• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kigoma Ujiji Municipal Council
Kigoma Ujiji Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango,Takwimu na Usimamizi
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Kitengo cha Teknolojia Habari na Mawasiliano
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Sekta ya Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Ukimwi
      • Kamati Ya Maadili
      • Uchumi Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Kamati Za Madiwani
      • Ratiba Kuonana Na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyo Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Picha za Kuona
      • Mh.Meya
    • Tukio
    • Habari

PIKIPIKI ZA MIGUU MITATU KUIMARISHA USAFI MANISPAA YA KIGOMA/UJIJI, Sanitation

Posted on: June 19th, 2022

Na Mwandishi Wetu

Manispaa ya Kigoma/Ujiji Siku ya Ijumaa June 17, 2022 ilipokea vifaa vya usafi kutoka kwa wadau wa Maendeleo zikiwemo pikipiki sita (6) za miguu mitatu sita vyenye thamani ya fedha za Kitanzania zaidi ya Million Mia mbili (Tsh Million 200) kwa lengo la kuendeleza  Usafi wa Mji

Vifaa hivyo vilipokelewa na Kaimu Katibu  Tawala wa Wilaya ya Kigoma Bi. Lucia Chingulu kutoka kwa uongozi wa Mradi wa Lake Tanganyika Water Management (LATAWAMA) unaotekeleza Shughuli zake kupitia shirika la lisilo la Kiserikali la ENABEL linanofadhiliwa na nchi za Umoja wa Ulaya (EU)

Akipokea vifaa hivyo Kaimu Katibu Tawala huyo aliwapongeza wafadhili hao kwa jitihada ambazo wamekuwa wakifanya kuhakikisha Manispaa ya Kigoma/Ujiji inakuwa safi kupitia vifaa ambavyo wamekuwa wakivitoa mara kwa mara huku akiwataka Wataalamu kusimamia vifaa hivyo na kutumika kwa malengo yaliyokusudiwa ili kuleta tija katika usafi wa Mji

Meya wa Manispaa ya Kigoma/Ujiji Mhe. Baraka Naibuha Lupoli katika makabidhiano hayo alivitaka vikundi vya usafi vitakavyokabidhiwa vifaa hivyo kuhakikisha wanalinda na kuvitunza huku usafi wa Mji ukiimalishwa

Naye Kaimu Mkurugenzi wa Manispaa ya Kigoma/Ujiji Ndugu. Kajanja Lawi aliwashukuru wadau hao wa Maendeleo kwa vifaa walivyovitoa huku akisema vifaa hivyo vitasimamiwa kwa ukamilifu ambapo na kusema pikipiki hizo zitatumika na madereva wake kukusanyia taka Mtaani huku zikitoa ajira na kuongeza Mapato ya Wananchi na Halmashauri

Mkurugenzi wa Shirika la Utunzaji Mazingira (LATAWAMA) Ndugu. Didier Cadelli alisema vifaa vingine vilivyokabidhiwa ni  Ukarabati wa lori moja la Halmashauri, ununuzi wa Mashine za Kukusanyia Mapato (POS) kumi na tano (15) , Viźimba vya kuwekea taka viwili (2), na vifaa vya kinga binafsi(PPE) ,

Aliendelea kusema katika kuhakikisha vifaa hivyo vinaimarishwa kama vile  Pikipiki za Miguu mitatu  mafunzo yametolewa kwa madereva kutoka chuo cha VETA Kigoma




Matangazo

  • NYARAKA ZA WAKUU WA SHULE WALIMU WAKUU October 10, 2022
  • Ufatiliaji wa Kina Kusaka wasiokata Leseni za Biashara 2017 March 20, 2017
  • Fedha za Mradi wa P4R mwezi Machi 2017 April 13, 2017
  • Fedha za Mradi wa Barabara Machi 2017 April 13, 2017
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • NYUMBA YA WALIMU SHULE YA SEKONDARI MJIMWEMA IPO HATUA YA UMALIZIAJI. Building

    May 08, 2025
  • MAANDALIZI MAPOKEZI YA MWENGE WA UHURU YAENDELEA UJIJI, DC AKAGUA MIRADI. National touch

    May 07, 2025
  • SERIKALI YAENDELEA KUTOA MSAADA WA KIBINADAMU WAATHIRIKA WA MVUA KIGOMA UJIJI. Flood

    May 05, 2025
  • NMB YAKABIDHI VIFAA TIBA KIGOMA UJIJI. Health

    May 03, 2025
  • Angalia Yote

Picha za Kuona

MWENGE WA UHURU 2023
Picha za Kuona Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Ofisi ya Rais Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tume ya Ajira

Kurasa Husishi

  • Wizara ya Elimu
  • Wizara ya Afya
  • TCU
  • Mikopo Vyuo Vya Elimu Ya Juu
  • Ofisi ya RAS Kigoma
  • Jiji Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Manispaa ya Kigoma Ujiji

    Sanduku la Posta: S.L.P 44

    Simu: +255 28 2802535

    Namba ya Simu: +255765660847

    Barua pepe: municipal@kigomaujijimc.go.tz ictsecurity@kigomaujijimc.go.tz

Mawasiliano Mbalimbali

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Manispaa ya Kigoma Ujiji. Haki Zote Zimehifadhiwa