• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kigoma Ujiji Municipal Council
Kigoma Ujiji Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango,Takwimu na Usimamizi
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Kitengo cha Teknolojia Habari na Mawasiliano
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Sekta ya Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Ukimwi
      • Kamati Ya Maadili
      • Uchumi Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Kamati Za Madiwani
      • Ratiba Kuonana Na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyo Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Picha za Kuona
      • Mh.Meya
    • Tukio
    • Habari

SHEREHE ZA MIAKA 57 YA UHURU WA TANZANIA ZA SHEHEREKEWA MANISPAA YA KIGOMA UJIJI KWA KUFANYA USAFI SOKO LA NAZARETHI, 57 YEARS OF TANZANIAN INDEPENDENCE HAVE BEEN CELEBRATED FOR CLEANLINESS.

Posted on: December 11th, 2018

Manispaa ya Kigoma ujiji kupitia ofsi ya Mkurugenzi ikishikirikiana na wafanyabiashara wa soko la Nazareth juzi Desember 9. Walifanya usafi katika soko la Nazareth ikiwa ni kusheherekea miaka 57 ya Tanzania kujipata uhuru kutoka katika utawala wa kikoloni.

Usafi huo uliongozwa na Kaimu Mkurugenzi wa halmashauri Ndugu. Brown Nziku akiwa na wataalamu mbalimbali kutoka katika ofsi yake ambapo usafi ulifanyika katika eneo la kukusanyia taka, usafi wa mitalo, kufyeka maeneo yenye nyasi ndefu na kufagia eneo la vichanja vya kuwekea bidhaa.

Baada ya usafi huo uliochukua masaa manne ukifanyika, kaimu Mkurugenzi aliongea na wafanyabiashara wa soko hilo akiwashukuru kwa ushirikiano mzuri waliouonesha katika kusheherekea miaka hamsini na saba ya uhuru kwa kufanya usafi ikiwa ni jambo la kuepuka magonjwa ya mlipuko hasa kipindi hiki cha mvua, na kufanya mazingira kuonekana katika hali ya usafi.

Kaimu mkurugenzi huyo aliwataka wafanyiashara wa soko hilo kuhakikisha pindi wanapokusanya taka kuziweka katika vizimba vilivyopo katika soko hilo licha ya baaadhi ya wenye tabia zisizofaa kuweka uchafu huo nje ya vizimba jambo linaloleta sura mbaya ya uchafu.

Kaimu mkurugenzi huyo Ndugu. Brown Nziku akiendelea kuongea na wafanyabiashara aligundua wafanyabishara wengi kutodai risti pindi wanapotoa kodi jambo ambalo linakwamisha maendeleo ya soko hilo pamoja na kuhafifisha mapato ya halmashauri, aligundua hilo baada ya akina mama kupaza sauti  wakimwambia wanadaiwa kodi lakini hawapewi risti.

Naye kaimu mkurugenzi akijibu suala hilo alimtaka mzabuni anayeshugulika na ushuru wa soko hilo kuhakikisha pindi anapokusanya kodi kuto a risti halali na kuwataka wafanya biashara wote kuhakikisha wanadai risti ili kuendeleza ufanisi wa soko hilo na ustawi wa halmashauri ya Manispaa ya Kigoma/Ujiji.

Naye mkuu wa kitengo cha usafi na mazingira Ndugu Mashaka Juma aliendelea kuwasisitiza wafanyabiashara wa soko hilo kuhakikisha kuendelea kufanya usafi kila mara na kutosubili matukio kama  hayo tu  ya kitaifa huku akiwataka kukusanya taka katika vizimba na kusema ofsi yake itahakikisha taka hizo zinatolewa kwa wakati.


Naye mwenyekiti wa soko hilo aliweza kupongeza ofsi ya mkurugenzi kwa moyo waliouonesha kusheherekea sikukuku ya uhuru wa Tanzania kwa kufanya usafi katika soko hilo huku akimuhakikishia kaimu mkurugenzi huyo usafi wa soko hilo utaendelea kila mara mara na wafanyabiashara wataendelea kudai risti pindi wanapolipa kodi ili kuendeleza ustawi wa halmashauri .

Katika kusheherekea uhuru huo ni baada ya harakati za baba wa Taifa mwl. Julius Kambarage Nyerere ambapo December 9, 1961 alilipatia uhuru taifa la Tanzania uhuru kutoka katika mikono ya wakoloni ambapo baada ya hapo alipigania suala la elimu kwa kila Mtanzania, na afya bora na sasa tuko katika utawala wa Rais awamu ya tano Dr.John Pombe Magufuli ambapo licha ya kupambana na ufisadi anataka kuhakikisha nchi inakuwa Tanzania ya viwanda.

Picha zaidi za tukio hili nenda katika maktaba ya picha.

Matangazo

  • NYARAKA ZA WAKUU WA SHULE WALIMU WAKUU October 10, 2022
  • Ufatiliaji wa Kina Kusaka wasiokata Leseni za Biashara 2017 March 20, 2017
  • Fedha za Mradi wa P4R mwezi Machi 2017 April 13, 2017
  • Fedha za Mradi wa Barabara Machi 2017 April 13, 2017
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • WAJASIRIAMALI WAENDELEA KUFIKIWA NA WATAALAMU KIGOMA UJIJI. Social services

    May 30, 2025
  • UGAWAJI WA VYANDARUA BURE UNAENDELEA KWENYE VITUO KIGOMA UJIJI. Health protection

    May 29, 2025
  • WAJASIRIAMALI KIGOMA UJIJI WATEMBELEWA NA WATAALAMU.

    May 28, 2025
  • RC ANDENGENYE AZINDUA ZOEZI LA UGAWAJI VYANDARUA MKOA WA KIGOMA. Malaria protection

    May 28, 2025
  • Angalia Yote

Picha za Kuona

MWENGE WA UHURU 2023
Picha za Kuona Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Ofisi ya Rais Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tume ya Ajira

Kurasa Husishi

  • Wizara ya Elimu
  • Wizara ya Afya
  • TCU
  • Mikopo Vyuo Vya Elimu Ya Juu
  • Ofisi ya RAS Kigoma
  • Jiji Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Manispaa ya Kigoma Ujiji

    Sanduku la Posta: S.L.P 44

    Simu: +255 28 2802535

    Namba ya Simu: +255765660847

    Barua pepe: municipal@kigomaujijimc.go.tz ictsecurity@kigomaujijimc.go.tz

Mawasiliano Mbalimbali

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Manispaa ya Kigoma Ujiji. Haki Zote Zimehifadhiwa