• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kigoma Ujiji Municipal Council
Kigoma Ujiji Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango,Takwimu na Usimamizi
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Kitengo cha Teknolojia Habari na Mawasiliano
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Sekta ya Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Ukimwi
      • Kamati Ya Maadili
      • Uchumi Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Kamati Za Madiwani
      • Ratiba Kuonana Na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyo Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Picha za Kuona
      • Mh.Meya
    • Tukio
    • Habari

SHULE MPYA YA SEKONDARI ILIYOPO BUREGA KUANZA KUPOKEA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA. Education

Posted on: January 6th, 2026

Na Mwandishi Wetu

Shule Mpya ya Sekondari iliyopo Burega Kata ya  Buzebazeba Manispaa ya Kigoma/Ujiji inatarajia kupokea Wanafunzi wa Kidato cha Kwanza  Mwaka huu 2026.


Shule hiyo itapokea Wanafunzi Mia moja na sitini (160)  baada ya miundombinu ya madarasa manne (04)  ya ghorofa (Ground floor) kukamilika, viti  na meza  za Wanafunzi na Walimu zikiwa tayari.  


Miundombinu mingine ambayo imeshakamilika ni Jengo la Maabara, Jengo la TEHAMA, Jengo la Maktaba,  na Jengo la Utawala.


Ujenzi wa Shule hiyo unatekelezwa na Serikali Kuu kupitia Mradi wa SEQUIP kwa fedha za Kitanzania zaidi ya Million mia sita (Tsh 603, 890,563.00/=)  na fedha kutoka Mapato ya ndani inayoendeleza Ujenzi wa miundombinu ya madarasa ya ghorofa.


Serikali ya Awamu ya sita imeendelea kuimarisha miundombinu ya kujifunzia na kufundishia na Shule kuwa taasisi salama na jumuishi zinazoweka kipaumbele kwenye Ustawi na fursa sawa kwa Watoto na Vijana wote ili kuwa na wahitimu wenye ujuzi stahiki na uwezo wa kushindana na kufanikiwa katika Soko la Ajira Kimataifa.

Matangazo

  • NYARAKA ZA WAKUU WA SHULE WALIMU WAKUU October 10, 2022
  • Ufatiliaji wa Kina Kusaka wasiokata Leseni za Biashara 2017 March 20, 2017
  • Fedha za Mradi wa P4R mwezi Machi 2017 April 13, 2017
  • Fedha za Mradi wa Barabara Machi 2017 April 13, 2017
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • WALIMU KIGOMA UJIJI WAANZA KUNOLEWA MFUMO WA KIDIGITALI. Digital learning

    January 07, 2026
  • RC KIGOMA ATEMBELEA SOKO LA NAZARETHI, AZUNGUMZA NA WAFANYABIASHARA. Regional Commissioner

    January 07, 2026
  • "WANANCHI WANASUBILI KUTUMIA SOKO LA MWANGA" RC SIRRO. Market bui

    January 07, 2026
  • SHULE MPYA YA SEKONDARI ILIYOPO BUREGA KUANZA KUPOKEA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA. Education

    January 06, 2026
  • Angalia Yote

Picha za Kuona

MWENGE WA UHURU 2023
Picha za Kuona Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Ofisi ya Rais Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tume ya Ajira
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2025 HAYA HAPA

Kurasa Husishi

  • Wizara ya Elimu
  • Wizara ya Afya
  • TCU
  • Mikopo Vyuo Vya Elimu Ya Juu
  • Ofisi ya RAS Kigoma
  • Jiji Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Manispaa ya Kigoma Ujiji

    Sanduku la Posta: S.L.P 44

    Simu: +255 28 2802535

    Namba ya Simu: +255765660847

    Barua pepe: municipal@kigomaujijimc.go.tz ictsecurity@kigomaujijimc.go.tz

Mawasiliano Mbalimbali

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Manispaa ya Kigoma Ujiji. Haki Zote Zimehifadhiwa