi Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Kamati Za Madiwani
      • Ratiba Kuonana Na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyo Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Picha za Kuona
      • Mh.Meya
    • Tukio
    • Habari

OFISI ZA UNASIHI NA MALEZI KUANZISHWA KWA SHULE ZA MANISPAA YA KIGOMA/UJIJI. against violence

Posted on: January 7th, 2022

Na Mwandishi Wetu

Walimu wanasihi  wa Shule za Msingi na Sekondari Jana Januari 06,2022 wamehitimisha mafunzo ya kupinga vitendo vya ukatili ambavyo vimekuwa vikijitokeza Mashuleni na kuleta athari katika suala la ufundishaji na Ujifunzaji

Mafunzo hayo yaliyofanyika Shule ya Msingi Muungano kwa mda wa siku 7 yamewahusisha Walimu thelathini (30) ambao hutoa ushauri na unasahi kwa wanafunzi wawapo mashuleni katika changamoto mbalimbali ikiwemo taaluma  

Kaimu Afisa Elimu Msingi Manispaa ya Kigoma/Ujiji Ndugu. Cornel Kisinga akihitimisha mafunzo hayo alisema vitendo vya ukatili kama vile kubaka, kulawiti, na viboko  vimekuwa vikifanyika mashuleni na kuleta athari za mimba katika umri mdogo na maumivu ya kimwili

Alisema Utafiti wa Taasisi ya Haki Elimu Tanzania  mwaka 2020 ulionesha kuwa asilimia themanini na tisa (89%) ya vitendo vya kupiga na maumivu ya kimwili vimekuwa vikifanyika mashuleni na utafiti huo ukieleza vitendo vingi hufanyika zaidi kwa shule za vijijini

Aidha alisema kukamilika kwa  mafunzo hayo kutaleta athari chanya kwa kuhakikisha adhabu zinazotolewa mashuleni zinatolewa kwa mjibu wa sheria na vitendo vingine kama  matusi kwa vikikemewa ili kuwa na Wanafunzi wanaojiamini katika suala la ujifunzaji

Alihitimisha kwa kuwataka Walimu Wakuu Mashuleni kutenga Ofisi za unasihi na malezi na kuhakikisha Wanafunzi wanajengewa uwezo wa kuripoti vitendo vyote vya ukatili ambavyo vinajitokeza na kuhakikisha taaluma inakuwa kutokana na kupinga vitendo hivyo

Naye afisa Ustawi wa Manispaa hiyo Bi. Agnes Punjila alisema wamewaelimisha Walimu juu ya ulinzi na usalama wa mtoto unaimarishwa   ikiwa ni pamoja  kuhakikisha vitendo vya ukatili vinaripotiwa katika mamlaka husika kama ustawi wa Jamii na jeshi la polisi

Aliendelea kusema maeneo mengine waliyoelimisha ni njia sahihi za malezi na kuepuka viboko inapobidi ikiwa ni pamoja na kuwaelimisha watoto kuwa na uwezo wa kutambua na kukataa wanapofanyiwa vitendo vya ukatili

Mwalimu Philipo James wa Shule ya Sekondari Mwananchi na Mwalimu Magdarena Revokatusi wa Shule ya Msingi Msingeni walisema mafunzo hayo yatawasaidia katika kupinga na kupambana na vitendo vya ukatili Mashuleni kama vile ngono,viboko na matusi kwa wanafunzi huku wakiwajengea uwezo Wanafunzi kutoa taarifa ya vitendo ambavyo wanaweza kufanyiwa

Kwa mjibu wa Tafiti iliyofanywa na Serikali mwaka 2009 juu ya hali ya ukatili na kutolewa mwaka 2011 ilionyesha wasichana 3 kati ya 10 na Mvulana 1 kati ya 7 walifanyiwa ukatili wa Kingono na asilimia 71 ya Wavulana na asilimia 72 ya wasichana walifanyiwa ukatili wa kimwili  na utafiti huo ulibainisha kuwa asilimia sitini (60%) ya ukatili dhidi ya watoto hufanyika majumbani huku asilimia arobaini (40%)  ukifanyika mashuleni

Picha na video zaidi tembelea Maktaba ya Tovuti www.kigomaujijimc.go.tz

Matangazo

  • NYARAKA ZA WAKUU WA SHULE WALIMU WAKUU October 10, 2022
  • Ufatiliaji wa Kina Kusaka wasiokata Leseni za Biashara 2017 March 20, 2017
  • Fedha za Mradi wa P4R mwezi Machi 2017 April 13, 2017
  • Fedha za Mradi wa Barabara Machi 2017 April 13, 2017
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • DC KIGOMA AONGOZA WANANCHI KUFANYA USAFI, KUELEKEA SIKU YA USAFI DUNIANI. Sanitation

    June 02, 2025
  • WAJASIRIAMALI WAENDELEA KUFIKIWA NA WATAALAMU KIGOMA UJIJI. Social services

    May 30, 2025
  • UGAWAJI WA VYANDARUA BURE UNAENDELEA KWENYE VITUO KIGOMA UJIJI. Health protection

    May 29, 2025
  • WAJASIRIAMALI KIGOMA UJIJI WATEMBELEWA NA WATAALAMU.

    May 28, 2025
  • Angalia Yote

Picha za Kuona

MWENGE WA UHURU 2023
Picha za Kuona Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Ofisi ya Rais Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tume ya Ajira

Kurasa Husishi

  • Wizara ya Elimu
  • Wizara ya Afya
  • TCU
  • Mikopo Vyuo Vya Elimu Ya Juu
  • Ofisi ya RAS Kigoma
  • Jiji Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Manispaa ya Kigoma Ujiji

    Sanduku la Posta: S.L.P 44

    Simu: +255 28 2802535

    Namba ya Simu: +255765660847

    Barua pepe: municipal@kigomaujijimc.go.tz ictsecurity@kigomaujijimc.go.tz

Mawasiliano Mbalimbali

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Manispaa ya Kigoma Ujiji. Haki Zote Zimehifadhiwa