• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kigoma Ujiji Municipal Council
Kigoma Ujiji Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango,Takwimu na Usimamizi
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Kitengo cha Teknolojia Habari na Mawasiliano
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Sekta ya Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Ukimwi
      • Kamati Ya Maadili
      • Uchumi Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Kamati Za Madiwani
      • Ratiba Kuonana Na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyo Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Picha za Kuona
      • Mh.Meya
    • Tukio
    • Habari

RC KIGOMA " WANAFUNZI LAZIMA WAPEWE CHAKULA" Education

Posted on: January 20th, 2023

Na Mwandishi Wetu

Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Mhe. Thobias Adengenye Leo January 20, 2023  ameagiza Wasimamizi wa elimu ngazi ya Halmashauri kushirikiana na kamati za Wazazi Shuleni kuhakikisha Wanafunzi wa Shule za Msingi na Sekondari wanapata chakula katika kipindi chote cha masomo wawapo shuleni

Ameyasema hayo wakati wa kikao cha tathimini ya utekelezaji wa shughuli za uboreshaji na usimamizi wa elimu ngazi ya Mkoa kilichofanyikia Ukumbi wa NNSF uliopo Manispaa ya Kigoma/Ujiji kikishirikisha Wataalamu wa  Sekratarieti ya Mkoa, Wakuu wa  Wilaya, Meya na Wenyeviti wa Halmashauri,   Wakurugenzi,  Wakuu wa idara, Maafisa elimu Kata, na Walimu Wakuu wa Shule za Mkoa wa Kigoma

Akihutubia katika kikao hicho Mkuu huyo wa Mkoa amesema Wanafunzi hawawezi kufanya vizuri kitaaluma kama watakuwa wakishiriki zoezi la ujifunzaji wakiwa na njaa

Mkuu huyo wa Mkoa amezitaka kamati za Wazazi kwa kila  Shule ziratibu namna Wanafunzi watakavyopata chakula cha pamoja kwa kuwahusisha Wazazi wanashiriki na kuamua chakula gani kitumike mashuleni  

Aidha amewataka Wasimamizi wa elimu ngazi ya Mkoa,Halmashauri, Kata na Shule kufanya tathimini ya Matokeo ya mitihani ndani ya siku thelathini (30) Mara baada ya matokeo ya mitihani  kutolewa ili kubaini changamoto na mafanikio

Ameendelea kuwataka Wazazi wote wenye Watoto waliochaguliwa kujiunga kidato cha Kwanza na Wanafunzi wa darasa la kwanza wanaripoti Shuleni kwa mda uliopangwa    

Awali akiwasilisha taarifa ya Utekelezaji wa shughuli za elimu kwa Mwaka 2022 Katibu Tawala Msaidizi idara ya elimu Bi. Paulina NdigezĂ   amesema hadi sasa Shule zinazotoa chakula kwa Mkoa wa Kigoma ni Shule  156 za Msingi kati ya 708 na  Shule za Sekondari 43 kati ya Shule 218  ambazo kitaaluma zimekuwa zikifanya vizuri katika ufaulu wa mitihani

Mkoa wa Kigoma Kwa Mwaka 2022 ulipokea fedha kutoka Serikali kuu kiasi cha fedha za Kitanzania Billion 12. 9/= kwa Ujenzi wa Madarasa 549 , huku Million 624.6/= ikipokelewa kwa Ukamilishaji wa maboma ya madarasa

Aidha kupitia mradi wa Sequip Mkoa wa Kigoma umepokea kiasi cha fedha za Kitanzania Billion 5. 2/= kwa Ujenzi wa Shule mpya za Sekondari kwa Kata ambazo awali hazikuwa na Shule za Sekondari   

Matangazo

  • NYARAKA ZA WAKUU WA SHULE WALIMU WAKUU October 10, 2022
  • Ufatiliaji wa Kina Kusaka wasiokata Leseni za Biashara 2017 March 20, 2017
  • Fedha za Mradi wa P4R mwezi Machi 2017 April 13, 2017
  • Fedha za Mradi wa Barabara Machi 2017 April 13, 2017
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • NYUMBA YA WALIMU SHULE YA SEKONDARI MJIMWEMA IPO HATUA YA UMALIZIAJI. Building

    May 08, 2025
  • MAANDALIZI MAPOKEZI YA MWENGE WA UHURU YAENDELEA UJIJI, DC AKAGUA MIRADI. National touch

    May 07, 2025
  • SERIKALI YAENDELEA KUTOA MSAADA WA KIBINADAMU WAATHIRIKA WA MVUA KIGOMA UJIJI. Flood

    May 05, 2025
  • NMB YAKABIDHI VIFAA TIBA KIGOMA UJIJI. Health

    May 03, 2025
  • Angalia Yote

Picha za Kuona

MWENGE WA UHURU 2023
Picha za Kuona Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Ofisi ya Rais Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tume ya Ajira

Kurasa Husishi

  • Wizara ya Elimu
  • Wizara ya Afya
  • TCU
  • Mikopo Vyuo Vya Elimu Ya Juu
  • Ofisi ya RAS Kigoma
  • Jiji Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Manispaa ya Kigoma Ujiji

    Sanduku la Posta: S.L.P 44

    Simu: +255 28 2802535

    Namba ya Simu: +255765660847

    Barua pepe: municipal@kigomaujijimc.go.tz ictsecurity@kigomaujijimc.go.tz

Mawasiliano Mbalimbali

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Manispaa ya Kigoma Ujiji. Haki Zote Zimehifadhiwa