• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kigoma Ujiji Municipal Council
Kigoma Ujiji Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango,Takwimu na Usimamizi
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Kitengo cha Teknolojia Habari na Mawasiliano
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Sekta ya Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Ukimwi
      • Kamati Ya Maadili
      • Uchumi Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Kamati Za Madiwani
      • Ratiba Kuonana Na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyo Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Picha za Kuona
      • Mh.Meya
    • Tukio
    • Habari

RC KIGOMA ATEMBELEA BANDA LA KIGOMA UJIJI. Farmers celebration

Posted on: August 8th, 2025

Na Mwandishi Wetu

Mkuu wa Mkoa wa Kigoma IGP(Mst) Balozi Simon Sirro Asubuhi ya  Leo Agosti 8,2025 ametembelea banda la Manispaa ya Kigoma/Ujiji katika Maadhimisho ya Sikukuu ya Wakulima na Wafugaji yanayohitimishwa katika viwanja vya Fatuma Mwasa Manispaa ya Tabora.


Mkuu huyo wa Mkoa ameipongeza Ofisi ya Mkurugenzi kwa namna ambavyo imeendelea kuweka Mazingira wezeshi kwa Wakulima, Wafugaji na Wajasiriamali katika kutekeleza Shughuli zao za Kiuchumi.


Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Balozi Sirro ndiye mgeni rasmi kwenye kilele cha Maadhimisho hayo Kanda ya Magharibi inayohusisha mikoa ya Kigoma na Tabora..


Kauli mbiu ya Nane Nane Mwaka huu ni "Chagua Viongozi Bora kwa maendeleo ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi".


Zaidi bofya www.kigomaujijimc.go.tz




Matangazo

  • NYARAKA ZA WAKUU WA SHULE WALIMU WAKUU October 10, 2022
  • Ufatiliaji wa Kina Kusaka wasiokata Leseni za Biashara 2017 March 20, 2017
  • Fedha za Mradi wa P4R mwezi Machi 2017 April 13, 2017
  • Fedha za Mradi wa Barabara Machi 2017 April 13, 2017
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • RC KIGOMA ATEMBELEA BANDA LA KIGOMA UJIJI. Farmers celebration

    August 08, 2025
  • RAS KIGOMA ATEMBELEA BANDA LA NANE NANE KIGOMA UJIJI. Farmers celebration

    August 07, 2025
  • DC KIGOMA NDANI YA BANDA LA NANE NANE KIGOMA UJIJI. Farmers celebration

    August 07, 2025
  • AWAMU YA SITA NA MAENDELEO YA SEKTA YA UVUVI MANISPAA YA KIGOMA UJIJI. Farmers celebration

    August 07, 2025
  • Angalia Yote

Picha za Kuona

MWENGE WA UHURU 2023
Picha za Kuona Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Ofisi ya Rais Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tume ya Ajira
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2025 HAYA HAPA

Kurasa Husishi

  • Wizara ya Elimu
  • Wizara ya Afya
  • TCU
  • Mikopo Vyuo Vya Elimu Ya Juu
  • Ofisi ya RAS Kigoma
  • Jiji Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Manispaa ya Kigoma Ujiji

    Sanduku la Posta: S.L.P 44

    Simu: +255 28 2802535

    Namba ya Simu: +255765660847

    Barua pepe: municipal@kigomaujijimc.go.tz ictsecurity@kigomaujijimc.go.tz

Mawasiliano Mbalimbali

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Manispaa ya Kigoma Ujiji. Haki Zote Zimehifadhiwa